Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Leo Dkt . Slaa amevuliwa hadhi ya Ubalozi na Rais wa JMT, Samia Suluhu. Dkt. Slaa anaingia katika orodha ya viongozi wengine waliovuliwa hadhi ya Ubalozi.
Katika kumbukumbu zangu nakumbuka Profesa Mahalu aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Italy alivuliwa hadhi ya Ubalozi baada ya kuwa na kesi ya ufisadi alipokuwa akihudumu katika nafasi hiyo. Soma: (Docs): Siri ya Kesi ya Mahalu: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi Italia
Baadaye, Hayati Rais Magufuli alimrudishia hadhi hiyo ya ubalozi baada ya kushinda kesi ya Uhujumu Uchumi. Soma: Rais Magufuli amrudishia Ubalozi Prof. Costa Mahalu baada ya kushinda kesi ya uhujumu uchumi
Mwingine ni Alfayo Kidata ambaye sasa ni Kamishna Mkuu wa TRA ambaye pia naye alivuliwa hadhi ya Ubalozi
Kama kuna wengine naomba tusaidiane kukumbushana.
Katika kumbukumbu zangu nakumbuka Profesa Mahalu aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Italy alivuliwa hadhi ya Ubalozi baada ya kuwa na kesi ya ufisadi alipokuwa akihudumu katika nafasi hiyo. Soma: (Docs): Siri ya Kesi ya Mahalu: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi Italia
Baadaye, Hayati Rais Magufuli alimrudishia hadhi hiyo ya ubalozi baada ya kushinda kesi ya Uhujumu Uchumi. Soma: Rais Magufuli amrudishia Ubalozi Prof. Costa Mahalu baada ya kushinda kesi ya uhujumu uchumi
Mwingine ni Alfayo Kidata ambaye sasa ni Kamishna Mkuu wa TRA ambaye pia naye alivuliwa hadhi ya Ubalozi
Kama kuna wengine naomba tusaidiane kukumbushana.