Lowassa vita ni vita mura jipange

Indaji

Senior Member
Jan 17, 2011
117
51
Vita ya Lowassa kwa Nyerere,Urais na Rais Jk.

Edward Lowassa na Rais Jakaya Kikwete walikuwa ni marafiki wa dhati mbele ya macho ya watu. Kila mmoja kwa nafsi yake alikuwa na lengo lake. Mmoja aliongozwa na uzalendo huku mwingine akiongozwa na maslahi.

Naweza kuita urafiki wao ulikuwa ni urafiki wa mkakati au mashaka na sio wa misingi au dhamira. Ulitokana na kuunganishwa na baadhi ya sababu ila kuu ikiwa ni madaraka na mamlaka. Nitamke wazi kuwa Rais Kikwete alikuwa na lengo la kushika dola na kutenda kiuadilifu ila Lowassa alikuwa na nia ya kujineemesha yeye, familia yake na marafiki zake kwa kuzifuja rasilimali za taifa hili.

Nitawarejesha nyuma kidogo mwaka 1995 wakati wa mvumo wa kambi iliyoitwa Boys 2 Men kwenye mbio za urais ndani ya Ccm. Kambi hii iliundwa na makada wawili Jakaya Kikwete na Edward Lowassa wakiwa na washirika wa pembeni na wa karibu kama kina Samweli John Sitta na Rostam Aziz.

Tofauti na Jakaya Kikwete na Samweli Sitta ambao waliongozwa na dhamira njema ya kuijenga Tanzania iliyo bora zaidi, Edward Lowassa na Rostam Aziz walikuwa na ajenda yao ya siri ambayo haikuwa na nia njema kwa nchi yetu. Wao waliwaza madaraka na mamlaka yenye kuwapa fursa za kiuchumi. Na taswira yao ndio iliyomponza Jakaya Kikwete.

Watu wa karibu na Rais Kikwete wanasema kuwa hata Mwalimu Nyerere hadi mauti yanamfika hakuwahi kuupenda urafiki wa Rais Kikwete na Edward Lowassa. Aliamini Rais Kikwete ni mtu makini anayetiwa doa na anayeamini ni rafiki yake wa dhati Edward Lowassa.

Kuna kiongozi mmoja ambaye mwaka 1995 alikuwa Balozi katika moja ya nchi duniani huko alienda kumwona Mwalimu Nyerere nyumbani kwake Msasani kwa minajili ya kumuuliza kama anaona Rais Kikwete alikuwa anafaa kwa wakati huo.Mwalimu Nyerere alimjibu kuwa kweli anafaa ila kuna siku atamwita ili waongee na kushauriana,na Mwalimu Nyerere kweli alifanya hivyo.

Siku ambayo Rais Kikwete aliitwa na kwenda kwa Mwalimu Nyerere alijikuta akifanya kosa la kiufundi.Kati ya alioongozana nao mmoja alikuwa na dosari naye sio mwingine bali ni Edward Lowassa.Mwalimu Nyerere alipoona Rais Kikwete kaongozana na Edward Lowassa aliahirisha kuzungumza alichotaka kuzungumza naye na kuwaambia kapata dharura hivyobasi atamtafuta siku nyingine.Ndipo Rais Kikwete alipong'atwa sikio na mtu mwingine tofauti kuwa Mwalimu Nyerere hakupendezwa na uwepo wa Edward Lowassa.

Lakini watu watajiuliza ni kwanini Mwalimu Nyerere alimchukia sana Edward Lowassa. Leo nitawaambia. Hizi ni baadhi ya sababu chache ila kuu ambazo zilimsukuma Mwalimu Nyerere kumwona ana kasoro likiwepo suala la uadilifu kwenye utumishi wa umma na chama kwa ujumla.

Mwaka 1983 ilitokea ziara ya watumishi tofauti wa Ccm kwenda Uingereza kujifunza masuala ya siasa na mmoja kati ya watumishi hao alikuwa Edward Lowassa.Wakiwa kule Edward Lowassa na wenzake walitembelea moja ya maduka makubwa ya nguo kwa ajili ya manunuzi ila cha kushangaza kutokana na kipato cha watumishi wa Ccm miaka ile kuwa kidogo kwasababu ya hali ya uchumi wa Tanzania kwa kipindi kile ila Edward Lowassa alimudu kununua jozi kumi za suti za gharama kitu kilichowaacha midomo wazi wenzake na hata wamiliki na wafanyakazi wa lile duka.

Waliporejea nchini Mwalimu Nyerere alipata taarifa juu ya manunuzi ya kufuru ya suti aliyofanya Edward Lowassa ambayo yalikuwa hayaendani na mshahara wake.Ndipo alipoamuru uchunguzi dhidi ya Edward Lowassa ufanyike.Ikagundulika alikuwa akijineemesha kifedha kupitia miradi ya chama ambayo kwa nafasi yake miaka ile alikuwa ndio anaisimamia kwenye ngazi ya mkoa hivyobasi hakuwa akiwasilisha mahesabu sahihi makao makuu ya chama.

Kama hiyo haitoshi mwanzoni mwa miaka ya tisini akiwa Waziri wa Ardhi aliwahi kuingia katika mgogoro na aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa idara ya mipaka ya kimataifa kwenye wizara hiyo aliyeitwa Jumanne Kamaka baada ya kumtaka aidhinishe kiasi kikubwa cha pesa kutoka katika idara yake ili kikamsaidie kwenye kampeni zake za urais.Mkurugezi yule alikataa na akatishia kuachia ngazi ili kulinda heshima yake kwa serikali.Hizi hitilafu chache miongoni mwa nyingi alizonazo za kimaadili za Edward Lowassa zilimshawishi kwa kiasi kikubwa Mwalimu Nyerere kutompenda Edward Lowassa.

Lowassa hakuanza leo kuhonga makundi ya kuandamana kumtaka agombee.Amewahi kufanya hivi hata kabla ya kuwa mbunge wa jimbo la Monduli.Alipojiona kuwa anautaka ubunge wa Monduli,alianza kutumia makundi ya vijana ili yaandamane kuonesha kuwa jamii ya kwao inamhitaji.Na katika hili alitumia vibaya fedha za AICC kutimiza matakwa yake.Ni kipindi ambacho alikuwa Mkurugenzi wa AICC.Fitna hizi alizifanya dhidi ya aliyekuwa mbunge wa Monduli zama zile,Mzee Lumomo.

Haya maovu ya Lowassa ni machache kati ya mengi kama nilivyosema awali kuwa yalimkera sana Mwalimu Nyerere.Ilipotimu mwaka 1995 Lowassa alidhamiria kwa dhati kuwa rais kama ilivyo sasa lakini alijificha nyuma ya kivuli cha Rais Kikwete kama msindikizaji ili kukwepa "panga" la Mwalimu Nyerere.Na ili kujipambanua mbele ya jamii ya taifa hili Lowassa alitumia mamilioni ya shilingi aliyovuna kwenye biashara haramu ya ardhi na mfanyabiashara tapeli Baghdad akiwa Waziri wa ardhi kwenye kuhonga waandishi wa habari na kuigawa Jumuiya ya Vijana ya Ccm.

Magazeti mengi nchini yalimwandika yeye kwa habari za kumpamba kama ilivyo sasa.Vijana ndani ya Uvccm walitoa matamko ya kumuunga mkono kwa pesa alizowahonga.Kubwa kuliko ni pale alipokodi ndege binafsi kwa ajili ya kuzunguka mikoani kukusanya saini za wadhamini wa fomu yake ya urais.Hapa ndipo Lowassa alipomuingiza mkenge Rais Kikwete kwa kumwambia atamsaidia lifti katika ndege aliyokodi ili azunguke naye kusaka wadhamini mikoani wa fomu zao za urais.

Wazee ndani ya Ccm walimshangaa sana Lowassa hususani juu ya ukwasi wake wakati ule ambao Tanzania haikuwa na hali nzuri ya kiuchumi hadi kufikia kukodi ndege binafsi.Mwalimu Nyerere hakulipenda hili.Ni kwasababu Lowassa aliishi kifahari mbele ya jamii masikini.Hili jambo likawa moja ya sababu kati ya nyingi zilizomfanya yeye Mwalimu Nyerere kushinikiza kuondolewa kwa jina la Lowassa kwenye mbio za urais mwaka 1995.

Sababu hii pia ilimponza Rais Kikwete.Na ilichochea zaidi wakati wa mahojiano ya Kamati Kuu na wagombea urais ambapo Mwalimu Nyerere alimuuliza Rais Kikwete endapo akichaguliwa na chama chake kuwa mgombea urais kwa wakati ule je ni nani angekuwa Waziri Mkuu wake!?Rais Kikwete bila kujua anajikaanga alimtaja Edward Lowassa.Hili likamponza na kumfanya naye aenguliwe kwenye "kipute" kile cha urais kupitia Ccm.Ishara iliyopo ni kwamba Lowassa ana damu ya kunguni mbele ya waitakiao mema Tanzania.

Lowassa aliamua kurudi Monduli ili agombee ubunge baada ya kuona kwenye urais mambo yamemuendea mrama.Na hata baada ya kugombea na kushinda ubunge wa Monduli bado hakuteuliwa kwenye baraza la kwanza la mawaziri la Mzee Mkapa.Hili lilimchanganya na kuwa mlevi kupindukia hadi pale Askofu Leizer wa KKKT alipomfuata Mzee Mkapa na kumwombea amteue.Mzee Mkapa alimteua uwaziri wa Mazingira kwenye ofisi ya Waziri Mkuu baada ya miaka miwili ya kusota benchi bila uwaziri.Uamuzi wa Mzee Mkapa kumteua Lowassa kwenye nafasi ya uwaziri ulimsononesha sana Mwalimu Nyerere.

Hadi awamu ya miaka mitano ya mwanzo ya uongozi wa Mzee Mkapa inamalizika urafiki kati ya Rais Kikwete na Lowassa uliendelea kuwepo.Lakini,Lowassa hakuwa rafiki wa dhati wa Rais Kikwete.Na ushahidi usiopingika ni kwamba Lowassa alifurahia sana kifo cha Mwalimu Nyerere akijua fika atampiku Rais Kikwete ndani ya Ccm.Na ndio maana Lowassa hakushiriki kwenye mazishi ya Mwalimu Nyerere ila ajabu ni kwamba mwaka huu ameshiriki kinafiki kwenye mazishi ya mtoto wa Mwalimu Nyerere aitwaye John Nyerere.

Lakini ambacho Lowassa hakujua ni kwamba Rais Kikwete alikuwa makini naye na tangu mpambano wa 1995 uishe ndani ya Ccm alianza kuishi maisha ya kuja kuwa rais wa awamu ya tano kwa kuwa makini na makandokando kitu ambacho Lowassa aliyezoea maisha ya kuhujumu mali ya umma alishindwa kuyaishi maadili ya uongozi.

