Muda mfupi uliopita rais Jakaya Kikwete amehudhuria mazishi ya Mbunge wa kwanza wa Muleba David Bakanyoma Zimbihile(80) katika mtaa wa Bugombe kata ya Muleba akiwa na My wife wake.Kinachojadiliwa hapa Muleba ni kuondoka kimya kimya bila kuzungumza chochote juu ya huyo mpigania uhuru.
Wengine hapa nilipo wanabishana, eti JK alionekana kuwa na mawazo mengi hasa anapofikilia WaTz wanavyoteswa na mgawo wa umeme
Wengine hapa nilipo wanabishana, eti JK alionekana kuwa na mawazo mengi hasa anapofikilia WaTz wanavyoteswa na mgawo wa umeme