Mahalu mkuu wangu, unajua fika kwamba hakuna ushahidi bila maandishi. Hili la hearsay sijui kama litakutoa. Wewe ungehakikisha JK anaweza sahihi yeye ama anakwambia kwa maandishi...simu na sijui alisema nini haiwezi kuondoa ukweli kwamba nyumba ile haifai na wala hizo bei zilizowekwa sio za kweli maana umeshawekwa pabaya. Mtachukauje mtu kutoka Tz kwenda Italy kuthaminisha nyumba?..