Mwaka 2005 ilipokaribia muda wa uchaguzi ndani ya Ccm,Lowassa alidhamiria kuchukua fomu ya kugombea urais na aliunda genge lake la kampeni akishirikiana na- Rostam Aziz pamoja na Nazir Karamagi.Hawa niliowataja hapa ndio vinara wa ufisadi nchini na ndio hadi sasa wanamsaidia Lowassa kwenye vita ya kuwania rais dhidi ya kada msafi.

Kwa tuliokuwa tukihudhuria vikao vya mikakati juu ya upangaji wa timu ya kumsaidia Rais Kikwete kipindi hiki tuliiona tamaa ya Lowassa kwenye urais ila tukaamua kutumia busara kumshauri asigombee- naye akakubali kwa masharti kuwa ateuliwe kwenye nafasi kubwa kwenye serikali ya awamu ya nne.

Ndipo tukaunda timu ya kampeni ya kumsaidia Rais Kikwete na Lowassa pia akiwa sehemu ya timu hii.Kama mnavyojua timu ya kampeni ya Rais Kikwete iliundwa pia na makachero waliokubuhu kutoka Idara ya Usalama wa Taifa,hawa pamoja na kuwa sehemu ya mikakati ya kumsaidia Rais Kikwete katika kampeni zake ila pia walijitolea kufanya kazi ya kumchunguza Lowassa kama kweli alikuwa na nia ya dhati ya kumsaidia Rais Kikwete na ikaja kugundulika kuwa Lowassa alidhamiria kumpinga Rais Kikwete ikifika mwaka 2010.

Baada ya ushindi wa Rais Kikwete mwaka 2005 Lowassa aliteuliwa kuwa Waziri Mkuu japo ilikuwa ni baada ya Rostam Aziz kumfitini Samweli Sitta aliyekuwa chaguo la Rais Kikwete.Baada ya Lowassa kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu alianza hujuma dhidi ya Rais Kikwete.Baadhi ya hujuma hizo ni;alianzisha utaratibu wa kuwapigia simu baadhi ya watu waliokuwa wanateuliwa na Rais Kikwete kwenye nafasi mbalimbali serikalini na kuwalaghai kuwa yeye ndio kapendekeza wateuliwe maana Rais Kikwete alikuwa hataki kabisa.

Hii ilimsaidia Lowassa kuaminika kwa baadhi ya wateule wa Rais Kikwete na wengi wao wakiwa ni wakuu wa mikoa,wakuu wa wilaya,wakurugenzi wa manispaa na halmashauri,wakurugenzi wa mashirika pamoja na mawaziri na naibu mawaziri.Alikuwa akifanya hivi ili kudhoofisha serikali ya Rais Kikwete.Lowassa alikuwa akijitengenezea njia ya kwenda ikulu kwa kujiwekea mazingira ya kuabudiwa na hawa watumishi wateuliwe wa Rais Kikwete na hatimaye hata wao wakapoteza usikivu kwa Rais Kikwete.

Haya yote Rais Kikwete hakuyajua hadi pale siku alipotaka kuteua Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege la Tanzania.Rais Kikwete alipanga kumteua David Mattaka ila kwakuwa Lowassa na aliyekuwa Waziri wa Miundombinu wakati ule na mbunge wa Bariadi Mashariki Andrew Chenge hawakumtaka kwasababu hakuwa akiunga mkono uchafu wao walihakikisha wanampigia simu ili kumvujishia siri kuwa atateuliwa kuongoza Shirika la Ndege la Tanzania na kwamba yeye Lowassa amempigania sana hadi uteuzi wake kuidhinishwa na Rais Kikwete,nia ya Lowassa ikiwa ni kuabudiwa na David Mattaka na kuhakikisha anajitengenezea mazingira ya kuwa rais ikifika 2010 kwa kuungwa mkono na kila kiongozi ndani ya serikali.

Watu mnaweza kujiuliza ni kwanini Idara ya Usalama wa Taifa ilikuwa kimya juu ya hujuma za Lowassa dhidi ya Rais Kikwete!?Kwa kawaida idara hii huwa inafanya kazi kwa kukusanya ushahidi wa kutosha kabla ya kuwasilisha ripoti yake mbele ya taasisi husika.Wakati wakijiandaa kupeleka ripoti yao ndipo kukafuka moshi wa skendo mbili kubwa nchini ambazo moja ni ile ya Richmond na NIC.Ila hii ya NIC ilizuiwa mapema kabla ya kutokea na siku ya leo nitaiongelea kidogo ili kuwapa faida watanzania wenzangu.

Richmond inajulikana sana,naomba nisiiongelee tena.Nitaizungumzia hii ya NIC ambapo Lowassa alikula kamisheni ya dola milioni mbili akishirikiana na Ole Naiko aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania.Katika skendo hii Lowassa alikubaliana na mmoja wa matapeli wakubwa duniani kumpatia NIC ili aiendeshe na kisha magari yote yawe yanakata bima kwenye kampuni binafsi ya bima inayomilikiwa na Lowassa iitwayo Alfa Insurance Company yenye makao makuu yake jijini Dar es salaam.

Ndipo Idara ya Usalama wa Taifa ilipoamua kuwasilisha ripoti yake juu ya maadili mabaya ya Lowassa kwa Rais Kikwete.Rais Kikwete alipoisoma alighafirika sana.Aliumizwa sana na mkakati wa Lowassa ulioitwa OP yaani "One Term President" ikiwa ni mpango wa kutaka Rais Kikwete aongoze nchi kwa mhula mmoja 2005-2010.Kisha Lowassa agombee kwa ajili ya mihula miwili 2010-2020.Kisha Lowassa akapanga kuwa endapo mkakati huu utakwama basi ifikapo 2012 amvue kofia ya uenyekiti wa chama Rais Kikwete.

Washirika wakuu katika mikakati hii tulikuwa mimi,Hussein Bashe,Lawrence Masha,Rostam Aziz na Nazir Karamagi.Ndipo kwa kutumia turufu yake ya ukuu wa nchi na kiongozi mkuu wa chama alipofikishiwa ripoti ya Richmond dhidi ya Lowassa alimwajibisha na sio kama kweli Lowassa alijiuzulu kwa maslahi ya serikali na chama kama inavyozungumziwa na baadhi ya watu.

Itaendelea kesho......

Imeandikwa na Kingunge Ngombale
.
 
Umekosea tu unaposema kwamba mwandishi wa tuhuma hizo ni mzee Kingunge Ngombale.

Nimeanzisha thread ya kuuliza hii mashine ya propaganda ya CCM nani kaiharibu na naona hapa naanza kupata watuhumiwa.
 
This is the END of ufisadi wake. Na hataweza tena.
 
Hii habari ni uzushi. Mwaka wa 1982 mimi nilikuwa mfanyakazi mdogo sana STAMICO (mara tu baada ya kumaliza form six) lakini kwa mshahara wangu mdogo MSU 4 wakati huo niliweza kununua suti 10 kali kwenye duka la Mark and Spencer Nchini Uingereza kwa chini ya Poundi 100 . Lowasa ambaye alikuwa afisa wa juu kwenye chama asingeshindwa kufanya hivyo.

Waziri mkuu ndiye anamshauri Rais wakati wa uteuzi wa Ma RC and Ma DC na viongozi wengine, kwa hiyo kama kweli Lowasa aliwapigia simu hao wateule si majungu bali alishiriki kwenye utezi wao.

Fisadi wa Richmond anafahamika na kila mtu. Ripoti ya bunge haijamtaja Lowasa popote kuhusika kwake na Ufisadi wa Richmond , kaisome ripoti hiyo vizuri.

Kingunge hawezi kuandika upuuzi huu
 
Hii ripoti badala ya kuanika matatizo ya ufisadi wa Lowasa inaanika udhaifu mkubwa wa mfumo wetu wa uongozi kama nchi. Inaonesha kwamba ukiwa kiongozi wa nchi hii hata ufanye dhambi kubwa kiasi gani huwezi kuchukuliwa hatua.

Kama kweli alifanya yote hayo miaka yote hiyo kwenye awamu zote za uongozi basi tunahitaji kufumua mfumo uliopo. Makosa yote haya inamaanisha sasa hivi alitakiwa asijulikane kwenye siasa za Tanzania. Swali kubwa la kujibu ni, kwanini Lowasa ameendelea kuwa juu kwenye siasa za Tanzania japo dhambi zake zote zilikuwa zikijulikana?

Je, ndugu mwandishi uko tayari kukiri kwamba kuna kundi la watu Tanzania liko juu ya sheria? Na kama ni ndio basi hatuna uongozi wa sheria Tanzania kwa miaka yote ya uhuru.

Nina mengi ya kuandika lakini naomba niishie hapo kwa leo.
 
Kama yanatoka machapishio makubwa kiasi hiki hili kumbe siyo jambo dogo. Sasa hivi mtu mbaya namna hii system ilikaa naye tu mpaka ianze kusema sasa ina maana waliobaki ni wabaya kuliko yeye au mwandishi anasema nini ili atusaidie kufanya maamuzi Oktoba 2015
 
Vita ya Lowassa kwa Nyerere,Urais na Rais Jk.

Edward Lowassa na Rais Jakaya Kikwete walikuwa ni marafiki wa dhati mbele ya macho ya watu. Kila mmoja kwa nafsi yake alikuwa na lengo lake. Mmoja aliongozwa na uzalendo huku mwingine akiongozwa na maslahi.

Naweza kuita urafiki wao ulikuwa ni urafiki wa mkakati au mashaka na sio wa misingi au dhamira. Ulitokana na kuunganishwa na baadhi ya sababu ila kuu ikiwa ni madaraka na mamlaka. Nitamke wazi kuwa Rais Kikwete alikuwa na lengo la kushika dola na kutenda kiuadilifu ila Lowassa alikuwa na nia ya kujineemesha yeye, familia yake na marafiki zake kwa kuzifuja rasilimali za taifa hili.

Nitawarejesha nyuma kidogo mwaka 1995 wakati wa mvumo wa kambi iliyoitwa Boys 2 Men kwenye mbio za urais ndani ya Ccm. Kambi hii iliundwa na makada wawili Jakaya Kikwete na Edward Lowassa wakiwa na washirika wa pembeni na wa karibu kama kina Samweli John Sitta na Rostam Aziz.

Tofauti na Jakaya Kikwete na Samweli Sitta ambao waliongozwa na dhamira njema ya kuijenga Tanzania iliyo bora zaidi, Edward Lowassa na Rostam Aziz walikuwa na ajenda yao ya siri ambayo haikuwa na nia njema kwa nchi yetu. Wao waliwaza madaraka na mamlaka yenye kuwapa fursa za kiuchumi. Na taswira yao ndio iliyomponza Jakaya Kikwete.

