Ukweli ni kwamba Kikwete ndo rais bora nchi hii kuwahi kupata.
huo utumbo wako ulioandika nimekujibu humohumo KWENYE MABANO KWA HERUFI KUBWA ILI USILETE VISINGIZO KUWA HUJAONA; kama ifuatavyo mpuuzi wewe;
Huwezi kuwalazimisha watu wote wakae ndani ya box la ccm lililojaa damu za Watanzania as if hiyo ndiyo best practice na standard ya mwisho y aWatanzania.
Ccm ni moja ileile inayonyonya damu za Watanzania.
Tatitzo lake hamna lolote wanabaki kudandia jujuu agenda za wapinzani bila kujua namna ya kuzitekeleza.
Nilitegemea mbele ya kusifia ujenzi wa shule, barbara na majumba ya kisasa, uongezee mzigo wa kodi kwa wafanyakazi (KIKWETE ALISHUSHA KODI YA WAFANYAKAZI KUTOKA 18% MPAKA 11%; MAGUFULI AMESHUSHA KUTOKA 11% KUJA 9% TU ILA HUWEZI KUONA HAYA KAMA UNA MAKENGEZA), kiwango cha elimu Tanzania ambacho ndiyo mtaji wa taifa na vizazi vyake (UNAONGELEA KIWANGO CHA ELIMU KIPI? KWA MIAKA ZAIDI YA 40 ELIMU YA SEKONDARI ILIKUWA ANASA, LAKINI KUPITIA UONGOZI ULIOTUKUKA WA KIKWETE HATA WEWE MPUMBAVU UMEBAHATIKA KUSOMA NDO MAANA UKO BIZE HAPA KUMTUKANA, KINYUME CHAKE WEWE UNGEKUWA MCHUNGA NG'OMBE TU MPUUZE WEWE), uzungumezie ufisadi ulikithiri kuanzia richmond (RICHMOND ILICHUKUA MUDA MFUPI TU KUJULIKANA PAMOJA NA KUWA HILO LILIKUWA DILI LA MARAFIKI ZAKE WAKUU WAWILI, lowasa na rostam, KIONGOZI GANI ANGEKUWA NA UBAVU WA KUWATOSA WATU WAKE WA KARIBU KIASI KILE KWA KUHUJUMU SERIKALI? HUJIULIZI BWE'GE WEWE? KWANI KIKWETE ANGESEMA TU NENO MOJA; MWAKYEMBE ACHANA NA HIYO RIPOTI MPUUZI KAMA WEWE UNGEJUA NINI? MBONA HAMTUMII AKILI MAFALA NYIE? MNA MACHO NA MASIKIO LAKINI HAYAWASAIDII KUSIKIA/KUONA WAPUUZI NYIE) , epa (EPA ILITOKEA KIPINDI CHA MKAPA, NA WALA HAMUINUI HAYA MABAKULI YENU KUSEMA CHOCHOTE PAMOJA NA KUWA NI UTAWALA WA KIKWETE ULIOYARUHUSU HAYA HATA "MBWA" KUYAJUA, NA LEO HII MBWA HAO WANAFIKIRIA EPA NI YA KIKWETE) escrow (ESCROW-MAELEZO KAMA YA RICHMOND), kagoda (KAGOGA-MKAPA NA MAELEZO KAMA YA EPA), meremeta (MEREMETA YA MKAPA NA MAELEZO KAMA YA EPA), ujenzi wa bomba la gas (UNAUSHAHIDI GANI KUWA KUNA RUSHWA KWENYE BOMBA LA GESI? AU UNAYAAMINI YALE MANENO YA DJ WENU MBOWE?), lugumi (HATUJAONA RIPORT, AFTERALL HILI LINAONEKANA LA MTU WA KARIBU WA MAGUFULU), iptl (IPTL-YA MKAPA, MAELEZO KAMA YA EPA) nk. kisha uendelee kidogo hadi kwenye ongezeko la kutisha la deni la serikali lisilo maelezo (HILO DENI LIMEONGEZAKA KUTOKA SH NGAPI? HADI NGAPI? NA KIKWETE