GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!



Pumba tupu! hatudanganyiki ...raisi ana kifafa!
 

Kama hii ndio knowledge ya daktari wa kibongo, shughuli ipo
 

Duh! From another great sinker!
 

Another lost puppy on street!
 
watanzania na unafiki ndiyo maana hatuna maendeleo sasa hii video ina kitu gani cha ajabu mpaka watu wengine wanaitoa kulinda heshima sijui nini upumbavu nothing graphic at all

Hii picha inahusiana vipi na maendeleo?
 
Kipepeo

Member

Join DateTue Feb 2008
Posts13
Thanks : 0
Thanked 4 Times in 3 Posts
Rep Power0

Mkuu Kipepeo, nimekusoma sana kwa post zako, lakini you are assuming unaongea na watoto wa chekechea.


Hizo info ulizo nazo ni semi classified na kwa wewe kizipata toka CCM na ratiba ya Rais Ikulu you are giving yourself away.Dis information lazima ifanyike kwa akili zaidi kuliko hivi Mkuu.
Vile vile kwa post hii, then JK is his own worst enemy, kitu ambacho si rahisi kueleweka wala kuaminika.
You guys should get yourselves out of this CAGE OF LIES , SEMENI UKWELI TU WaTanzania ni waelewa na watamhurumia tu JK.
 
They are protecting him from bullet kwa kumvalisha bullet proof. Kwan nchi peaceful Tanzania probability ya hii kutokea ni ngapi? Yet they are not protecting our president from the obvious low blood sugar . Probability of the later threat/attack happening is even bigger na mbaya zaid anashambuliwa na adui mbele ya umma wa watanzania.

Wanatumia Effort na resources nyingi kuwalind aviongozi na threat ambazo probability yake kutokea ni ndogo.

Wanatakiwa wajue Tanzania is a peaceful country matatizo makubwa tuliyo nayo ni Afya (Mradhi) ,Elimu( ujinga na umasikini)

Excuse za mfungo na ugonjwa na nyinginezo wanazota ni majibu mepesi mepsi kwa mambo mazito .Watu wa Usalama wa taifa na Ikulu wamekuwa exposed of their weakness. Wamemuaibisha rais wetu na kutuabisha watanzania

Mbona hata kabla hajapatwa na maswahibu tayari kama kungekuwa na watu wanamjua rais wetu vizuri wangeshtuka na kuwai japo asidondoke. Pale alivyosema Aisee sekunde chache zilizofuata alianza kuongea maneno bila mpangilio na kurudia rudia.

Sasa sijui Kwenye Risk/ threat analysis kw Rais wetu sijui zipi imekuwa classified kama critical

Kuna maswali mengi
  • Kati ya rais na system nani mwenye control na say ya mwisho ( Kwa nn system irushu ajitume kuliko uwezo wa afya yake)
  • Je JK anajali mfungo Kuliko Afya yake
  • Je Zaidi ya Physical protective measures kuna walinzi watalaam wengine kwenye msafara wa rais
 
hakuna cha u-KGB wala nini, video ilikuwa mtandao mmoja tu, YOU TUBE, wengine wana link tu, aliyeiweka kashaona dili kaiondoa, simple as that

Dili kutoka wapi? ni CCM wameinunua? Mbona kuna Shujaa alieirudisha! Ikiwa aliiondoa kwa ridhaa yake, ni kwa nini aliiweka kabla ya kufikiri? Na ikiwa alitakiwa aiondoe ndio waleee akina KGB waliomwamuru afanye vile. Naanini itaendelea kubaki ituthibitishie kuwa Tunathubutu kuongea wazi bila hofu, wasiwasi au woga!
 

Haya wewe mwenzetu daktari... basi tuache ya kifafa..

Je;kwa mtu ambaye anazidiwa na kazi na kuchoka kiasi cha kuanguka, anguka kwenye public bado tutamwita mzima???? If your body can not tolerate 15km race will you be declared fit for the race?? if the answer is no, then dont you think huyu jamaa ni unfit for the race?

Je unakumbuka kuna watu wanaitwa spana mkononi??? yeye hafai kuwa spana mkononi??? na mtu spana mkononi si huwa na yeye tunamwita mgonjwa au???

Tuje kwenye fani hiyo ya udaktari, naomba ukatae au ukubali, do you think wale watanzania wawili wanamuangalia afya yake wanafanya vitu ethical?? mbona yanazunguka mengi tu, si bora wakae kimya kiliko kusema raisi yuko fit na tulipima hiki?? kwani kiapo cha udaktari kinasemaje??? kama anakaidi, si bora waachie ngazi with honours kuliko kuharibu fani, unataka tuletewe wachina sio kama ya ulinzi wa mugabe?

SWALI LA MWISHO, WEWE KAMA DAKTARI... RAIS WAKO NI MGONJWA AU HAPANA??
 
Pengine swaumu au?
Acheni unafiki. Ni wazi kuwa huyu jamaa ni mgonjwa na hafai kuwa Rais kwa sababu hiyo. Jamaa amekuwa akianguka mara kwa mara HADHARANI. Bila shaka anaanguka pia in private ijapokuwa wanaficha hiyo. Tatizo ni kuwa CCM ikifanya kosa basi haijui namna ya kulisahihisha bali inaling'ang'ania tu na kudai kuwa mamboa sivyo yalivyo.
 

Fani imeingiliwa hii!
 

alishasemaga alipoanguka mwanza kuwa rais hana ukimwi na hana tatizo la akili yuko safi...hatakuja na jipya...we jitu zima la umri ule eti limeishiwa glucose ...this is a serious joke
 

I like sniffers for one thing, they know their duty very well-sniffing!!
 
Mwaka huu mtasikia mengi
Anayedaiwa mganga wa kienyeji O(mwenye joho) aliyekuwa mkutanoni akiwa chini ya ulinzi wa polisi - Source Global Publishers
View attachment 12756

Kwenye misafara yote ya Kikwete lazima kuna waganga wa kienyeji! Mkulu anawahusudu sana hao ndo maana madaktari wake hawasikilizi

Ina maana madogo walikamata mmoja wa wajumbe wa msafara wa Muungwana?
 
Mwaka huu mtasikia mengi
Anayedaiwa mganga wa kienyeji O(mwenye joho) aliyekuwa mkutanoni akiwa chini ya ulinzi wa polisi - Source Global Publishers
View attachment 12756

Jamaa wa Mang'ula wanamjua mganga wa Kikwete anaitwa Kalembwana, jana alikuwa naye pale amevaa suti na tunguli zake!

Kudadeki, ina maana baada ya tukio la jana la 'maroboti kugongana' bado Mheshimiwa Kalembwana yupo kazini?
 
Kudadeki, ina maana baada ya tukio la jana la 'maroboti kugongana' bado Mheshimiwa Kalembwana yupo kazini?

Usicheze na Kalembwana aisee! Mkulu amemnunulia nyumba mjini Dar na amempa usafir wa nguvu! Safari zote za mkulu Kalembwana yumo kwenye msafala. Jamaa anaingia ikulu bila appointment
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…