Kikwete anamchanganya nini Mengi?

May 22, 2011
16
8
THIS AFTERNOON NILIKUWA NAFUATILIA KIKAO CHA BUNGE LA UK (HOUSE OF COMMONS), BUNGE LA UK LIMEPENDEKEZA KUJADILI "Danger of UK to Invest in Tanzania" KWASABABU YA HIYO ISSUE YA JK NA MENGI, Waziri wa mambo ya nje akaahidi kufuatilia through commonwealth office, so sikupata details.

Kama kuna mkereketwa yoyote ana details kuhusu hili sakata, KINDLY WOULD YOU PLEASE SHARE WITH US?
 
THIS AFTERNOON NILIKUWA NAFUATILIA KIKAO CHA BUNGE LA UK (HOUSE OF COMMONS), BUNGE LA UK LIMEPENDEKEZA KUJADILI "Danger of UK to Invest in Tanzania" KWASABABU YA HIYO ISSUE YA JK NA MENGI, Waziri wa mambo ya nje akaahidi kufuatilia through commonwealth office, so sikupata details. Kama kuna mkereketwa yoyote ana details kuhusu hili sakata, KINDLY WOULD YOU PLEASE SHARE WITH US?
Sio Reginald Mengi, ni Benjamin Mengi, inahusiana na kisa uwekezaji kwenye mradi wa shamba la Silvadale, ambapo Waingereza wawili, mtu na mkewe, Middletons, waliingia ubia na Benjamin Mengi kuwa watawekeza kwenye mradi huo. Benjamini alipoona kuwa sio wawekezaji wa ukweli, bali wanawekeza kwa kusua sua, akawatimulia mbali, kila kitu akabaki nacho.

Wazungu hao wakapeleka kilio chao kila mahali mpaka mahakamani, kesi mpaka leo inapigwa kalenda.

Ila kama ni kweli, Tanzania investment potential, inataka kupigwa biti na just one isolation case, then Uingereza, haitutendei haki. Tumejikuta tuinyenyekea sana kwa sababu ni former colonial masters wetu, its about time, tuachane nao, waende zao, tuite wawekezaji wa China, ni cheaper, more efficient na tutastrike a better deal.

Waende zao!.
 
Sio Reginald Mengi, ni Benjamin Mengi, inahusiana na kisa uwekezaji kwenye mradi wa shamba la Silvadale, ambapo Waingereza wawili, mtu na mkewe, Middletons, waliingia ubia na Benjamin Mengi kuwa watawekeza kwenye mradi huo. Benjamini alipoona kuwa sio wawekezaji wa ukweli, bali wanawekeza kwa kusua sua, akawatimulia mbali, kila kitu akabaki nacho.

Wazungu hao wakapeleka kilio chao kila mahali mpaka mahakamani, kesi mpaka leo inapigwa kalenda.

Ila kama ni kweli, Tanzania investment potential, inataka kupigwa biti na just one isolation case, then Uingereza, haitutendei haki. Tumejikuta tuinyenyekea sana kwa sababu ni former colonial masters wetu, its about time, tuachane nao, waende zao, tuite wawekezaji wa China, ni cheaper, more efficient na tutastrike a better deal.

Waende zao!.

Kweli kabisa mkuu, waende zao.

Wanamtetea muingereza mwenzao tapeli wala si muwekezaji.

Piga chini hao waingereza, karibisha wachina.
 
shamba la Silvadale, Tusaidiane ili tujue hilo shamba liko wapi? Yaani kwa ujumla ongeza nyama. Nime google sijapata la kunisaidia. Msaada tafadhali
 
hata mimi nasema waende zao, na hata leseni za migodi zifutwe tuanze upya atakayetaka kufanya tunavyotaka sisi apewe asietaka aende akachimbe kwingine, wachina wapo wanataka kuchimba na huwezo wa kuchimba wanao pia
Sio Reginald Mengi, ni Benjamin Mengi, inahusiana na kisa uwekezaji kwenye mradi wa shamba la Silvadale, ambapo Waingereza wawili, mtu na mkewe, Middletons, waliingia ubia na Benjamin Mengi kuwa watawekeza kwenye mradi huo. Benjamini alipoona kuwa sio wawekezaji wa ukweli, bali wanawekeza kwa kusua sua, akawatimulia mbali, kila kitu akabaki nacho.

