.... hawajawahi kusema chochote dhidi ya Udikteta wa Mbowe na Mzee Mtei.
Baadaye kanda2 anaendelea hapa chini
kanda2 said:Kwanza lini ulimuongelea yule naniliii, yule nanilliii wa kule naniliii, ahh
yule naniliii, sio kibona, sio kolimba, sio Stan Katabalo, sio mama mbatia, sio kabeho, sio rutihinda, sio kombe, yule nanilihii yule..
Shehe ohstamdafru, unamkumbuka yule nanilihiii wa kanisa katoliki la ilala?
....