Watu wa karibu na Rais Kikwete wanasema kuwa hata Mwalimu Nyerere hadi mauti yanamfika hakuwahi kuupenda urafiki wa Rais Kikwete na Edward Lowassa. Aliamini Rais Kikwete ni mtu makini anayetiwa doa na anayeamini ni rafiki yake wa dhati Edward Lowassa.

Kuna kiongozi mmoja ambaye mwaka 1995 alikuwa Balozi katika moja ya nchi duniani huko alienda kumwona Mwalimu Nyerere nyumbani kwake Msasani kwa minajili ya kumuuliza kama anaona Rais Kikwete alikuwa anafaa kwa wakati huo.Mwalimu Nyerere alimjibu kuwa kweli anafaa ila kuna siku atamwita ili waongee na kushauriana,na Mwalimu Nyerere kweli alifanya hivyo.

Siku ambayo Rais Kikwete aliitwa na kwenda kwa Mwalimu Nyerere alijikuta akifanya kosa la kiufundi.Kati ya alioongozana nao mmoja alikuwa na dosari naye sio mwingine bali ni Edward Lowassa.Mwalimu Nyerere alipoona Rais Kikwete kaongozana na Edward Lowassa aliahirisha kuzungumza alichotaka kuzungumza naye na kuwaambia kapata dharura hivyobasi atamtafuta siku nyingine.Ndipo Rais Kikwete alipong'atwa sikio na mtu mwingine tofauti kuwa Mwalimu Nyerere hakupendezwa na uwepo wa Edward Lowassa.

Lakini watu watajiuliza ni kwanini Mwalimu Nyerere alimchukia sana Edward Lowassa. Leo nitawaambia. Hizi ni baadhi ya sababu chache ila kuu ambazo zilimsukuma Mwalimu Nyerere kumwona ana kasoro likiwepo suala la uadilifu kwenye utumishi wa umma na chama kwa ujumla.

Mwaka 1983 ilitokea ziara ya watumishi tofauti wa Ccm kwenda Uingereza kujifunza masuala ya siasa na mmoja kati ya watumishi hao alikuwa Edward Lowassa.Wakiwa kule Edward Lowassa na wenzake walitembelea moja ya maduka makubwa ya nguo kwa ajili ya manunuzi ila cha kushangaza kutokana na kipato cha watumishi wa Ccm miaka ile kuwa kidogo kwasababu ya hali ya uchumi wa Tanzania kwa kipindi kile ila Edward Lowassa alimudu kununua jozi kumi za suti za gharama kitu kilichowaacha midomo wazi wenzake na hata wamiliki na wafanyakazi wa lile duka.

Waliporejea nchini Mwalimu Nyerere alipata taarifa juu ya manunuzi ya kufuru ya suti aliyofanya Edward Lowassa ambayo yalikuwa hayaendani na mshahara wake.Ndipo alipoamuru uchunguzi dhidi ya Edward Lowassa ufanyike.Ikagundulika alikuwa akijineemesha kifedha kupitia miradi ya chama ambayo kwa nafasi yake miaka ile alikuwa ndio anaisimamia kwenye ngazi ya mkoa hivyobasi hakuwa akiwasilisha mahesabu sahihi makao makuu ya chama.

Kama hiyo haitoshi mwanzoni mwa miaka ya tisini akiwa Waziri wa Ardhi aliwahi kuingia katika mgogoro na aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa idara ya mipaka ya kimataifa kwenye wizara hiyo aliyeitwa Jumanne Kamaka baada ya kumtaka aidhinishe kiasi kikubwa cha pesa kutoka katika idara yake ili kikamsaidie kwenye kampeni zake za urais.Mkurugezi yule alikataa na akatishia kuachia ngazi ili kulinda heshima yake kwa serikali.Hizi hitilafu chache miongoni mwa nyingi alizonazo za kimaadili za Edward Lowassa zilimshawishi kwa kiasi kikubwa Mwalimu Nyerere kutompenda Edward Lowassa.

Lowassa hakuanza leo kuhonga makundi ya kuandamana kumtaka agombee.Amewahi kufanya hivi hata kabla ya kuwa mbunge wa jimbo la Monduli.Alipojiona kuwa anautaka ubunge wa Monduli,alianza kutumia makundi ya vijana ili yaandamane kuonesha kuwa jamii ya kwao inamhitaji.Na katika hili alitumia vibaya fedha za AICC kutimiza matakwa yake.Ni kipindi ambacho alikuwa Mkurugenzi wa AICC.Fitna hizi alizifanya dhidi ya aliyekuwa mbunge wa Monduli zama zile,Mzee Lumomo.

Haya maovu ya Lowassa ni machache kati ya mengi kama nilivyosema awali kuwa yalimkera sana Mwalimu Nyerere.Ilipotimu mwaka 1995 Lowassa alidhamiria kwa dhati kuwa rais kama ilivyo sasa lakini alijificha nyuma ya kivuli cha Rais Kikwete kama msindikizaji ili kukwepa "panga" la Mwalimu Nyerere.Na ili kujipambanua mbele ya jamii ya taifa hili Lowassa alitumia mamilioni ya shilingi aliyovuna kwenye biashara haramu ya ardhi na mfanyabiashara tapeli Baghdad akiwa Waziri wa ardhi kwenye kuhonga waandishi wa habari na kuigawa Jumuiya ya Vijana ya Ccm.

Magazeti mengi nchini yalimwandika yeye kwa habari za kumpamba kama ilivyo sasa.Vijana ndani ya Uvccm walitoa matamko ya kumuunga mkono kwa pesa alizowahonga.Kubwa kuliko ni pale alipokodi ndege binafsi kwa ajili ya kuzunguka mikoani kukusanya saini za wadhamini wa fomu yake ya urais.Hapa ndipo Lowassa alipomuingiza mkenge Rais Kikwete kwa kumwambia atamsaidia lifti katika ndege aliyokodi ili azunguke naye kusaka wadhamini mikoani wa fomu zao za urais.

Wazee ndani ya Ccm walimshangaa sana Lowassa hususani juu ya ukwasi wake wakati ule ambao Tanzania haikuwa na hali nzuri ya kiuchumi hadi kufikia kukodi ndege binafsi.Mwalimu Nyerere hakulipenda hili.Ni kwasababu Lowassa aliishi kifahari mbele ya jamii masikini.Hili jambo likawa moja ya sababu kati ya nyingi zilizomfanya yeye Mwalimu Nyerere kushinikiza kuondolewa kwa jina la Lowassa kwenye mbio za urais mwaka 1995.

Sababu hii pia ilimponza Rais Kikwete.Na ilichochea zaidi wakati wa mahojiano ya Kamati Kuu na wagombea urais ambapo Mwalimu Nyerere alimuuliza Rais Kikwete endapo akichaguliwa na chama chake kuwa mgombea urais kwa wakati ule je ni nani angekuwa Waziri Mkuu wake!?Rais Kikwete bila kujua anajikaanga alimtaja Edward Lowassa.Hili likamponza na kumfanya naye aenguliwe kwenye "kipute" kile cha urais kupitia Ccm.Ishara iliyopo ni kwamba Lowassa ana damu ya kunguni mbele ya waitakiao mema Tanzania.

Lowassa aliamua kurudi Monduli ili agombee ubunge baada ya kuona kwenye urais mambo yamemuendea mrama.Na hata baada ya kugombea na kushinda ubunge wa Monduli bado hakuteuliwa kwenye baraza la kwanza la mawaziri la Mzee Mkapa.Hili lilimchanganya na kuwa mlevi kupindukia hadi pale Askofu Leizer wa KKKT alipomfuata Mzee Mkapa na kumwombea amteue.Mzee Mkapa alimteua uwaziri wa Mazingira kwenye ofisi ya Waziri Mkuu baada ya miaka miwili ya kusota benchi bila uwaziri.Uamuzi wa Mzee Mkapa kumteua Lowassa kwenye nafasi ya uwaziri ulimsononesha sana Mwalimu Nyerere.

Hadi awamu ya miaka mitano ya mwanzo ya uongozi wa Mzee Mkapa inamalizika urafiki kati ya Rais Kikwete na Lowassa uliendelea kuwepo.Lakini,Lowassa hakuwa rafiki wa dhati wa Rais Kikwete.Na ushahidi usiopingika ni kwamba Lowassa alifurahia sana kifo cha Mwalimu Nyerere akijua fika atampiku Rais Kikwete ndani ya Ccm.Na ndio maana Lowassa hakushiriki kwenye mazishi ya Mwalimu Nyerere ila ajabu ni kwamba mwaka huu ameshiriki kinafiki kwenye mazishi ya mtoto wa Mwalimu Nyerere aitwaye John Nyerere.

Lakini ambacho Lowassa hakujua ni kwamba Rais Kikwete alikuwa makini naye na tangu mpambano wa 1995 uishe ndani ya Ccm alianza kuishi maisha ya kuja kuwa rais wa awamu ya tano kwa kuwa makini na makandokando kitu ambacho Lowassa aliyezoea maisha ya kuhujumu mali ya umma alishindwa kuyaishi maadili ya uongozi.

Mwaka 2005 ilipokaribia muda wa uchaguzi ndani ya Ccm,Lowassa alidhamiria kuchukua fomu ya kugombea urais na aliunda genge lake la kampeni akishirikiana na- Rostam Aziz pamoja na Nazir Karamagi.Hawa niliowataja hapa ndio vinara wa ufisadi nchini na ndio hadi sasa wanamsaidia Lowassa kwenye vita ya kuwania rais dhidi ya kada msafi.

Kwa tuliokuwa tukihudhuria vikao vya mikakati juu ya upangaji wa timu ya kumsaidia Rais Kikwete kipindi hiki tuliiona tamaa ya Lowassa kwenye urais ila tukaamua kutumia busara kumshauri asigombee- naye akakubali kwa masharti kuwa ateuliwe kwenye nafasi kubwa kwenye serikali ya awamu ya nne.

Ndipo tukaunda timu ya kampeni ya kumsaidia Rais Kikwete na Lowassa pia akiwa sehemu ya timu hii.Kama mnavyojua timu ya kampeni ya Rais Kikwete iliundwa pia na makachero waliokubuhu kutoka Idara ya Usalama wa Taifa,hawa pamoja na kuwa sehemu ya mikakati ya kumsaidia Rais Kikwete katika kampeni zake ila pia walijitolea kufanya kazi ya kumchunguza Lowassa kama kweli alikuwa na nia ya dhati ya kumsaidia Rais Kikwete na ikaja kugundulika kuwa Lowassa alidhamiria kumpinga Rais Kikwete ikifika mwaka 2010.

Baada ya ushindi wa Rais Kikwete mwaka 2005 Lowassa aliteuliwa kuwa Waziri Mkuu japo ilikuwa ni baada ya Rostam Aziz kumfitini Samweli Sitta aliyekuwa chaguo la Rais Kikwete.Baada ya Lowassa kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu alianza hujuma dhidi ya Rais Kikwete.Baadhi ya hujuma hizo ni;alianzisha utaratibu wa kuwapigia simu baadhi ya watu waliokuwa wanateuliwa na Rais Kikwete kwenye nafasi mbalimbali serikalini na kuwalaghai kuwa yeye ndio kapendekeza wateuliwe maana Rais Kikwete alikuwa hataki kabisa.

