Kikwete alitumia uchawi gani?

Kikwete alitumia uchawi gani?

JK mwanzoni watu walimpenda sana. Uongozi wake wastani. Makosa makubwa alipojiuzulu Lowasa ambaye alikuwa kichwa chake. Kweli alijenga barabara nyingi mikoani ila aliisahau Dar kwa barabara na jam ya traffic ikazidi kwani side roads zilikufa. Shule nyingi zilijengwa kweli zilisaidia ingawa hazikuwa na walimu. Shida yake kubwa hakuwa mfuatiliaji, safari nyingi za nje, wizi na ufisadi ulizidi. Ila biashara zishamiri. Inasemekana mali nyingi alizichuma na kuwaachia mafisadi wafanye wanachotaka. Nampa 40%. Naendelea
 
Uliza deni la taifa lilifikia sh. ngapi?

Uliza mikataba iliyo sainiwa (juu ya malia asili) leo bado inakunufaisha?

ILIKUWA FUNIKA KOMBE MWANAHARAMU APITE. JE TUENDELEE NA STYLE KAMA HIYO?
Kan sasa dn la tafa sh ngapi?
Je!Mikataba imerekebishwa? Au hujaskia juzi wameruhusu kusafirisha tena mchanga wa dhahabu!
Achana na funika kombe,ni kopo na mfuniko toa afadhali ingiza potelea mbali!
 
JPM nadhani bado hatumjui. Ana nia njema sana. Ila anaonekana kama vile anagawa raia wake kama walivyokuwa wanafanya wakoloni. Sijui ni kwa nini. Anapendelea jeshi la polisi, anapendelea ccm, anapendelea Chato yake akifanya safari nyingi huko na hata kutaka uwanja wa ndege huko, anagawa watu kwa ukanda eti kila mwanasiasa awe nyumbani kwake. Mtu kama Zitto hatakaa apate members mahali pengine. Pia inavyoonekana ni kama hapendi ushauri, anapenda utawala wa mtu moja, anashindwa kuishi na wapinzani katika serikali yake akisahau kuwa nchi ni ya vyamavingi, anapigana vizuri na mafisadi lakini inakuwa kama vile anachagua nani wa kumwondoa na nani wa kumwacha. Kiujanjaujanja bila haki. Isitoshe lugha yake siyo ya kiuongozi kwani mara nyingi husema maneno yanayopinga sheria ama sera za nchi kwa mfano kuhusu wapinzani, sera ya uzazi wa mpango, wamachingamatumizi ya jeshi la polisi kama vile kuwatenganisha polisi na wananchi kwa kutumia lugha kama vile "msiwachekee raia, hakuna polisi jamii", case ya wamachinga!!!!. Inaonekana kuwa nguvu nyingi ya serikali inatumika katika kupambana na watu wake badala ya kuwasaidia watu wake. Viongozi wamekuwa watawala wanadhani kuwa raia ama sehemu aliyoagizwa kuiongoza ni mali yake na raia hana usemi na anachotendewa na kiongozi wala yeye mwenyewe hana uamuzi wowote. Uongozi umekuwa unyapara badala ya maridhiano kama ivyotakiwa. Asili mia hamsini ya watu imeanza kuogopa na kudhani kuwa kuna matamko tu hakuna sera nzuri za kutufikisha huko. Kama ziko wananci hawazijui ni hiyo inaogopesha. Kwa mfano tunafikaje kwenye nchi ya viwanda. Nk. . Wengi tunauliza je kama mkuu anadhani siasa zinazuia kazi basi aagize zifanyike tu weekend. Na wote wafuate hasa yeye mwenyewe. Kwa hofu aliyonayo ya upinzani ni kama vile hakushinda kweli. Na tunajua alishinda. Kwa nini basi awe na woga huo ambao unaleta mashaka na unapoteza muda na raslimali ya taifa? Score. Bado muda wake lakini kwa sasa hivi hazidi 50%. Huenda akaongeza hapo baadaye. Ana mengi ya kusahihisha jamani. Tuwe tunamwambia ukweli kama yeye mwenyewe anavyowaambia watu ukweli. Hivi tutamsaidia na kujisaidia pia.
 