Wazungu hao wakapeleka kilio chao kila mahali mpaka mahakamani, kesi mpaka leo inapigwa kalenda.

Ila kama ni kweli, Tanzania investment potential, inataka kupigwa biti na just one isolation case, then Uingereza, haitutendei haki. Tumejikuta tuinyenyekea sana kwa sababu ni former colonial masters wetu, its about time, tuachane nao, waende zao, tuite wawekezaji wa China, ni cheaper, more efficient na tutastrike a better deal.

Waende zao!.
 
Sio Reginald Mengi, ni Benjamin Mengi, inahusiana na kisa uwekezaji kwenye mradi wa shamba la Silvadale, ambapo Waingereza wawili, mtu na mkewe, Middletons, waliingia ubia na Benjamin Mengi kuwa watawekeza kwenye mradi huo. Benjamini alipoona kuwa sio wawekezaji wa ukweli, bali wanawekeza kwa kusua sua, akawatimulia mbali, kila kitu akabaki nacho.

Wazungu hao wakapeleka kilio chao kila mahali mpaka mahakamani, kesi mpaka leo inapigwa kalenda.

Ila kama ni kweli, Tanzania investment potential, inataka kupigwa biti na just one isolation case, then Uingereza, haitutendei haki. Tumejikuta tuinyenyekea sana kwa sababu ni former colonial masters wetu, its about time, tuachane nao, waende zao, tuite wawekezaji wa China, ni cheaper, more efficient na tutastrike a better deal.

Waende zao!.

Hao wachina wanakutengenezea gari jipya siku mbili linachomoka tairi
 
Kwanini mpaka leo na uhuru huu wa zaidi ya miaka 50 bado tunawaona na kuwathamini wazungu kama miungu? Why we free our minds,bodies and souls and do what is the best for us without fear?!
 
Inatisha kwa kweli miaka 50 ya Uhuru bado tunapiga magoti kweli ni aibu saana na hasa kwa awa wawekezaji wadharimu
 
Hao wachina wanakutengenezea gari jipya siku mbili linachomoka tairi

Acha uvivu wa kufikiri thibitisha kama Mohamed Trans, Deluxe, "Treni ya Dodoma" Mv Bukoba, Spice Islanders kwa kutaja machache, je yametengenezwa na wachina?

Angalia magari aina ya Jiefang, Great wall, Faw na maroli wanayotumia kutengeneza barabara, je, mangapi yanapata ajali za hovyo kama ulivyosema?
 
Kweli kabisa mkuu, waende zao.

Wanamtetea muingereza mwenzao tapeli wala si muwekezaji.

Piga chini hao waingereza, karibisha wachina.
Kweli nchi hii haina viongozi wala watakaokuwa viongozi kila mtu anaendekeza uwekezaji tu bul shait

Si mkope na muwekeze wenyewe ???

mnaniuzi sana hao wawekezaji wakifanikiwa mnawaonea wivu mnawaondoa kama mugabe

Jiwekezeeni wenyewe wacheni uvivu wa fikra

Umeme mmeshindwa kujinunulia mitambo wazushi wameweza bila kuwa na dollar mifukoni zaidi ya kukopa na na kuwadai pesa mara nyingi zaidi mnazoogopa kuwekeza wenyewe

Wacheni kutizama nyuma wakati mnatembea
 
Acha uvivu wa kufikiri thibitisha kama Mohamed Trans, Deluxe, "Treni ya Dodoma" Mv Bukoba, Spice Islanders kwa kutaja machache, je yametengenezwa na wachina?

Angalia magari aina ya Jiefang, Great wall, Faw na maroli wanayotumia kutengeneza barabara, je, mangapi yanapata ajali za hovyo kama ulivyosema?

