Mkuu wewe sio mfuatiliaji wa mambo Ungekuwa unajua tu japo kidogo deni la taifa limeongezeka kwa kiasi gani kwa miezi nane tangu awamu hii iingie madarakani Ungekaa Kimya .Uliza deni la taifa lilifikia sh. ngapi?
Uliza mikataba iliyo sainiwa (juu ya malia asili) leo bado inakunufaisha?
ILIKUWA FUNIKA KOMBE MWANAHARAMU APITE. JE TUENDELEE NA STYLE KAMA HIYO?
Magufuli anabana matumizi???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hebu niambie wapi kabana matumizi kuliko JK ???kitu pekee anachofanya ni kujifungia ndani kingereza tabuMi napita ila nakumbuka kuna jamaa alisema jamani saa hizi mnamfulahia sana magufuli lakini lakini mtamkumbuka jk na kweli sijaona kitu kinacho fanyika sasa anabana matumizi sawa lakini huku chini wanyonge maisha yanazidi kuwa magumu sana mara mia kwa jk hela ilikuwa inapatikana ingawa ufisadi nao ulikuwa mwingi lakin jk alijua jinsi gani ya kutawala nasema tena jk atakumbukwa sana tena sana
tdo.
Simply hujaelewa mada. Na hili ni kosa kubwa katika mijadala.Ukweli usemwe Mkwere alitupeleka pabaya.
Pamoja na promo kibao za NSSF, NPF, makongamano, masemina elekezi na masherehe matanuzi. Nchi ilizidi kudidimia kiuchumi wakubwa wakizidi kwenda kubembea Dubai Brazili na kwinginepo!!
Ina maana hamukuona wizi na ufisadi uliokuwa unaendelea??
Sioni sababu ya kumsifia mtu aliyedidimiza uchumi wa nchi eti ni kichwa!!
Madawa ya kulevya TZ ikageuka safe heaven ya madealers!!
Lugha za wizi zikazaliwa eti Mchongo , uchakachuaji, maujanja!!
Yote yamezaliwa na watu wa kuliibia taifa letu!!
Mhs Rais awabane warudishe hata fedha walizo ficha huko Ulaya!!
Mtu katawala nchi bila kujali uadilifu bora liende!!
uko serious? haujui ni mikopo ile??
JK alikuwa sio mpenda sifa, alikuwa na hekima na busara, alisaidia kukua kwa demokrasia ila huyu mpenda sifa ni janga la kitaifa
Imekuaje na kubana kote huko matumuzi ya kawaida yameongezeka??how?Magufuli anabana matumizi???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hebu niambie wapi kabana matumizi kuliko JK ???kitu pekee anachofanya ni kujifungia ndani kingereza tabu View attachment 376472
deni halikuwa trl40 bali lilikuwa trl34Chini ya Kikwete deni la taifa lilifika trl 40. Mambo uliyotaja yalifanywa kwa mikopo badala ya mapato ya ndani na kwa kua uthibiti ulikua mdaifu mikopo mingine iliishia mifukoni mwa watu. Ndio maana Tanzania inaitwa shamba la bibi kwa kuwa wajanja wachache walitafuna fedha ya ndani kwa kutolipa kodi.
hata sasa bado mnakopa tena zaidi ya mwanzoUliza deni la taifa lilifikia sh. ngapi?
Hivi kipindi cha JK boom halikucheleweshwa? Wanafunzi hawakugoma? Mbona mnakuwa kama viwavi, kusahau sahau tu ovyo...Pale ambapo unasikia hakuna hela ya field!!! Heheheheh na bado tutammiss sana Jk!!! Come back pliiiiiiiiz we miss you dady!!!
Hahahah! Ferguson alipotakiwa apendekeze Mrithi wake pamoja na uwepo wa Makocha bora kadhaa aliamua kumpendekeza Moyes ili ku maintain hadhi yake!Mkwere ashapigilia msumari wa moto hataki mtu yeyote amfuate pale kwake Moroco ama Msoga kwa ushauri wa kisiasa