ALILIKUTAJE HILO DENI, AU MNALISHANA MATAPUTAPU TU NA UPUUZI WENU BILA DATA), uangalie hujuma za mali asili zetu (MIGODI KARIBIA YOTE INAYOCHIMBWA ILISAINIWA KIPINDI CHA MKAPA ISIPOKUWA MICHACHE KAMA UBUZWAGI AMBAYO HATA FAULO ILIPOFANYIKA SERIKALI YA KIKWETE ILIANIKA KILA KITU IWE NI KUPITIA CCM AU HATA UPINZANI) ikiwamo usafirishaji wa wanyama na mauaji ya tembo (TATIZO LA TEMBO HALIKUWA LA TANZANIA PEKEE BALI DUNIA NZIMA JAPO KWA HILO NAWEZA UNGANA NA WEWE KUWA ANGEWEZA KUFANYA ZAIDI KUZUIA MAUAJI YA TEMBO WETU) , hatua gani serikali ilichukua, thamani ya hujuma hizi ulinganishe na uwekezaji kwenye hiyo barabara na magorofa nssf unayoyasema (KAMA UNA AKILI TIMAMU HUWEZI KUKOSOA KAZI ILIYOTUKUKA ALIYOIFANYA KIKWETE KWENYE UJENZI WA MIUNDO MBUNU UNLESS WEWE NI TAAHIRA; KAMA UNAWEZA KUSAFIRI KWENDA SEHEMU MOJA YA NCHI KWA SIKU MOJA KWA BARABARA KITU AMBACHO KILIKUWA NI NDOTO HALAFU MPUUZI KAMA WEWE UNAPINGA? UMESAHAU HATA WALE WALIOKUWA WANASAFIRI KUTOKA SEHEMU MOJA YA NCHI KWENDA INGINE KWA KUPITIA CHI JIRANI ZA "NAIROBI NA KAMPALA", BILA SHAKA MPINGAJI ATAKUWA NA UCHIZI), mwisho utazame mauaji ya kisiasa ya kina Mwangosi (MUUAJI WA MWANGOSI ALISHITAKIWA NA JUZI AMEHUKUMIWA MIAKA 15), uovyo wa huduma za afya (KIKWETE NDO RAIS PEKEE ALIYEWEKEZA ZAIDI KWENYE HUDUMA ZA AFYA, ANGALIA JINSI ALIVYOWEKEZA KUZALISHA WATAALAMU WENGI WA AFYA, ANGALIA KARIBIA HOSIPITAL ZOTE ZA MIKOA NA WILAYA IKIWA NI PAMOJA NA KUONGEZA MAJENGO MAPYA, HIVI WEWE MPUUZI HUONI KUWA HATA ZILE MBWEMBWE ZA AKINA MENGI KUSAFIRISHA WAGONJWA WA MOYO KWENDA INDIA TULIYOKUWA TUNAONA KWENYE ITV SIKU HIZI ZIMEKWISHA? AU UNAMATATIZO YA AKILI NINI KAMA HUWEZI KUONA HATA VITU VYA WAZI KAMA HIVI? kitu ambacho ni cha msingi kkuliko yote, habari za M'nyang, ulimboka, na wengine walioteswa kwa maslahi ya mtu mmoja (YAANI OLIMBOKA ALITESWA KWA MASILAHI YA MTU MMOJA? UNA MATATIZO WEWE. HIVI HUJIULIZI NI WATU WANGAPI WASIO NA HATIA WALIPOTEZA MAISHA KWA UPUUZI WA AKINA ULIMBOKA? UNAWAJUA WALIOMTESA HUYO JAMAA YENU? AU MNATAFUTA WA KUMUANGUSHIA JUMBA BOVU?, watanzania wanaoendelea kufa hadi leo kwa sababu ya ukosefu wa huduma za afya, uharamia na hujuma zilizofanywa juu ya katiba ya nchi uliolengesha kwenye kile kinachoendelea sasa, uchakachuaji wa kura na hitimisha uchaguzi wa zanzibar (KATIBA YA WANANCHI NA SUALA LA ZANZIBAR, HAYA NAUNGANA NA WEWE, SIO HIZO PUMBA ZINGINE ULIZOANDIKA).