Hii ilimsaidia Lowassa kuaminika kwa baadhi ya wateule wa Rais Kikwete na wengi wao wakiwa ni wakuu wa mikoa,wakuu wa wilaya,wakurugenzi wa manispaa na halmashauri,wakurugenzi wa mashirika pamoja na mawaziri na naibu mawaziri.Alikuwa akifanya hivi ili kudhoofisha serikali ya Rais Kikwete.Lowassa alikuwa akijitengenezea njia ya kwenda ikulu kwa kujiwekea mazingira ya kuabudiwa na hawa watumishi wateuliwe wa Rais Kikwete na hatimaye hata wao wakapoteza usikivu kwa Rais Kikwete.

Haya yote Rais Kikwete hakuyajua hadi pale siku alipotaka kuteua Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege la Tanzania.Rais Kikwete alipanga kumteua David Mattaka ila kwakuwa Lowassa na aliyekuwa Waziri wa Miundombinu wakati ule na mbunge wa Bariadi Mashariki Andrew Chenge hawakumtaka kwasababu hakuwa akiunga mkono uchafu wao walihakikisha wanampigia simu ili kumvujishia siri kuwa atateuliwa kuongoza Shirika la Ndege la Tanzania na kwamba yeye Lowassa amempigania sana hadi uteuzi wake kuidhinishwa na Rais Kikwete,nia ya Lowassa ikiwa ni kuabudiwa na David Mattaka na kuhakikisha anajitengenezea mazingira ya kuwa rais ikifika 2010 kwa kuungwa mkono na kila kiongozi ndani ya serikali.

Watu mnaweza kujiuliza ni kwanini Idara ya Usalama wa Taifa ilikuwa kimya juu ya hujuma za Lowassa dhidi ya Rais Kikwete!?Kwa kawaida idara hii huwa inafanya kazi kwa kukusanya ushahidi wa kutosha kabla ya kuwasilisha ripoti yake mbele ya taasisi husika.Wakati wakijiandaa kupeleka ripoti yao ndipo kukafuka moshi wa skendo mbili kubwa nchini ambazo moja ni ile ya Richmond na NIC.Ila hii ya NIC ilizuiwa mapema kabla ya kutokea na siku ya leo nitaiongelea kidogo ili kuwapa faida watanzania wenzangu.

Richmond inajulikana sana,naomba nisiiongelee tena.Nitaizungumzia hii ya NIC ambapo Lowassa alikula kamisheni ya dola milioni mbili akishirikiana na Ole Naiko aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania.Katika skendo hii Lowassa alikubaliana na mmoja wa matapeli wakubwa duniani kumpatia NIC ili aiendeshe na kisha magari yote yawe yanakata bima kwenye kampuni binafsi ya bima inayomilikiwa na Lowassa iitwayo Alfa Insurance Company yenye makao makuu yake jijini Dar es salaam.

Ndipo Idara ya Usalama wa Taifa ilipoamua kuwasilisha ripoti yake juu ya maadili mabaya ya Lowassa kwa Rais Kikwete.Rais Kikwete alipoisoma alighafirika sana.Aliumizwa sana na mkakati wa Lowassa ulioitwa OP yaani "One Term President" ikiwa ni mpango wa kutaka Rais Kikwete aongoze nchi kwa mhula mmoja 2005-2010.Kisha Lowassa agombee kwa ajili ya mihula miwili 2010-2020.Kisha Lowassa akapanga kuwa endapo mkakati huu utakwama basi ifikapo 2012 amvue kofia ya uenyekiti wa chama Rais Kikwete.

Washirika wakuu katika mikakati hii tulikuwa mimi,Hussein Bashe,Lawrence Masha,Rostam Aziz na Nazir Karamagi.Ndipo kwa kutumia turufu yake ya ukuu wa nchi na kiongozi mkuu wa chama alipofikishiwa ripoti ya Richmond dhidi ya Lowassa alimwajibisha na sio kama kweli Lowassa alijiuzulu kwa maslahi ya serikali na chama kama inavyozungumziwa na baadhi ya watu.

Itaendelea kesho......

Imeandikwa na Kingunge Ngombale
.

Nimekusoma na nimekuelewa vizuri,wewe ama utakuwa ni mzushi uliye kubuhu ama ni mkweli uliye kubuhu kwa kuanika hadharani udhaifu wa serikali/mamlaka za awamu zote zilizo mkirim mtu hatari namna hii kwa serikali husika. mwandishi unaonekana kujua mengi ebu tuambie uhalali wa ccm na serikali yake kuendelea kushika dola katika nchi ikiwa imeshindwa kumchukulia hatua mtu hatari namna hii kwa chama na kwa serikali yake. ikiwa wewe ni mkweli katika thread yako huoni kuwa huyu mtu alikuwa mhaini na kamandivyo kwa nini hakuchukuliwa hatua za haraka za kiusalama kwa chama na serikali yake? kwa kwa kosa hilo la kiinteligensia huoni hatari ya mtu huyu kuiangamiza ccm na serikali yake? kama uliyoyandika ni kweli vyombo vyetu vya usalama vina stahili kuendelea kuaminika kwa wananchi kwa kufumbia macho uhaini uliofanywa na mtu huyu? Majibu tafadhali. kama ndivyo ilivyo usiendelee tena kupost hii mada hapa maana inaleta kichefuchefu kwa watu makini; kama sivyo unaweza enendeleza porojo na propaganda zako zilizo shindikana kimfumo.
 
Vita ya Lowassa kwa Nyerere,Urais na Rais Jk.

Edward Lowassa na Rais Jakaya Kikwete walikuwa ni marafiki wa dhati mbele ya macho ya watu. Kila mmoja kwa nafsi yake alikuwa na lengo lake. Mmoja aliongozwa na uzalendo huku mwingine akiongozwa na maslahi.

Naweza kuita urafiki wao ulikuwa ni urafiki wa mkakati au mashaka na sio wa misingi au dhamira. Ulitokana na kuunganishwa na baadhi ya sababu ila kuu ikiwa ni madaraka na mamlaka. Nitamke wazi kuwa Rais Kikwete alikuwa na lengo la kushika dola na kutenda kiuadilifu ila Lowassa alikuwa na nia ya kujineemesha yeye, familia yake na marafiki zake kwa kuzifuja rasilimali za taifa hili.

Nitawarejesha nyuma kidogo mwaka 1995 wakati wa mvumo wa kambi iliyoitwa Boys 2 Men kwenye mbio za urais ndani ya Ccm. Kambi hii iliundwa na makada wawili Jakaya Kikwete na Edward Lowassa wakiwa na washirika wa pembeni na wa karibu kama kina Samweli John Sitta na Rostam Aziz.

Tofauti na Jakaya Kikwete na Samweli Sitta ambao waliongozwa na dhamira njema ya kuijenga Tanzania iliyo bora zaidi, Edward Lowassa na Rostam Aziz walikuwa na ajenda yao ya siri ambayo haikuwa na nia njema kwa nchi yetu. Wao waliwaza madaraka na mamlaka yenye kuwapa fursa za kiuchumi. Na taswira yao ndio iliyomponza Jakaya Kikwete.

Watu wa karibu na Rais Kikwete wanasema kuwa hata Mwalimu Nyerere hadi mauti yanamfika hakuwahi kuupenda urafiki wa Rais Kikwete na Edward Lowassa. Aliamini Rais Kikwete ni mtu makini anayetiwa doa na anayeamini ni rafiki yake wa dhati Edward Lowassa.

Kuna kiongozi mmoja ambaye mwaka 1995 alikuwa Balozi katika moja ya nchi duniani huko alienda kumwona Mwalimu Nyerere nyumbani kwake Msasani kwa minajili ya kumuuliza kama anaona Rais Kikwete alikuwa anafaa kwa wakati huo.Mwalimu Nyerere alimjibu kuwa kweli anafaa ila kuna siku atamwita ili waongee na kushauriana,na Mwalimu Nyerere kweli alifanya hivyo.

Siku ambayo Rais Kikwete aliitwa na kwenda kwa Mwalimu Nyerere alijikuta akifanya kosa la kiufundi.Kati ya alioongozana nao mmoja alikuwa na dosari naye sio mwingine bali ni Edward Lowassa.Mwalimu Nyerere alipoona Rais Kikwete kaongozana na Edward Lowassa aliahirisha kuzungumza alichotaka kuzungumza naye na kuwaambia kapata dharura hivyobasi atamtafuta siku nyingine.Ndipo Rais Kikwete alipong'atwa sikio na mtu mwingine tofauti kuwa Mwalimu Nyerere hakupendezwa na uwepo wa Edward Lowassa.

Lakini watu watajiuliza ni kwanini Mwalimu Nyerere alimchukia sana Edward Lowassa. Leo nitawaambia. Hizi ni baadhi ya sababu chache ila kuu ambazo zilimsukuma Mwalimu Nyerere kumwona ana kasoro likiwepo suala la uadilifu kwenye utumishi wa umma na chama kwa ujumla.

Mwaka 1983 ilitokea ziara ya watumishi tofauti wa Ccm kwenda Uingereza kujifunza masuala ya siasa na mmoja kati ya watumishi hao alikuwa Edward Lowassa.Wakiwa kule Edward Lowassa na wenzake walitembelea moja ya maduka makubwa ya nguo kwa ajili ya manunuzi ila cha kushangaza kutokana na kipato cha watumishi wa Ccm miaka ile kuwa kidogo kwasababu ya hali ya uchumi wa Tanzania kwa kipindi kile ila Edward Lowassa alimudu kununua jozi kumi za suti za gharama kitu kilichowaacha midomo wazi wenzake na hata wamiliki na wafanyakazi wa lile duka.

Waliporejea nchini Mwalimu Nyerere alipata taarifa juu ya manunuzi ya kufuru ya suti aliyofanya Edward Lowassa ambayo yalikuwa hayaendani na mshahara wake.Ndipo alipoamuru uchunguzi dhidi ya Edward Lowassa ufanyike.Ikagundulika alikuwa akijineemesha kifedha kupitia miradi ya chama ambayo kwa nafasi yake miaka ile alikuwa ndio anaisimamia kwenye ngazi ya mkoa hivyobasi hakuwa akiwasilisha mahesabu sahihi makao makuu ya chama.

Kama hiyo haitoshi mwanzoni mwa miaka ya tisini akiwa Waziri wa Ardhi aliwahi kuingia katika mgogoro na aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa idara ya mipaka ya kimataifa kwenye wizara hiyo aliyeitwa Jumanne Kamaka baada ya kumtaka aidhinishe kiasi kikubwa cha pesa kutoka katika idara yake ili kikamsaidie kwenye kampeni zake za urais.Mkurugezi yule alikataa na akatishia kuachia ngazi ili kulinda heshima yake kwa serikali.Hizi hitilafu chache miongoni mwa nyingi alizonazo za kimaadili za Edward Lowassa zilimshawishi kwa kiasi kikubwa Mwalimu Nyerere kutompenda Edward Lowassa.