JPM nadhani bado hatumjui. Ana nia njema sana. Ila anaonekana kama vile anagawa raia wake kama walivyokuwa wanafanya wakoloni. Sijui ni kwa nini. Anapendelea jeshi la polisi, anapendelea ccm, anapendelea Chato yake akifanya safari nyingi huko na hata kutaka uwanja wa ndege huko, anagawa watu kwa ukanda eti kila mwanasiasa awe nyumbani kwake. Mtu kama Zitto hatakaa apate members mahali pengine. Pia inavyoonekana ni kama hapendi ushauri, anapenda utawala wa mtu moja, anashindwa kuishi na wapinzani katika serikali yake akisahau kuwa nchi ni ya vyamavingi, anapigana vizuri na mafisadi lakini inakuwa kama vile anachagua nani wa kumwondoa na nani wa kumwacha. Kiujanjaujanja bila haki. Isitoshe lugha yake siyo ya kiuongozi kwani mara nyingi husema maneno yanayopinga sheria ama sera za nchi kwa mfano kuhusu wapinzani, sera ya uzazi wa mpango, wamachingamatumizi ya jeshi la polisi kama vile kuwatenganisha polisi na wananchi kwa kutumia lugha kama vile "msiwachekee raia, hakuna polisi jamii", case ya wamachinga!!!!. Inaonekana kuwa nguvu nyingi ya serikali inatumika katika kupambana na watu wake badala ya kuwasaidia watu wake. Viongozi wamekuwa watawala wanadhani kuwa raia ama sehemu aliyoagizwa kuiongoza ni mali yake na raia hana usemi na anachotendewa na kiongozi wala yeye mwenyewe hana uamuzi wowote. Uongozi umekuwa unyapara badala ya maridhiano kama ivyotakiwa. Asili mia hamsini ya watu imeanza kuogopa na kudhani kuwa kuna matamko tu hakuna sera nzuri za kutufikisha huko. Kama ziko wananci hawazijui ni hiyo inaogopesha. Kwa mfano tunafikaje kwenye nchi ya viwanda. Nk. . Wengi tunauliza je kama mkuu anadhani siasa zinazuia kazi basi aagize zifanyike tu weekend. Na wote wafuate hasa yeye mwenyewe. Kwa hofu aliyonayo ya upinzani ni kama vile hakushinda kweli. Na tunajua alishinda. Kwa nini basi awe na woga huo ambao unaleta mashaka na unapoteza muda na raslimali ya taifa? Score. Bado muda wake lakini kwa sasa hivi hazidi 50%. Huenda akaongeza hapo baadaye. Ana mengi ya kusahihisha jamani. Tuwe tunamwambia ukweli kama yeye mwenyewe anavyowaambia watu ukweli. Hivi tutamsaidia na kujisaidia pia.
With those negative remarks bado inatoa 50%?
Where is your marking scheme!
Kwa jinsi ulivyojieleezea kuna issue zinazokutisha juu ya usalama na umoja wa kitaifa, kama nimekulewa vizuri! Kama una mashaka ktk maeneo hayo nadhani hata 20% ni nyingi!
Anyway, ni opinions zako, naomba kuheshimu maneno yako!
 
Wote tulilaumu ufisadi

Kodi zilikuwa hazilipwi?

Rais aliitwa dhaifu kwa kutokuwa mkali!

Wana ccm wakabadili gia Dodoma na kuhama!

Rais alikuwa anasafiri karibu kila mwezi

Lakini barabara zilijengwa, Vyuo vikuu na shule nchi nzima.

Majengo ya kisasa na upanuzi mkubwa wa miji wenye majengo ya kisasa kabisa!

Watumishi wa umma na wafanyabiashara walineemeka!

Na Rais wetu alikuwa full kutabasamu, urais kwake ilikuwa kitu kidogo kama ukiranja wa zamu tu!

Leo sasa!

Kila kitu kimerekebishwa, na rais hacheki cheki!

Lakini Mambo yamezidi kuwa magumu, na hata mwenyewe amesikika akisema anajutia uamuzi wake wa kukitaka kikombe hiki!

Je, ni wakati wa kurejea kupata semina elekezi toka kwa "mkwere"?

Au Mkuu apitie tu kisirisiri hadidu za rejea za serikali ya "mkwere" ili mambo yasiende mrama!
Fikiria kwa kichwa basi mkuu, deni la taifa limepanda mno wakati wa mkwere na amesaini mikataba ya kuihujumu nchi wakawa wanampa vizawadi maana madili yao yalishapita.
Hakuna raisi ambaye kawapa bure nchi wazungu kama mkwere. Alikuwa hatari mno.
 
huyo alikuwa mtalii lakini ametuachia UDOM, barabara za lami kila kona ya nchi, Kikwete heart institute, shule kila kata, freedom of expression and speech, umeme mpaka huku kwetu madongo kuinuka/kuinama, maji amesambaza kwa kiasi chake na mengine mengi pengine kuliko rais yeyote yule aliyewahi kuongoza nchi hii. He will always be my role model. na wewe kumkashifu kwako hapa nakuona kama mbwa tu.


Ungekuwa na akili timamu wala usinge andika haya, bora ungelia tu au kunyamaza kivyako.
 
Wote tulilaumu ufisadi

Kodi zilikuwa hazilipwi?

Rais aliitwa dhaifu kwa kutokuwa mkali!

Wana ccm wakabadili gia Dodoma na kuhama!

Rais alikuwa anasafiri karibu kila mwezi

Lakini barabara zilijengwa, Vyuo vikuu na shule nchi nzima.

Majengo ya kisasa na upanuzi mkubwa wa miji wenye majengo ya kisasa kabisa!