Yeyote mwenye akili timamu anajua kabisa yanayotokea leo hii,, ni matokeo ya utawala wa huyo mkwere wenu asiyekuwa na maono wala mipango ya maana ya maendeleo ya taifa zaidi ya kulinda maslahi yake na ya familia yake. (EWE BWE'GE UNAMAANISHA HATA SUKARI ULIYOKUWA UKINUNUA MPAKA SH. 5000 NI MIPANGO YA MKWERE? VIPI ILE YA KUWAFUKUZA WANAFUNZI WA DIPLOMA UDOM HALAFU ANAWAPELEKA KWENNYE VYUO VINGINE KWENDA KUMALIZIA HIYOHIYO DIPLOMA?)
Lawama zote zirudi kwa mkwere kwa sababu ndiye muasisi wa udikteta na utawala unaoendelezwa hapa Tz (KIKWETE ALIWADEKEZA SANA MPAKA KUWAITA KWENDA KUNYWA JUICE IKULU NA HUKU MKIMTUKANA, SASA ACHA MKUTANE NA MKONO WA CHUMA, MAGUFULI, JUICE YA IKULU MTAISIKILIZIA KWENYE BOMBA TU, LABDA MAHABUSU). Kila kitu aliasisi yeye na sasa anafurahia matunda ya mkono wake wa mgongoni.
Naomba "ukome" kuwaudhi Watanzania (NI KWELI BINAFSI SITOKOMA KUWAUDHI MBWA KWA KUWAELEZA UKWELI MCHUNGU NA NITAENDELEA KUWAPA UKWELI WATANZANIA WENZANGU WASIOPENDA UONGO) kwa kuwalazimisha kuishi katika himaya ya kishetani ya ccm. Ccm ni ileile, hujuma inazofanya kwa watanzania katika awamu zake za uongozi wa kulazimisha ni rangi za maua katika shina la mti mmoja.
Ccm ondoka ukafie baharini kusikokaliwa na binadamu. TAnzania siyo mali yako, huna hatimiliki na Watanzania wamekuktaa na hawakutaki1.
Kama unataka kujifunza kaa kando waanchie Watanzania waongoze nchi kwa ufanisi bila kutumia nguvu ya majeshi kama mnavyofanya sasa.
(NA MWISHO KABISA JITATHIMINI KAMA KWELI UKO TIMAMU BAADA YA KUZI-CRUSH PUMBA ZAKO ZOTE HAPO JUU)
Huwezi kuwalazimisha watu wote wakae ndani ya box la ccm lililojaa damu za Watanzania as if hiyo ndiyo best practice na standard ya mwisho y aWatanzania.
Ccm ni moja ileile inayonyonya damu za Watanzania.
Tatitzo lake hamna lolote wanabaki kudandia jujuu agenda za wapinzani bila kujua namna ya kuzitekeleza.
Nilitegemea mbele ya kusifia ujenzi wa shule, barbara na majumba ya kisasa, uongezee mzigo wa kodi kwa wafanyakazi (KIKWETE ALISHUSHA KODI YA WAFANYAKAZI KUTOKA 18% MPAKA 11%; MAGUFULI AMESHUSHA KUTOKA 11% KUJA 9% TU ILA HUWEZI KUONA HAYA KAMA UNA MAKENGEZA), kiwango cha elimu Tanzania ambacho ndiyo mtaji wa taifa na vizazi vyake (UNAONGELEA KIWANGO CHA ELIMU KIPI? KWA MIAKA ZAIDI YA 40 ELIMU YA SEKONDARI ILIKUWA ANASA, LAKINI KUPITIA UONGOZI ULIOTUKUKA WA KIKWETE HATA WEWE MPUMBAVU UMEBAHATIKA KUSOMA NDO MAANA UKO BIZE HAPA KUMTUKANA, KINYUME CHAKE WEWE UNGEKUWA MCHUNGA NG'OMBE TU MPUUZE WEWE), uzungumezie ufisadi ulikithiri kuanzia richmond (RICHMOND ILICHUKUA MUDA MFUPI TU KUJULIKANA PAMOJA NA