Lowassa hakuanza leo kuhonga makundi ya kuandamana kumtaka agombee.Amewahi kufanya hivi hata kabla ya kuwa mbunge wa jimbo la Monduli.Alipojiona kuwa anautaka ubunge wa Monduli,alianza kutumia makundi ya vijana ili yaandamane kuonesha kuwa jamii ya kwao inamhitaji.Na katika hili alitumia vibaya fedha za AICC kutimiza matakwa yake.Ni kipindi ambacho alikuwa Mkurugenzi wa AICC.Fitna hizi alizifanya dhidi ya aliyekuwa mbunge wa Monduli zama zile,Mzee Lumomo.

Haya maovu ya Lowassa ni machache kati ya mengi kama nilivyosema awali kuwa yalimkera sana Mwalimu Nyerere.Ilipotimu mwaka 1995 Lowassa alidhamiria kwa dhati kuwa rais kama ilivyo sasa lakini alijificha nyuma ya kivuli cha Rais Kikwete kama msindikizaji ili kukwepa "panga" la Mwalimu Nyerere.Na ili kujipambanua mbele ya jamii ya taifa hili Lowassa alitumia mamilioni ya shilingi aliyovuna kwenye biashara haramu ya ardhi na mfanyabiashara tapeli Baghdad akiwa Waziri wa ardhi kwenye kuhonga waandishi wa habari na kuigawa Jumuiya ya Vijana ya Ccm.

Magazeti mengi nchini yalimwandika yeye kwa habari za kumpamba kama ilivyo sasa.Vijana ndani ya Uvccm walitoa matamko ya kumuunga mkono kwa pesa alizowahonga.Kubwa kuliko ni pale alipokodi ndege binafsi kwa ajili ya kuzunguka mikoani kukusanya saini za wadhamini wa fomu yake ya urais.Hapa ndipo Lowassa alipomuingiza mkenge Rais Kikwete kwa kumwambia atamsaidia lifti katika ndege aliyokodi ili azunguke naye kusaka wadhamini mikoani wa fomu zao za urais.

Wazee ndani ya Ccm walimshangaa sana Lowassa hususani juu ya ukwasi wake wakati ule ambao Tanzania haikuwa na hali nzuri ya kiuchumi hadi kufikia kukodi ndege binafsi.Mwalimu Nyerere hakulipenda hili.Ni kwasababu Lowassa aliishi kifahari mbele ya jamii masikini.Hili jambo likawa moja ya sababu kati ya nyingi zilizomfanya yeye Mwalimu Nyerere kushinikiza kuondolewa kwa jina la Lowassa kwenye mbio za urais mwaka 1995.

Sababu hii pia ilimponza Rais Kikwete.Na ilichochea zaidi wakati wa mahojiano ya Kamati Kuu na wagombea urais ambapo Mwalimu Nyerere alimuuliza Rais Kikwete endapo akichaguliwa na chama chake kuwa mgombea urais kwa wakati ule je ni nani angekuwa Waziri Mkuu wake!?Rais Kikwete bila kujua anajikaanga alimtaja Edward Lowassa.Hili likamponza na kumfanya naye aenguliwe kwenye "kipute" kile cha urais kupitia Ccm.Ishara iliyopo ni kwamba Lowassa ana damu ya kunguni mbele ya waitakiao mema Tanzania.

Lowassa aliamua kurudi Monduli ili agombee ubunge baada ya kuona kwenye urais mambo yamemuendea mrama.Na hata baada ya kugombea na kushinda ubunge wa Monduli bado hakuteuliwa kwenye baraza la kwanza la mawaziri la Mzee Mkapa.Hili lilimchanganya na kuwa mlevi kupindukia hadi pale Askofu Leizer wa KKKT alipomfuata Mzee Mkapa na kumwombea amteue.Mzee Mkapa alimteua uwaziri wa Mazingira kwenye ofisi ya Waziri Mkuu baada ya miaka miwili ya kusota benchi bila uwaziri.Uamuzi wa Mzee Mkapa kumteua Lowassa kwenye nafasi ya uwaziri ulimsononesha sana Mwalimu Nyerere.

Hadi awamu ya miaka mitano ya mwanzo ya uongozi wa Mzee Mkapa inamalizika urafiki kati ya Rais Kikwete na Lowassa uliendelea kuwepo.Lakini,Lowassa hakuwa rafiki wa dhati wa Rais Kikwete.Na ushahidi usiopingika ni kwamba Lowassa alifurahia sana kifo cha Mwalimu Nyerere akijua fika atampiku Rais Kikwete ndani ya Ccm.Na ndio maana Lowassa hakushiriki kwenye mazishi ya Mwalimu Nyerere ila ajabu ni kwamba mwaka huu ameshiriki kinafiki kwenye mazishi ya mtoto wa Mwalimu Nyerere aitwaye John Nyerere.

Lakini ambacho Lowassa hakujua ni kwamba Rais Kikwete alikuwa makini naye na tangu mpambano wa 1995 uishe ndani ya Ccm alianza kuishi maisha ya kuja kuwa rais wa awamu ya tano kwa kuwa makini na makandokando kitu ambacho Lowassa aliyezoea maisha ya kuhujumu mali ya umma alishindwa kuyaishi maadili ya uongozi.

Mwaka 2005 ilipokaribia muda wa uchaguzi ndani ya Ccm,Lowassa alidhamiria kuchukua fomu ya kugombea urais na aliunda genge lake la kampeni akishirikiana na- Rostam Aziz pamoja na Nazir Karamagi.Hawa niliowataja hapa ndio vinara wa ufisadi nchini na ndio hadi sasa wanamsaidia Lowassa kwenye vita ya kuwania rais dhidi ya kada msafi.

Kwa tuliokuwa tukihudhuria vikao vya mikakati juu ya upangaji wa timu ya kumsaidia Rais Kikwete kipindi hiki tuliiona tamaa ya Lowassa kwenye urais ila tukaamua kutumia busara kumshauri asigombee- naye akakubali kwa masharti kuwa ateuliwe kwenye nafasi kubwa kwenye serikali ya awamu ya nne.

Ndipo tukaunda timu ya kampeni ya kumsaidia Rais Kikwete na Lowassa pia akiwa sehemu ya timu hii.Kama mnavyojua timu ya kampeni ya Rais Kikwete iliundwa pia na makachero waliokubuhu kutoka Idara ya Usalama wa Taifa,hawa pamoja na kuwa sehemu ya mikakati ya kumsaidia Rais Kikwete katika kampeni zake ila pia walijitolea kufanya kazi ya kumchunguza Lowassa kama kweli alikuwa na nia ya dhati ya kumsaidia Rais Kikwete na ikaja kugundulika kuwa Lowassa alidhamiria kumpinga Rais Kikwete ikifika mwaka 2010.

Baada ya ushindi wa Rais Kikwete mwaka 2005 Lowassa hmm UK hi tu kuwa Waziri Mkuu japo ilikuwa ni baada ya Rostam Aziz kumfitini Samweli Sitta aliyekuwa chaguo la Rais Kikwete.Baada ya Lowassa kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu alianza hujuma dhidi ya Rais Kikwete.Baadhi ya hujuma hizo ni;alianzisha utaratibu wa kuwapigia simu baadhi ya watu waliokuwa wanateuliwa na Rais Kikwete kwenye nafasi mbalimbali serikalini na kuwalaghai kuwa yeye ndio kapendekeza wateuliwe maana Rais Kikwete alikuwa hataki kabisa.

Hii ilimsaidia Lowassa kuaminika kwa baadhi ya wateule wa Rais Kikwete na wengi wao wakiwa ni wakuu wa mikoa,wakuu wa wilaya,wakurugenzi wa manispaa na halmashauri,wakurugenzi wa mashirika pamoja na mawaziri na naibu mawaziri.Alikuwa akifanya hivi ili kudhoofisha serikali ya Rais Kikwete.Lowassa alikuwa akijitengenezea njia ya kwenda ikulu kwa kujiwekea mazingira ya kuabudiwa na hawa watumishi wateuliwe wa Rais Kikwete na hatimaye hata wao wakapoteza usikivu kwa Rais Kikwete.

Haya yote Rais Kikwete hakuyajua hadi pale siku alipotaka kuteua Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege la Tanzania.Rais Kikwete alipanga kumteua David Mattaka ila kwakuwa Lowassa na aliyekuwa Waziri wa Miundombinu wakati ule na mbunge wa Bariadi Mashariki Andrew Chenge hawakumtaka kwasababu hakuwa akiunga mkono uchafu wao walihakikisha wanampigia simu ili kumvujishia siri kuwa atateuliwa kuongoza Shirika la Ndege la Tanzania na kwamba yeye Lowassa amempigania sana hadi uteuzi wake kuidhinishwa na Rais Kikwete,nia ya Lowassa ikiwa ni kuabudiwa na David Mattaka na kuhakikisha anajitengenezea mazingira ya kuwa rais ikifika 2010 kwa kuungwa mkono na kila kiongozi ndani ya serikali.

Watu mnaweza kujiuliza ni kwanini Idara ya Usalama wa Taifa ilikuwa kimya juu ya hujuma za Lowassa dhidi ya Rais Kikwete!?Kwa kawaida idara hii huwa inafanya kazi kwa kukusanya ushahidi wa kutosha kabla ya kuwasilisha ripoti yake mbele ya taasisi husika.Wakati wakijiandaa kupeleka ripoti yao ndipo kukafuka moshi wa skendo mbili kubwa nchini ambazo moja ni ile ya Richmond na NIC.Ila hii ya NIC ilizuiwa mapema kabla ya kutokea na siku ya leo nitaiongelea kidogo ili kuwapa faida watanzania wenzangu.

Richmond inajulikana sana,naomba nisiiongelee tena.Nitaizungumzia hii ya NIC ambapo Lowassa alikula kamisheni ya dola milioni mbili akishirikiana na Ole Naiko aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania.Katika skendo hii Lowassa alikubaliana na mmoja wa matapeli wakubwa duniani kumpatia NIC ili aiendeshe na kisha magari yote yawe yanakata bima kwenye kampuni binafsi ya bima inayomilikiwa na Lowassa iitwayo Alfa Insurance Company yenye makao makuu yake jijini Dar es salaam.