Mheshimiwa nadhani hizo gari unaziona tu lakini hujawahi kuzitumia! Hakuna inayodumu zaidi ya miaka 4 haina tofauti na Mahinra za ccm na wahindi
 
Sawa lakini hapo unakosea maana wachina hawafai, bora hata wakenya

Uko darasa la ngapi ndugu?? Are you really great thinker or?? I bet hujamaliza hata elimu ya kidato cha nne, kusikiza na kuamini maneno ya watu bila hata kufanya utafiti... how can u compare China Na Kenya???
 
sio reginald mengi, ni benjamin mengi, inahusiana na kisa uwekezaji kwenye mradi wa shamba la silvadale, ambapo waingereza wawili, mtu na mkewe, middletons, waliingia ubia na benjamin mengi kuwa watawekeza kwenye mradi huo. Benjamini alipoona kuwa sio wawekezaji wa ukweli, bali wanawekeza kwa kusua sua, akawatimulia mbali, kila kitu akabaki nacho.

Wazungu hao wakapeleka kilio chao kila mahali mpaka mahakamani, kesi mpaka leo inapigwa kalenda.

Ila kama ni kweli, tanzania investment potential, inataka kupigwa biti na just one isolation case, then uingereza, haitutendei haki. Tumejikuta tuinyenyekea sana kwa sababu ni former colonial masters wetu, its about time, tuachane nao, waende zao, tuite wawekezaji wa china, ni cheaper, more efficient na tutastrike a better deal.

Waende zao!.
waingereza ni wanafiki.... Ni sinking sheep na sasa wanatumia serikali yao kulazimisha ubia na nchi masikini kwani everywhere they go wanaishia kufeli kutokana na attitude na culture yao

but even this is bound to lose anyhow

mambo ya watu wawili waliotapeliana yamehamia bunge
 
sio kwenda tu wakuu, wakafie mbali kabisa maana hata makaburi yao tukiyaona tutapata hasira na kuyafukua mifupa tupikie maharagwe bure!
 
Sio Reginald Mengi, ni Benjamin Mengi, inahusiana na kisa uwekezaji kwenye mradi wa shamba la Silvadale, ambapo Waingereza wawili, mtu na mkewe, Middletons, waliingia ubia na Benjamin Mengi kuwa watawekeza kwenye mradi huo. Benjamini alipoona kuwa sio wawekezaji wa ukweli, bali wanawekeza kwa kusua sua, akawatimulia mbali, kila kitu akabaki nacho.

Wazungu hao wakapeleka kilio chao kila mahali mpaka mahakamani, kesi mpaka leo inapigwa kalenda.

Ila kama ni kweli, Tanzania investment potential, inataka kupigwa biti na just one isolation case, then Uingereza, haitutendei haki. Tumejikuta tuinyenyekea sana kwa sababu ni former colonial masters wetu, its about time, tuachane nao, waende zao, tuite wawekezaji wa China, ni cheaper, more efficient na tutastrike a better deal.

Waende zao!.

Mimi nilifuatilia kesi ile na kusoma nyaraka zote zilizopatikana zikiwemo za kutaka kutumia utajiri wa reginald Mengi ili wajinufaishe kwenye mgogor ule, nikagundua hao ni wababaishaji sana. Walihangaika hadi kule Coca Cola ili kumfungia Mengi ile franchise ya Bonite Bottlers wakakwa, wakakimbilia Word bank ili wazuie msaada uliokuwa umetolewa na benki hiyo kwa makampuni ya IPP, pia wakakwama.

Ukweli ni kuwa watu wale walikuwa wababaishaji tu, siyo wawekezaji, kwani walishindwa kufikia malipo ya dola 120,000 walizokuwa wamekubaliana kuwa ziwe zimelipwa kabla ya mwezi november, wakalipa kidogo kidogo hadi siku ya mwisho wa makubaliano bado walikuwa wanadaiwa kama dola 20,000 hivi waliozlipa karibu wiki moja baada ya siku ya mwisho ya makubaliano kuwa imepita.

Mimi ninasema hivi, "LET them KEEP their England, and we will keep our BONGO."
 
Back
Top Bottom