Kikwete afanye nini Kuuokoa Urais wake?

Kikwete afanye nini Kuuokoa Urais wake?

Tatizo kamati yenye ilikuwa na baadhi wajumbe wenye wasifu usiofaa, wengine wanadaiwa kufanya biashara ya Pembe za Ndovu, sasa hapo unatarajia Nini?
 
Mh. Rais napenda kuchukua nafasi hii kukuuliza wewe na wananchi wote kwa ujumla kwani Tumesikia mengi yakiongelewa na Serikali yako na wewe kuyasikia na Unaumiza kichwa kila siku uanzie wapi maana Hawa Swahiba zako wanakuangusha. Hata hivyo na hii ya karibuni ya Mhe. SS ambaye yupo wizara nyeti na umeona unyeti wake ndio maana ukamwamini tena yupo taasisi ambayo inalinda maslahi ya nchi. Hata wewe maamuzi yako ukiyatoa yana mashaka mashaka. Ukizingatia Serikali yako yaani mawaziri wana kashfa mbalimbali hata hao wabunge wa Chama chako ndio usiseme kwani wengi wao wa mawaziri wanaonekana hawako bega kwa bega kukusaidia wewe ila wana maslahi yao ya nani akae madarakani kwani huyu Mh. SS yeye ni kitu kimoja na Richmonduli sasa wewe unamng'ang'ania wa nini? Swali Je hivi hizi kashfa zinazokwenda kwa mawaziri wako na wabunge wa Chama Chako huzioni au na wewe ni mmoja wa Mafisadi hao unaogopa ukiwapilato na wewe watakutaja?? Naomba jibu Mh. Rais swali la Pili Je unaona ugumu gani kuanzisha Revolution yoyote ambayo watakaa asilimia 75% ni wapinzani kuhusu kila mtu alete mali zake na aseme amezipataje tena kuwe na uwazi na yeye kupigiwa mahesabu kama sio sahihi aukumiwe kunyongwa? mfano mzuri South Africa, Kenya na nchi nyingine wana JF wanazijua wataendelea.

Ushauri wangu wale wote wanotuhumiwa kwa Ufisadi sio kuwapeleka mahakamani No. Hukumu tuu. Ukishindwa Jiuzulu utunze heshima yako kama Rais Thabo Mbeki.
 
Hizi ndiyo timu mbili pinzani, moja imejaa mafisadi wanaojulikana na ushahidi upo wazi. Nyingine imejaa wapiganaji ambao wanashutumiwa na kundi la pili kuwa nao ni mafisadi.

Kinachoshangaza zaidi mhe. Rais anaonekana yupo kundi la kulia, angalia picha hapo chini.
 

Attachments

mie sina wasi, watanzania slowly tunaamka, ukitaka kujua angalia idadi ya watu wanaojitokeza kupiga kura siku hizi, ni chache mno. Ipo siku watajipigia kura hao mafisadi na familia zao tu.

*** em up.
 
Thabo mbeki hakujiuzulu 'maji yalimshinda hila zake zilizungukwa akaaibishwa na kuondolewa kwenye uongozi kwa kutokuwa muadilifu..get your record right.
 
what is the meaning of Hila? Je Ufisadi kutomwajibisha mtu kwa Interest zako sio Hila? Na kama na yeye hausiki kwanini anachelewa kuwaajibisha ambao wako nyuma au tofauti hata Chamani na Serelikalini? wewe fikiria Waziri mwenye Zamana ya Nchi serikali anaongea kama Mama ambaye yupo nyumba wanapiga story. Angali Mzee wa Watu ameona Anti yangu eti Anashirikiana na Mafisadi je Hayo ni Maadili ya Chama kuropoka na huku umepewa Wizara Nyeti I Think hiyo taasisi ya Usalama wa Nchi watajua siri zao zinavuja wapi? kama Waziri anaropoka na wao je? Mh.Rais Wajibisha hawa Hawana maana wanakuharibia
 
Ushauri wangu wale wote wanotuhumiwa kwa Ufisadi sio kuwapeleka mahakamani No. Hukumu tuu. Ukishindwa Jiuzulu utunze heshima yako kama Rais Thabo Mbeki.[/QUOTE]
unaamini kwamba mbeki alijiuzuru kwa RIDHAA YAKE?
 
Ok unajua Mbeki alijiuzulu Chama ndio kilimtaka hivyo sababu ya mambo yake kuwa wazi. Sasa wewe angalia mwenyewe na Tafakari uelewe na kisha Tathimin Hatma ya Nchi inavyo kwenda Na maamuzi yana Delay. au wewe ni mmoja wa mafisadi ambao hamtaki mabadiliko? Sisi Chama chetu cha CCM kimegawanyika sasa na wewe sijui upo upande gani au Ukumsikiliza Mh. SS?
 