Ndipo Idara ya Usalama wa Taifa ilipoamua kuwasilisha ripoti yake juu ya maadili mabaya ya Lowassa kwa Rais Kikwete.Rais Kikwete alipoisoma alighafirika sana.Aliumizwa sana na mkakati wa Lowassa ulioitwa OP yaani "One Term President" ikiwa ni mpango wa kutaka Rais Kikwete aongoze nchi kwa mhula mmoja 2005-2010.Kisha Lowassa agombee kwa ajili ya mihula miwili 2010-2020.Kisha Lowassa akapanga kuwa endapo mkakati huu utakwama basi ifikapo 2012 amvue kofia ya uenyekiti wa chama Rais Kikwete.

Washirika wakuu katika mikakati hii tulikuwa mimi,Hussein Bashe,Lawrence Masha,Rostam Aziz na Nazir Karamagi.Ndipo kwa kutumia turufu yake ya ukuu wa nchi na kiongozi mkuu wa chama alipofikishiwa ripoti ya Richmond dhidi ya Lowassa alimwajibisha na sio kama kweli Lowassa alijiuzulu kwa maslahi ya serikali na chama kama inavyozungumziwa na baadhi ya watu.

Itaendelea kesho......

Imeandikwa na Kingunge Ngombale
.

Indaji inavyoelekea umeingia humu ndani kwa kutumwa ili utumikie waliokutuma! (Samahani kama sivyo) Nakupongeza kwa ajira ya msimu. Wewe ni mgeni kabisa humu ndani kula pesa hiyo japo ukweli ni kwamba Lowasa ndio habari ya mjini.
Ushauri wangu kwako ni kuwa "akili ya kuambiwa changanya na za kwako".
 
Nimekusoma na nimekuelewa vizuri,wewe ama utakuwa ni mzushi uliye kubuhu ama ni mkweli uliye kubuhu kwa kuanika hadharani udhaifu wa serikali/mamlaka za awamu zote zilizo mkirim mtu hatari namna hii kwa serikali husika. mwandishi unaonekana kujua mengi ebu tuambie uhalali wa ccm na serikali yake kuendelea kushika dola katika nchi ikiwa imeshindwa kumchukulia hatua mtu hatari namna hii kwa chama na kwa serikali yake. ikiwa wewe ni mkweli katika thread yako huoni kuwa huyu mtu alikuwa mhaini na kamandivyo kwa nini hakuchukuliwa hatua za haraka za kiusalama kwa chama na serikali yake? kwa kwa kosa hilo la kiinteligensia huoni hatari ya mtu huyu kuiangamiza ccm na serikali yake? kama uliyoyandika ni kweli vyombo vyetu vya usalama vina stahili kuendelea kuaminika kwa wananchi kwa kufumbia macho uhaini uliofanywa na mtu huyu? Majibu tafadhali. kama ndivyo ilivyo usiendelee tena kupost hii mada hapa maana inaleta kichefuchefu kwa watu makini; kama sivyo unaweza enendeleza porojo na propaganda zako zilizo shindikana kimfumo.

Wameambiwa mwenye ushahidi apeleke mahakamani siyo hapa jf
 
Mkuu usinihukumu, nia yangu nzuri kabisa, nilitaka kukujulisheni wanaJF kwamba kuna mamabo kama hayo yanaendelea na yanazidi kusambazwa kwenye mitandao kwa lengo la kumchafue EL, hivyo jukumu langu na wewe ambaye una uchungu na unahitaji mabadiliko nje y ccm, kusimama na kjibu mapigo.
 
Vita ya Lowassa kwa Nyerere,Urais na Rais Jk.

Edward Lowassa na Rais Jakaya Kikwete walikuwa ni marafiki wa dhati mbele ya macho ya watu. Kila mmoja kwa nafsi yake alikuwa na lengo lake. Mmoja aliongozwa na uzalendo huku mwingine akiongozwa na maslahi.

Naweza kuita urafiki wao ulikuwa ni urafiki wa mkakati au mashaka na sio wa misingi au dhamira. Ulitokana na kuunganishwa na baadhi ya sababu ila kuu ikiwa ni madaraka na mamlaka. Nitamke wazi kuwa Rais Kikwete alikuwa na lengo la kushika dola na kutenda kiuadilifu ila Lowassa alikuwa na nia ya kujineemesha yeye, familia yake na marafiki zake kwa kuzifuja rasilimali za taifa hili.

Nitawarejesha nyuma kidogo mwaka 1995 wakati wa mvumo wa kambi iliyoitwa Boys 2 Men kwenye mbio za urais ndani ya Ccm. Kambi hii iliundwa na makada wawili Jakaya Kikwete na Edward Lowassa wakiwa na washirika wa pembeni na wa karibu kama kina Samweli John Sitta na Rostam Aziz.

Tofauti na Jakaya Kikwete na Samweli Sitta ambao waliongozwa na dhamira njema ya kuijenga Tanzania iliyo bora zaidi, Edward Lowassa na Rostam Aziz walikuwa na ajenda yao ya siri ambayo haikuwa na nia njema kwa nchi yetu. Wao waliwaza madaraka na mamlaka yenye kuwapa fursa za kiuchumi. Na taswira yao ndio iliyomponza Jakaya Kikwete.

Watu wa karibu na Rais Kikwete wanasema kuwa hata Mwalimu Nyerere hadi mauti yanamfika hakuwahi kuupenda urafiki wa Rais Kikwete na Edward Lowassa. Aliamini Rais Kikwete ni mtu makini anayetiwa doa na anayeamini ni rafiki yake wa dhati Edward Lowassa.

Kuna kiongozi mmoja ambaye mwaka 1995 alikuwa Balozi katika moja ya nchi duniani huko alienda kumwona Mwalimu Nyerere nyumbani kwake Msasani kwa minajili ya kumuuliza kama anaona Rais Kikwete alikuwa anafaa kwa wakati huo.Mwalimu Nyerere alimjibu kuwa kweli anafaa ila kuna siku atamwita ili waongee na kushauriana,na Mwalimu Nyerere kweli alifanya hivyo.

Siku ambayo Rais Kikwete aliitwa na kwenda kwa Mwalimu Nyerere alijikuta akifanya kosa la kiufundi.Kati ya alioongozana nao mmoja alikuwa na dosari naye sio mwingine bali ni Edward Lowassa.Mwalimu Nyerere alipoona Rais Kikwete kaongozana na Edward Lowassa aliahirisha kuzungumza alichotaka kuzungumza naye na kuwaambia kapata dharura hivyobasi atamtafuta siku nyingine.Ndipo Rais Kikwete alipong'atwa sikio na mtu mwingine tofauti kuwa Mwalimu Nyerere hakupendezwa na uwepo wa Edward Lowassa.

Lakini watu watajiuliza ni kwanini Mwalimu Nyerere alimchukia sana Edward Lowassa. Leo nitawaambia. Hizi ni baadhi ya sababu chache ila kuu ambazo zilimsukuma Mwalimu Nyerere kumwona ana kasoro likiwepo suala la uadilifu kwenye utumishi wa umma na chama kwa ujumla.

Mwaka 1983 ilitokea ziara ya watumishi tofauti wa Ccm kwenda Uingereza kujifunza masuala ya siasa na mmoja kati ya watumishi hao alikuwa Edward Lowassa.Wakiwa kule Edward Lowassa na wenzake walitembelea moja ya maduka makubwa ya nguo kwa ajili ya manunuzi ila cha kushangaza kutokana na kipato cha watumishi wa Ccm miaka ile kuwa kidogo kwasababu ya hali ya uchumi wa Tanzania kwa kipindi kile ila Edward Lowassa alimudu kununua jozi kumi za suti za gharama kitu kilichowaacha midomo wazi wenzake na hata wamiliki na wafanyakazi wa lile duka.

Waliporejea nchini Mwalimu Nyerere alipata taarifa juu ya manunuzi ya kufuru ya suti aliyofanya Edward Lowassa ambayo yalikuwa hayaendani na mshahara wake.Ndipo alipoamuru uchunguzi dhidi ya Edward Lowassa ufanyike.Ikagundulika alikuwa akijineemesha kifedha kupitia miradi ya chama ambayo kwa nafasi yake miaka ile alikuwa ndio anaisimamia kwenye ngazi ya mkoa hivyobasi hakuwa akiwasilisha mahesabu sahihi makao makuu ya chama.

Kama hiyo haitoshi mwanzoni mwa miaka ya tisini akiwa Waziri wa Ardhi aliwahi kuingia katika mgogoro na aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa idara ya mipaka ya kimataifa kwenye wizara hiyo aliyeitwa Jumanne Kamaka baada ya kumtaka aidhinishe kiasi kikubwa cha pesa kutoka katika idara yake ili kikamsaidie kwenye kampeni zake za urais.Mkurugezi yule alikataa na akatishia kuachia ngazi ili kulinda heshima yake kwa serikali.Hizi hitilafu chache miongoni mwa nyingi alizonazo za kimaadili za Edward Lowassa zilimshawishi kwa kiasi kikubwa Mwalimu Nyerere kutompenda Edward Lowassa.

Lowassa hakuanza leo kuhonga makundi ya kuandamana kumtaka agombee.Amewahi kufanya hivi hata kabla ya kuwa mbunge wa jimbo la Monduli.Alipojiona kuwa anautaka ubunge wa Monduli,alianza kutumia makundi ya vijana ili yaandamane kuonesha kuwa jamii ya kwao inamhitaji.Na katika hili alitumia vibaya fedha za AICC kutimiza matakwa yake.Ni kipindi ambacho alikuwa Mkurugenzi wa AICC.Fitna hizi alizifanya dhidi ya aliyekuwa mbunge wa Monduli zama zile,Mzee Lumomo.

Haya maovu ya Lowassa ni machache kati ya mengi kama nilivyosema awali kuwa yalimkera sana Mwalimu Nyerere.Ilipotimu mwaka 1995 Lowassa alidhamiria kwa dhati kuwa rais kama ilivyo sasa lakini alijificha nyuma ya kivuli cha Rais Kikwete kama msindikizaji ili kukwepa "panga" la Mwalimu Nyerere.Na ili kujipambanua mbele ya jamii ya taifa hili Lowassa alitumia mamilioni ya shilingi aliyovuna kwenye biashara haramu ya ardhi na mfanyabiashara tapeli Baghdad akiwa Waziri wa ardhi kwenye kuhonga waandishi wa habari na kuigawa Jumuiya ya Vijana ya Ccm.

Magazeti mengi nchini yalimwandika yeye kwa habari za kumpamba kama ilivyo sasa.Vijana ndani ya Uvccm walitoa matamko ya kumuunga mkono kwa pesa alizowahonga.Kubwa kuliko ni pale alipokodi ndege binafsi kwa ajili ya kuzunguka mikoani kukusanya saini za wadhamini wa fomu yake ya urais.Hapa ndipo Lowassa alipomuingiza mkenge Rais Kikwete kwa kumwambia atamsaidia lifti katika ndege aliyokodi ili azunguke naye kusaka wadhamini mikoani wa fomu zao za urais.

