Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,289
nataka niwakumbushe watanzania wenzangu kuwa JK ni mwingi wa kuropokwa.....
sasa kwa hili sijui ameshalifanyia utafiti wa kiasi gani, na akaona linawezekana kiasi gani......ila kwa nyendo zake za nyuma si hasha kuwa kakurupuka tu.
naona kwa hili halitofanyika, na hata likifanyika ni kwa nyumba mbili au tatu tu.....lakini natusubiri tuone
sasa kwa hili sijui ameshalifanyia utafiti wa kiasi gani, na akaona linawezekana kiasi gani......ila kwa nyendo zake za nyuma si hasha kuwa kakurupuka tu.
naona kwa hili halitofanyika, na hata likifanyika ni kwa nyumba mbili au tatu tu.....lakini natusubiri tuone