KUWA HILO LILIKUWA DILI LA MARAFIKI ZAKE WAKUU WAWILI, lowasa na rostam, KIONGOZI GANI ANGEKUWA NA UBAVU WA KUWATOSA WATU WAKE WA KARIBU KIASI KILE KWA KUHUJUMU SERIKALI? HUJIULIZI BWE'GE WEWE? KWANI KIKWETE ANGESEMA TU NENO MOJA; MWAKYEMBE ACHANA NA HIYO RIPOTI MPUUZI KAMA WEWE UNGEJUA NINI? MBONA HAMTUMII AKILI MAFALA NYIE? MNA MACHO NA MASIKIO LAKINI HAYAWASAIDII KUSIKIA/KUONA WAPUUZI NYIE) , epa (EPA ILITOKEA KIPINDI CHA MKAPA, NA WALA HAMUINUI HAYA MABAKULI YENU KUSEMA CHOCHOTE PAMOJA NA KUWA NI UTAWALA WA KIKWETE ULIOYARUHUSU HAYA HATA "MBWA" KUYAJUA, NA LEO HII MBWA HAO WANAFIKIRIA EPA NI YA KIKWETE) escrow (ESCROW-MAELEZO KAMA YA RICHMOND), kagoda (KAGOGA-MKAPA NA MAELEZO KAMA YA EPA), meremeta (MEREMETA YA MKAPA NA MAELEZO KAMA YA EPA), ujenzi wa bomba la gas (UNAUSHAHIDI GANI KUWA KUNA RUSHWA KWENYE BOMBA LA GESI? AU UNAYAAMINI YALE MANENO YA DJ WENU MBOWE?), lugumi (HATUJAONA RIPORT, AFTERALL HILI LINAONEKANA LA MTU WA KARIBU WA MAGUFULU), iptl (IPTL-YA MKAPA, MAELEZO KAMA YA EPA) nk. kisha uendelee kidogo hadi kwenye ongezeko la kutisha la deni la serikali lisilo maelezo (HILO DENI LIMEONGEZAKA KUTOKA SH NGAPI? HADI NGAPI? NA KIKWETE ALILIKUTAJE HILO DENI, AU MNALISHANA MATAPUTAPU TU NA UPUUZI WENU BILA DATA), uangalie hujuma za mali asili zetu (MIGODI KARIBIA YOTE INAYOCHIMBWA ILISAINIWA KIPINDI CHA MKAPA ISIPOKUWA MICHACHE KAMA UBUZWAGI AMBAYO HATA FAULO ILIPOFANYIKA SERIKALI YA KIKWETE ILIANIKA KILA KITU IWE NI KUPITIA CCM AU HATA UPINZANI) ikiwamo usafirishaji wa wanyama na mauaji ya tembo (TATIZO LA TEMBO HALIKUWA LA TANZANIA PEKEE BALI DUNIA NZIMA JAPO KWA HILO NAWEZA UNGANA NA WEWE KUWA ANGEWEZA KUFANYA ZAIDI KUZUIA MAUAJI YA TEMBO WETU) , hatua gani serikali ilichukua, thamani ya hujuma hizi ulinganishe na uwekezaji kwenye hiyo barabara na magorofa nssf unayoyasema (KAMA UNA AKILI TIMAMU HUWEZI KUKOSOA KAZI ILIYOTUKUKA ALIYOIFANYA KIKWETE KWENYE UJENZI WA MIUNDO MBUNU UNLESS WEWE NI TAAHIRA; KAMA UNAWEZA KUSAFIRI KWENDA SEHEMU MOJA YA NCHI KWA SIKU MOJA KWA BARABARA KITU AMBACHO KILIKUWA NI NDOTO HALAFU MPUUZI KAMA WEWE UNAPINGA? UMESAHAU HATA WALE WALIOKUWA WANASAFIRI KUTOKA SEHEMU MOJA YA NCHI KWENDA INGINE KWA KUPITIA CHI JIRANI ZA "NAIROBI NA KAMPALA", BILA SHAKA MPINGAJI ATAKUWA NA UCHIZI), mwisho utazame mauaji ya kisiasa ya kina Mwangosi (MUUAJI WA MWANGOSI ALISHITAKIWA NA JUZI AMEHUKUMIWA MIAKA 15), uovyo wa huduma za afya (KIKWETE NDO RAIS PEKEE ALIYEWEKEZA ZAIDI KWENYE HUDUMA ZA AFYA, ANGALIA JINSI ALIVYOWEKEZA KUZALISHA WATAALAMU WENGI WA AFYA, ANGALIA KARIBIA HOSIPITAL ZOTE ZA