Wazee ndani ya Ccm walimshangaa sana Lowassa hususani juu ya ukwasi wake wakati ule ambao Tanzania haikuwa na hali nzuri ya kiuchumi hadi kufikia kukodi ndege binafsi.Mwalimu Nyerere hakulipenda hili.Ni kwasababu Lowassa aliishi kifahari mbele ya jamii masikini.Hili jambo likawa moja ya sababu kati ya nyingi zilizomfanya yeye Mwalimu Nyerere kushinikiza kuondolewa kwa jina la Lowassa kwenye mbio za urais mwaka 1995.

Sababu hii pia ilimponza Rais Kikwete.Na ilichochea zaidi wakati wa mahojiano ya Kamati Kuu na wagombea urais ambapo Mwalimu Nyerere alimuuliza Rais Kikwete endapo akichaguliwa na chama chake kuwa mgombea urais kwa wakati ule je ni nani angekuwa Waziri Mkuu wake!?Rais Kikwete bila kujua anajikaanga alimtaja Edward Lowassa.Hili likamponza na kumfanya naye aenguliwe kwenye "kipute" kile cha urais kupitia Ccm.Ishara iliyopo ni kwamba Lowassa ana damu ya kunguni mbele ya waitakiao mema Tanzania.

Lowassa aliamua kurudi Monduli ili agombee ubunge baada ya kuona kwenye urais mambo yamemuendea mrama.Na hata baada ya kugombea na kushinda ubunge wa Monduli bado hakuteuliwa kwenye baraza la kwanza la mawaziri la Mzee Mkapa.Hili lilimchanganya na kuwa mlevi kupindukia hadi pale Askofu Leizer wa KKKT alipomfuata Mzee Mkapa na kumwombea amteue.Mzee Mkapa alimteua uwaziri wa Mazingira kwenye ofisi ya Waziri Mkuu baada ya miaka miwili ya kusota benchi bila uwaziri.Uamuzi wa Mzee Mkapa kumteua Lowassa kwenye nafasi ya uwaziri ulimsononesha sana Mwalimu Nyerere.

Hadi awamu ya miaka mitano ya mwanzo ya uongozi wa Mzee Mkapa inamalizika urafiki kati ya Rais Kikwete na Lowassa uliendelea kuwepo.Lakini,Lowassa hakuwa rafiki wa dhati wa Rais Kikwete.Na ushahidi usiopingika ni kwamba Lowassa alifurahia sana kifo cha Mwalimu Nyerere akijua fika atampiku Rais Kikwete ndani ya Ccm.Na ndio maana Lowassa hakushiriki kwenye mazishi ya Mwalimu Nyerere ila ajabu ni kwamba mwaka huu ameshiriki kinafiki kwenye mazishi ya mtoto wa Mwalimu Nyerere aitwaye John Nyerere.

Lakini ambacho Lowassa hakujua ni kwamba Rais Kikwete alikuwa makini naye na tangu mpambano wa 1995 uishe ndani ya Ccm alianza kuishi maisha ya kuja kuwa rais wa awamu ya tano kwa kuwa makini na makandokando kitu ambacho Lowassa aliyezoea maisha ya kuhujumu mali ya umma alishindwa kuyaishi maadili ya uongozi.

Mwaka 2005 ilipokaribia muda wa uchaguzi ndani ya Ccm,Lowassa alidhamiria kuchukua fomu ya kugombea urais na aliunda genge lake la kampeni akishirikiana na- Rostam Aziz pamoja na Nazir Karamagi.Hawa niliowataja hapa ndio vinara wa ufisadi nchini na ndio hadi sasa wanamsaidia Lowassa kwenye vita ya kuwania rais dhidi ya kada msafi.

Kwa tuliokuwa tukihudhuria vikao vya mikakati juu ya upangaji wa timu ya kumsaidia Rais Kikwete kipindi hiki tuliiona tamaa ya Lowassa kwenye urais ila tukaamua kutumia busara kumshauri asigombee- naye akakubali kwa masharti kuwa ateuliwe kwenye nafasi kubwa kwenye serikali ya awamu ya nne.

Ndipo tukaunda timu ya kampeni ya kumsaidia Rais Kikwete na Lowassa pia akiwa sehemu ya timu hii.Kama mnavyojua timu ya kampeni ya Rais Kikwete iliundwa pia na makachero waliokubuhu kutoka Idara ya Usalama wa Taifa,hawa pamoja na kuwa sehemu ya mikakati ya kumsaidia Rais Kikwete katika kampeni zake ila pia walijitolea kufanya kazi ya kumchunguza Lowassa kama kweli alikuwa na nia ya dhati ya kumsaidia Rais Kikwete na ikaja kugundulika kuwa Lowassa alidhamiria kumpinga Rais Kikwete ikifika mwaka 2010.

Baada ya ushindi wa Rais Kikwete mwaka 2005 Lowassa aliteuliwa kuwa Waziri Mkuu japo ilikuwa ni baada ya Rostam Aziz kumfitini Samweli Sitta aliyekuwa chaguo la Rais Kikwete.Baada ya Lowassa kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu alianza hujuma dhidi ya Rais Kikwete.Baadhi ya hujuma hizo ni;alianzisha utaratibu wa kuwapigia simu baadhi ya watu waliokuwa wanateuliwa na Rais Kikwete kwenye nafasi mbalimbali serikalini na kuwalaghai kuwa yeye ndio kapendekeza wateuliwe maana Rais Kikwete alikuwa hataki kabisa.

Hii ilimsaidia Lowassa kuaminika kwa baadhi ya wateule wa Rais Kikwete na wengi wao wakiwa ni wakuu wa mikoa,wakuu wa wilaya,wakurugenzi wa manispaa na halmashauri,wakurugenzi wa mashirika pamoja na mawaziri na naibu mawaziri.Alikuwa akifanya hivi ili kudhoofisha serikali ya Rais Kikwete.Lowassa alikuwa akijitengenezea njia ya kwenda ikulu kwa kujiwekea mazingira ya kuabudiwa na hawa watumishi wateuliwe wa Rais Kikwete na hatimaye hata wao wakapoteza usikivu kwa Rais Kikwete.

Haya yote Rais Kikwete hakuyajua hadi pale siku alipotaka kuteua Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege la Tanzania.Rais Kikwete alipanga kumteua David Mattaka ila kwakuwa Lowassa na aliyekuwa Waziri wa Miundombinu wakati ule na mbunge wa Bariadi Mashariki Andrew Chenge hawakumtaka kwasababu hakuwa akiunga mkono uchafu wao walihakikisha wanampigia simu ili kumvujishia siri kuwa atateuliwa kuongoza Shirika la Ndege la Tanzania na kwamba yeye Low
 
Rudisheni kwanza hizi rasilimali zetu ndio muendelee na propaganda zenu

Customs officials at Zurich airport have seized 262 kilograms (578 pounds) of ivory that three Chinese men had dispatched from Tanzania, contraband that may have come from up to 50 elephants, Swiss authorities said Tuesday.

The ivory was found during a security check on July 6 and packed in eight suitcases, Switzerland’s customs authority said. It put the estimated black market value at about 400,000 francs ($413,000).



hant tusks had been sawed into 172 pieces to fit into the luggage, which was being transported from Tanzania’s capital, Dar es Salaam, to Beijing via Zurich. The head of the customs operation at the airport, Heinz Widmer, said officials estimate that the pieces came from 40 to 50 elephants.

Demand from China’s rising middle class has been fuelling elephant poaching in Africa and illegal trade in ivory, which is turned into jewellery and other decorative items.

The Chinese men were temporarily detained in Zurich and questioned, Widmer said. They could face large fines for violating customs and animal protection rules.
The suitcases also contained 1 kilogram (2.2 pounds) of lion fangs and claws — 21 fangs and 35 claws. They could be used as jewellery or talismans, or as a symbol for strength in Chinese traditional medicine, Widmer said.

The ivory haul, while sizable, is below the 500-kilogram (1,100-pound) threshold considered to be a large-scale seizure that indicates the likely involvement of organized crime, according to TRAFFIC, a wildlife trade monitoring organization.
The group, which said that it doesn’t speculate on the black-market value of ivory as a matter of policy, said the frequency of large-scale seizures has increased greatly since 2000, with 18 such hauls reported in 2013.

In May, a senior Chinese official made an unexpected pledge to halt the ivory trade inside the country, though it isn’t clear how and when that ban might take effect.

Swiss customs seize 578 pounds of ivory in suitcases dispatched from Tanzania to Beijing - The Globe and Mail
 
Vita ya Lowassa kwa Nyerere,Urais na Rais Jk.

Edward Lowassa na Rais Jakaya Kikwete walikuwa ni marafiki wa dhati mbele ya macho ya watu. Kila mmoja kwa nafsi yake alikuwa na lengo lake. Mmoja aliongozwa na uzalendo huku mwingine akiongozwa na maslahi.

Naweza kuita urafiki wao ulikuwa ni urafiki wa mkakati au mashaka na sio wa misingi au dhamira. Ulitokana na kuunganishwa na baadhi ya sababu ila kuu ikiwa ni madaraka na mamlaka. Nitamke wazi kuwa Rais Kikwete alikuwa na lengo la kushika dola na kutenda kiuadilifu ila Lowassa alikuwa na nia ya kujineemesha yeye, familia yake na marafiki zake kwa kuzifuja rasilimali za taifa hili.

Nitawarejesha nyuma kidogo mwaka 1995 wakati wa mvumo wa kambi iliyoitwa Boys 2 Men kwenye mbio za urais ndani ya Ccm. Kambi hii iliundwa na makada wawili Jakaya Kikwete na Edward Lowassa wakiwa na washirika wa pembeni na wa karibu kama kina Samweli John Sitta na Rostam Aziz.

Tofauti na Jakaya Kikwete na Samweli Sitta ambao waliongozwa na dhamira njema ya kuijenga Tanzania iliyo bora zaidi, Edward Lowassa na Rostam Aziz walikuwa na ajenda yao ya siri ambayo haikuwa na nia njema kwa nchi yetu. Wao waliwaza madaraka na mamlaka yenye kuwapa fursa za kiuchumi. Na taswira yao ndio iliyomponza Jakaya Kikwete.

Watu wa karibu na Rais Kikwete wanasema kuwa hata Mwalimu Nyerere hadi mauti yanamfika hakuwahi kuupenda urafiki wa Rais Kikwete na Edward Lowassa. Aliamini Rais Kikwete ni mtu makini anayetiwa doa na anayeamini ni rafiki yake wa dhati Edward Lowassa.

Kuna kiongozi mmoja ambaye mwaka 1995 alikuwa Balozi katika moja ya nchi duniani huko alienda kumwona Mwalimu Nyerere nyumbani kwake Msasani kwa minajili ya kumuuliza kama anaona Rais Kikwete alikuwa anafaa kwa wakati huo.Mwalimu Nyerere alimjibu kuwa kweli anafaa ila kuna siku atamwita ili waongee na kushauriana,na Mwalimu Nyerere kweli alifanya hivyo.