Thabo mbeki hakujiuzulu 'maji yalimshinda hila zake zilizungukwa akaaibishwa na kuondolewa kwenye uongozi kwa kutokuwa muadilifu..get your record right.

asante mkuu wa kuweka rekodi za sawa katika ansadi zetu za hapa JF..
 
Ok unajua Mbeki alijiuzulu Chama ndio kilimtaka hivyo sababu ya mambo yake kuwa wazi. Sasa wewe angalia mwenyewe na Tafakari uelewe na kisha Tathimin Hatma ya Nchi inavyo kwenda Na maamuzi yana Delay. au wewe ni mmoja wa mafisadi ambao hamtaki mabadiliko? Sisi Chama chetu cha CCM kimegawanyika sasa na wewe sijui upo upande gani au Ukumsikiliza Mh. SS?

Hivi huyu Sitta kawalisha nini?to me he is just another FISADI..huyu si ndio analipiwa nyumba ya milioni 10 kwa mwezi,gari ya 200 mil na alinunua asprin na fansidar pale namanga kwa 2m? jamani hivi tuko serious au tunaandika andika vitu tu humu JF..Nadhani nahitaji muongozo
 
Hivi huyu Sitta kawalisha nini?to me he is just another FISADI..huyu si ndio analipiwa nyumba ya milioni 10 kwa mwezi,gari ya 200 mil na alinunua asprin na fansidar pale namanga kwa 2m? jamani hivi tuko serious au tunaandika andika vitu tu humu JF..Nadhani nahitaji muongozo

Hakuna hata senti moja anayoshika Spika mkononi, vyote hivyo analipiwa na Hazina ya JK, yeye ni kuendesha bunge na ameshawaelezea lakini hamtaki kuelewa ukweli shida majungu na siasa za maji taka.

Spika ametufikisha hapa tulipo, kila mtu sasa anatambua ninani fisadi ni nani mpiganaji wakweli? Six kaweza kuwatetemesha RA, EL ambao walikuwa ni visiki vya mpingo ndani ya chama chake mpaka nchi inatikisika.

Tuko nyuma yako wembe ule ule!!!!!!!!!!!!!!! wanyoe wote!!!!!!!!!!!!!!!! hata na wewe unae!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!mkataa.
 
Goo Idea!! Sasa Hata ukiangalia Serikali imelala???????????????? Jamani nawauliza au RAis naye Yupoooooooooooo?????????????????
 
Goo Idea!! Sasa Hata ukiangalia Serikali imelala???????????????? Jamani nawauliza au RAis naye Yupoooooooooooo????????????????? Mbeki KAwajibishwa Why? Tanzania?
 
Rais yuko zake kwenye mkutano Misri yaani as if hakuna pressing issues nchini mwake kweli tanzania ina rais daaaah..yeye anapenda kusafiri safiri tu yaani hana strategy yoyote yupo yupo tu
 
aaha !! mama weeeeee yaaani hasira zinazidi kupanda kila kukicha nikisikia vituko vya wakubwa. mimi kazi yangu kusukuma mkokoteni mmmh!! cha kufanya ni kuungana tu TUSICHAGUE HIKI TUCHAGUE .........SIRI YANGU
 
Si Unajua watu wa Pw............ wanapenda starehe kuliko maelezo sasa eshu ndogo tu ya kuongelea haya wewe unaruka na ujumbe wa watu wasiopungu 50 sasa strategy yako nini? maana tokea aanze kwenda Nje uchumi ndo kwanza unadidimia umeme huoooooooooooooo IPTL MWAKANI yaani hapa kilichobakia kutunyonya damu tu
 
Unajua kwa nini SS hawezi kujiuzulu wala kushinikizwa kujiuzulu???
Ni kwa sababu ni mwenyekiti (puppet) wa jumuiya ya ccm (Umoja wa Wanawake Tanzania). kwa hiyo akiondolewa atalazimika kutumia turufu kwa cheo chake chamani.

Lakini kwa kuwa TZ inaendeshwa kipropaganda, inawezekana hizi tambo na matusi hadharani ni one of them, I mean ni mpango wa kiusalama kutuweka salama (kipunguani) away kujadili from EPA, RICHMONDULI plus zagazaga nyingine...

Ujinga + Ujinga = UJUHA
 
Back
Top Bottom