Pinokyo Jujuman
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 552
- 104
kosa lake yuko kwenye kambi ya EL!
Sidhan kama kuna kuzingatia kambi hapo kwa maana January Makamba wala Amosi Makala wasingeweza kupata huo u NW"
kosa lake yuko kwenye kambi ya EL!
Wewe ndio ukafie mbali na Ujinga wako wa kufikiri,hapa hatutizami umwanamke au mwanaume issue kwetu ni Performance ya mtu sasa ujinsia unakuja vp hapa wéwe zero brain?kafieni na ubaguzi wenu huko, kwani hawa ghasia cy binadamu? Kuwa mnmke2
Muanzisha uzi amekurupuka. mwandri yupo palepale
kafieni na ubaguzi wenu huko, kwani hawa ghasia cy binadamu? Kuwa mnmke2
wakati mheshimiwa rais jk akitangaza majina ya mawaziri wateule hapo jana alisisitiza juu ya kuwajibisha watendaji wote watakaobainika kufanya madudu yaliyopelekea mawaziri kuwajibishwa.
Pia katika hotuba ya makamu wa rais iliyoonekana kwenye T.V stations mbalimbali,naye pia alionekana kusisitiza juu ya kuwashughulikia mafisadi''mchwa'' katika halmashauri mbalimbali nchini.
Je Kauli hizi kutoka viongozi wa juu zinaashiria kwamba sasa tutarajie ile sera ya ''fagio la chuma'' kufanya kazi au ni kiini macho?
Nani atamshauri Rais Kikwete asitumie fedha za wanyonge kwa kusherehesha tukio la kuwaapisha mawaziri na manaibu aliowateua?Wataapishwa Jumatatu tarehe 8 Mei, 2012 saa 5.00 asubuhi katika viwanja vya Ikulu
Mikataba ya kidhalimu na kifisadi ya Madini, inayosafirisha madini yetu kwenda nje ya nchi kila kukicha, huku watoto wetu wakikosa waalimu, madawati na vitabu vya kiada na ziada imehalalishwa na Daktari wa Jiolojia Dalali Petro Kafumu. Stahili yake ni kupelekwa jela, siyo kwenye Baraza la Mawaziri.Hili ndilo baraza lililokuwa linasukwa kwa week mbili? Unampaje unaibu waziri wa nishati na madini Steven Masele na kumuacha geologist Dr Peter Kafumu?....
Rais ameteua kwa kuangalia vigezo gani:baby: Mtu kama Hawa Ghasia ambaye hana uwezo wa kujibu hoja za maandamano ya wafanyakazi unamuweka wizara yenye matatizo makubwa kama TAMISEMI nini kitatokea, ushauri wa bure ulikuwa ni kumpandisha Agrey kuwa waziri kamili hilo ni Jembe.
Acha tuone hilo baraza lililosukwa kama litatusaidia.
Kiraka kipya kwenye nguo ya zamani.