MIKOA NA WILAYA IKIWA NI PAMOJA NA KUONGEZA MAJENGO MAPYA, HIVI WEWE MPUUZI HUONI KUWA HATA ZILE MBWEMBWE ZA AKINA MENGI KUSAFIRISHA WAGONJWA WA MOYO KWENDA INDIA TULIYOKUWA TUNAONA KWENYE ITV SIKU HIZI ZIMEKWISHA? AU UNAMATATIZO YA AKILI NINI KAMA HUWEZI KUONA HATA VITU VYA WAZI KAMA HIVI? kitu ambacho ni cha msingi kkuliko yote, habari za M'nyang, ulimboka, na wengine walioteswa kwa maslahi ya mtu mmoja (YAANI OLIMBOKA ALITESWA KWA MASILAHI YA MTU MMOJA? UNA MATATIZO WEWE. HIVI HUJIULIZI NI WATU WANGAPI WASIO NA HATIA WALIPOTEZA MAISHA KWA UPUUZI WA AKINA ULIMBOKA? UNAWAJUA WALIOMTESA HUYO JAMAA YENU? AU MNATAFUTA WA KUMUANGUSHIA JUMBA BOVU?, watanzania wanaoendelea kufa hadi leo kwa sababu ya ukosefu wa huduma za afya, uharamia na hujuma zilizofanywa juu ya katiba ya nchi uliolengesha kwenye kile kinachoendelea sasa, uchakachuaji wa kura na hitimisha uchaguzi wa zanzibar (KATIBA YA WANANCHI NA SUALA LA ZANZIBAR, HAYA NAUNGANA NA WEWE, SIO HIZO PUMBA ZINGINE ULIZOANDIKA).
Yeyote mwenye akili timamu anajua kabisa yanayotokea leo hii,, ni matokeo ya utawala wa huyo mkwere wenu asiyekuwa na maono wala mipango ya maana ya maendeleo ya taifa zaidi ya kulinda maslahi yake na ya familia yake. (EWE BWE'GE UNAMAANISHA HATA SUKARI ULIYOKUWA UKINUNUA MPAKA SH. 5000 NI MIPANGO YA MKWERE? VIPI ILE YA KUWAFUKUZA WANAFUNZI WA DIPLOMA UDOM HALAFU ANAWAPELEKA KWENNYE VYUO VINGINE KWENDA KUMALIZIA HIYOHIYO DIPLOMA?)
Lawama zote zirudi kwa mkwere kwa sababu ndiye muasisi wa udikteta na utawala unaoendelezwa hapa Tz (KIKWETE ALIWADEKEZA SANA MPAKA KUWAITA KWENDA KUNYWA JUICE IKULU NA HUKU MKIMTUKANA, SASA ACHA MKUTANE NA MKONO WA CHUMA, MAGUFULI, JUICE YA IKULU MTAISIKILIZIA KWENYE BOMBA TU, LABDA MAHABUSU). Kila kitu aliasisi yeye na sasa anafurahia matunda ya mkono wake wa mgongoni.
Naomba "ukome" kuwaudhi Watanzania (NI KWELI BINAFSI SITOKOMA KUWAUDHI MBWA KWA KUWAELEZA UKWELI MCHUNGU NA NITAENDELEA KUWAPA UKWELI WATANZANIA WENZANGU WASIOPENDA UONGO) kwa kuwalazimisha kuishi katika himaya ya kishetani ya ccm. Ccm ni ileile, hujuma inazofanya kwa watanzania katika awamu zake za uongozi wa kulazimisha ni rangi za maua katika shina la mti mmoja.
Ccm ondoka ukafie baharini kusikokaliwa na binadamu. TAnzania siyo mali yako, huna hatimiliki na Watanzania wamekuktaa na hawakutaki1.
Kama unataka kujifunza kaa kando waanchie Watanzania waongoze nchi kwa ufanisi bila kutumia nguvu ya majeshi kama mnavyofanya sasa.
(NA MWISHO KABISA JITATHIMINI KAMA KWELI UKO TIMAMU BAADA YA KUZI-CRUSH PUMBA ZAKO ZOTE HAPO JUU)
TUMECHOKA NA UFIRAUNI WA CCM!