Watumishi wa umma na wafanyabiashara walineemeka!

Na Rais wetu alikuwa full kutabasamu, urais kwake ilikuwa kitu kidogo kama ukiranja wa zamu tu!

Leo sasa!

Kila kitu kimerekebishwa, na rais hacheki cheki!

Lakini Mambo yamezidi kuwa magumu, na hata mwenyewe amesikika akisema anajutia uamuzi wake wa kukitaka kikombe hiki!

Je, ni wakati wa kurejea kupata semina elekezi toka kwa "mkwere"?

Au Mkuu apitie tu kisirisiri hadidu za rejea za serikali ya "mkwere" ili mambo yasiende mrama!


Tumemchoka Kikwete, akamatwe tu yeye na wenzake kina Mkapa.
 
Fikiria kwa kichwa basi mkuu, deni la taifa limepanda mno wakati wa mkwere na amesaini mikataba ya kuihujumu nchi wakawa wanampa vizawadi maana madili yao yalishapita.
Hakuna raisi ambaye kawapa bure nchi wazungu kama mkwere. Alikuwa hatari mno.

Hakujuwa majukuku yake katika kuongoza nchi, yeye alifikiri kuwa rais yabidi uwe kibaka, , mtalii na msanii. Yule hakufaa kabisa kuongoza taifa letu.
 
Ni heri upige pesa lakini maisha ya mwananchi yawe nafuu kidogo na hicho JK alikimudu kwa kiasi Fulani lakini kwa sasa mambo yamebadilika, kiongozi anabana matumizi lakini hatufaidiki na life inazidi kukaba koo, we miss U JK
 
Ukitaka kula lazima uliwe vs asiyefanyakazi basi na asile
 
Uliza deni la taifa lilifikia sh. ngapi?

Uliza mikataba iliyo sainiwa (juu ya malia asili) leo bado inakunufaisha?

ILIKUWA FUNIKA KOMBE MWANAHARAMU APITE. JE TUENDELEE NA STYLE KAMA HIYO?
Uliza deni la taifa lilifikia sh. ngapi?

Uliza mikataba iliyo sainiwa (juu ya malia asili) leo bado inakunufaisha?

ILIKUWA FUNIKA KOMBE MWANAHARAMU APITE. JE TUENDELEE NA STYLE KAMA HIYO?

unajua deni limeongezeka kiasi gani tangu mwaka huu uanze?
 
Wote tulilaumu ufisadi

Kodi zilikuwa hazilipwi?

Rais aliitwa dhaifu kwa kutokuwa mkali!

Wana ccm wakabadili gia Dodoma na kuhama!

Rais alikuwa anasafiri karibu kila mwezi

Lakini barabara zilijengwa, Vyuo vikuu na shule nchi nzima.

Majengo ya kisasa na upanuzi mkubwa wa miji wenye majengo ya kisasa kabisa!

Watumishi wa umma na wafanyabiashara walineemeka!

Na Rais wetu alikuwa full kutabasamu, urais kwake ilikuwa kitu kidogo kama ukiranja wa zamu tu!

Leo sasa!

Kila kitu kimerekebishwa, na rais hacheki cheki!

Lakini Mambo yamezidi kuwa magumu, na hata mwenyewe amesikika akisema anajutia uamuzi wake wa kukitaka kikombe hiki!

Je, ni wakati wa kurejea kupata semina elekezi toka kwa "mkwere"?

Au Mkuu apitie tu kisirisiri hadidu za rejea za serikali ya "mkwere" ili mambo yasiende mrama!
Mzee wa Msoga ni wa kulaumiwa sana kwa kutuletea bomu hili la sasa.
 
Wote tulilaumu ufisadi

Kodi zilikuwa hazilipwi?

Rais aliitwa dhaifu kwa kutokuwa mkali!

Wana ccm wakabadili gia Dodoma na kuhama!

Rais alikuwa anasafiri karibu kila mwezi

Lakini barabara zilijengwa, Vyuo vikuu na shule nchi nzima.

Majengo ya kisasa na upanuzi mkubwa wa miji wenye majengo ya kisasa kabisa!

Watumishi wa umma na wafanyabiashara walineemeka!

Na Rais wetu alikuwa full kutabasamu, urais kwake ilikuwa kitu kidogo kama ukiranja wa zamu tu!

Leo sasa!

Kila kitu kimerekebishwa, na rais hacheki cheki!

Lakini Mambo yamezidi kuwa magumu, na hata mwenyewe amesikika akisema anajutia uamuzi wake wa kukitaka kikombe hiki!

Je, ni wakati wa kurejea kupata semina elekezi toka kwa "mkwere"?

Au Mkuu apitie tu kisirisiri hadidu za rejea za serikali ya "mkwere" ili mambo yasiende mrama!
Ulishawahi kwenda muhimbili enzi hizo?
 
Back
Top Bottom