Siku ambayo Rais Kikwete aliitwa na kwenda kwa Mwalimu Nyerere alijikuta akifanya kosa la kiufundi.Kati ya alioongozana nao mmoja alikuwa na dosari naye sio mwingine bali ni Edward Lowassa.Mwalimu Nyerere alipoona Rais Kikwete kaongozana na Edward Lowassa aliahirisha kuzungumza alichotaka kuzungumza naye na kuwaambia kapata dharura hivyobasi atamtafuta siku nyingine.Ndipo Rais Kikwete alipong'atwa sikio na mtu mwingine tofauti kuwa Mwalimu Nyerere hakupendezwa na uwepo wa Edward Lowassa.

Lakini watu watajiuliza ni kwanini Mwalimu Nyerere alimchukia sana Edward Lowassa. Leo nitawaambia. Hizi ni baadhi ya sababu chache ila kuu ambazo zilimsukuma Mwalimu Nyerere kumwona ana kasoro likiwepo suala la uadilifu kwenye utumishi wa umma na chama kwa ujumla.

Mwaka 1983 ilitokea ziara ya watumishi tofauti wa Ccm kwenda Uingereza kujifunza masuala ya siasa na mmoja kati ya watumishi hao alikuwa Edward Lowassa.Wakiwa kule Edward Lowassa na wenzake walitembelea moja ya maduka makubwa ya nguo kwa ajili ya manunuzi ila cha kushangaza kutokana na kipato cha watumishi wa Ccm miaka ile kuwa kidogo kwasababu ya hali ya uchumi wa Tanzania kwa kipindi kile ila Edward Lowassa alimudu kununua jozi kumi za suti za gharama kitu kilichowaacha midomo wazi wenzake na hata wamiliki na wafanyakazi wa lile duka.

Waliporejea nchini Mwalimu Nyerere alipata taarifa juu ya manunuzi ya kufuru ya suti aliyofanya Edward Lowassa ambayo yalikuwa hayaendani na mshahara wake.Ndipo alipoamuru uchunguzi dhidi ya Edward Lowassa ufanyike.Ikagundulika alikuwa akijineemesha kifedha kupitia miradi ya chama ambayo kwa nafasi yake miaka ile alikuwa ndio anaisimamia kwenye ngazi ya mkoa hivyobasi hakuwa akiwasilisha mahesabu sahihi makao makuu ya chama.

Kama hiyo haitoshi mwanzoni mwa miaka ya tisini akiwa Waziri wa Ardhi aliwahi kuingia katika mgogoro na aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa idara ya mipaka ya kimataifa kwenye wizara hiyo aliyeitwa Jumanne Kamaka baada ya kumtaka aidhinishe kiasi kikubwa cha pesa kutoka katika idara yake ili kikamsaidie kwenye kampeni zake za urais.Mkurugezi yule alikataa na akatishia kuachia ngazi ili kulinda heshima yake kwa serikali.Hizi hitilafu chache miongoni mwa nyingi alizonazo za kimaadili za Edward Lowassa zilimshawishi kwa kiasi kikubwa Mwalimu Nyerere kutompenda Edward Lowassa.

Lowassa hakuanza leo kuhonga makundi ya kuandamana kumtaka agombee.Amewahi kufanya hivi hata kabla ya kuwa mbunge wa jimbo la Monduli.Alipojiona kuwa anautaka ubunge wa Monduli,alianza kutumia makundi ya vijana ili yaandamane kuonesha kuwa jamii ya kwao inamhitaji.Na katika hili alitumia vibaya fedha za AICC kutimiza matakwa yake.Ni kipindi ambacho alikuwa Mkurugenzi wa AICC.Fitna hizi alizifanya dhidi ya aliyekuwa mbunge wa Monduli zama zile,Mzee Lumomo.

Haya maovu ya Lowassa ni machache kati ya mengi kama nilivyosema awali kuwa yalimkera sana Mwalimu Nyerere.Ilipotimu mwaka 1995 Lowassa alidhamiria kwa dhati kuwa rais kama ilivyo sasa lakini alijificha nyuma ya kivuli cha Rais Kikwete kama msindikizaji ili kukwepa "panga" la Mwalimu Nyerere.Na ili kujipambanua mbele ya jamii ya taifa hili Lowassa alitumia mamilioni ya shilingi aliyovuna kwenye biashara haramu ya ardhi na mfanyabiashara tapeli Baghdad akiwa Waziri wa ardhi kwenye kuhonga waandishi wa habari na kuigawa Jumuiya ya Vijana ya Ccm.

Magazeti mengi nchini yalimwandika yeye kwa habari za kumpamba kama ilivyo sasa.Vijana ndani ya Uvccm walitoa matamko ya kumuunga mkono kwa pesa alizowahonga.Kubwa kuliko ni pale alipokodi ndege binafsi kwa ajili ya kuzunguka mikoani kukusanya saini za wadhamini wa fomu yake ya urais.Hapa ndipo Lowassa alipomuingiza mkenge Rais Kikwete kwa kumwambia atamsaidia lifti katika ndege aliyokodi ili azunguke naye kusaka wadhamini mikoani wa fomu zao za urais.

Wazee ndani ya Ccm walimshangaa sana Lowassa hususani juu ya ukwasi wake wakati ule ambao Tanzania haikuwa na hali nzuri ya kiuchumi hadi kufikia kukodi ndege binafsi.Mwalimu Nyerere hakulipenda hili.Ni kwasababu Lowassa aliishi kifahari mbele ya jamii masikini.Hili jambo likawa moja ya sababu kati ya nyingi zilizomfanya yeye Mwalimu Nyerere kushinikiza kuondolewa kwa jina la Lowassa kwenye mbio za urais mwaka 1995.

Sababu hii pia ilimponza Rais Kikwete.Na ilichochea zaidi wakati wa mahojiano ya Kamati Kuu na wagombea urais ambapo Mwalimu Nyerere alimuuliza Rais Kikwete endapo akichaguliwa na chama chake kuwa mgombea urais kwa wakati ule je ni nani angekuwa Waziri Mkuu wake!?Rais Kikwete bila kujua anajikaanga alimtaja Edward Lowassa.Hili likamponza na kumfanya naye aenguliwe kwenye "kipute" kile cha urais kupitia Ccm.Ishara iliyopo ni kwamba Lowassa ana damu ya kunguni mbele ya waitakiao mema Tanzania.

Lowassa aliamua kurudi Monduli ili agombee ubunge baada ya kuona kwenye urais mambo yamemuendea mrama.Na hata baada ya kugombea na kushinda ubunge wa Monduli bado hakuteuliwa kwenye baraza la kwanza la mawaziri la Mzee Mkapa.Hili lilimchanganya na kuwa mlevi kupindukia hadi pale Askofu Leizer wa KKKT alipomfuata Mzee Mkapa na kumwombea amteue.Mzee Mkapa alimteua uwaziri wa Mazingira kwenye ofisi ya Waziri Mkuu baada ya miaka miwili ya kusota benchi bila uwaziri.Uamuzi wa Mzee Mkapa kumteua Lowassa kwenye nafasi ya uwaziri ulimsononesha sana Mwalimu Nyerere.

Hadi awamu ya miaka mitano ya mwanzo ya uongozi wa Mzee Mkapa inamalizika urafiki kati ya Rais Kikwete na Lowassa uliendelea kuwepo.Lakini,Lowassa hakuwa rafiki wa dhati wa Rais Kikwete.Na ushahidi usiopingika ni kwamba Lowassa alifurahia sana kifo cha Mwalimu Nyerere akijua fika atampiku Rais Kikwete ndani ya Ccm.Na ndio maana Lowassa hakushiriki kwenye mazishi ya Mwalimu Nyerere ila ajabu ni kwamba mwaka huu ameshiriki kinafiki kwenye mazishi ya mtoto wa Mwalimu Nyerere aitwaye John Nyerere.

Lakini ambacho Lowassa hakujua ni kwamba Rais Kikwete alikuwa makini naye na tangu mpambano wa 1995 uishe ndani ya Ccm alianza kuishi maisha ya kuja kuwa rais wa awamu ya tano kwa kuwa makini na makandokando kitu ambacho Lowassa aliyezoea maisha ya kuhujumu mali ya umma alishindwa kuyaishi maadili ya uongozi.

Mwaka 2005 ilipokaribia muda wa uchaguzi ndani ya Ccm,Lowassa alidhamiria kuchukua fomu ya kugombea urais na aliunda genge lake la kampeni akishirikiana na- Rostam Aziz pamoja na Nazir Karamagi.Hawa niliowataja hapa ndio vinara wa ufisadi nchini na ndio hadi sasa wanamsaidia Lowassa kwenye vita ya kuwania rais dhidi ya kada msafi.

Kwa tuliokuwa tukihudhuria vikao vya mikakati juu ya upangaji wa timu ya kumsaidia Rais Kikwete kipindi hiki tuliiona tamaa ya Lowassa kwenye urais ila tukaamua kutumia busara kumshauri asigombee- naye akakubali kwa masharti kuwa ateuliwe kwenye nafasi kubwa kwenye serikali ya awamu ya nne.

Ndipo tukaunda timu ya kampeni ya kumsaidia Rais Kikwete na Lowassa pia akiwa sehemu ya timu hii.Kama mnavyojua timu ya kampeni ya Rais Kikwete iliundwa pia na makachero waliokubuhu kutoka Idara ya Usalama wa Taifa,hawa pamoja na kuwa sehemu ya mikakati ya kumsaidia Rais Kikwete katika kampeni zake ila pia walijitolea kufanya kazi ya kumchunguza Lowassa kama kweli alikuwa na nia ya dhati ya kumsaidia Rais Kikwete na ikaja kugundulika kuwa Lowassa alidhamiria kumpinga Rais Kikwete ikifika mwaka 2010.

Baada ya ushindi wa Rais Kikwete mwaka 2005 Lowassa aliteuliwa kuwa Waziri Mkuu japo ilikuwa ni baada ya Rostam Aziz kumfitini Samweli Sitta aliyekuwa chaguo la Rais Kikwete.Baada ya Lowassa kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu alianza hujuma dhidi ya Rais Kikwete.Baadhi ya hujuma hizo ni;alianzisha utaratibu wa kuwapigia simu baadhi ya watu waliokuwa wanateuliwa na Rais Kikwete kwenye nafasi mbalimbali serikalini na kuwalaghai kuwa yeye ndio kapendekeza wateuliwe maana Rais Kikwete alikuwa hataki kabisa.

Hii ilimsaidia Lowassa kuaminika kwa baadhi ya wateule wa Rais Kikwete na wengi wao wakiwa ni wakuu wa mikoa,wakuu wa wilaya,wakurugenzi wa manispaa na halmashauri,wakurugenzi wa mashirika pamoja na mawaziri na naibu mawaziri.Alikuwa akifanya hivi ili kudhoofisha serikali ya Rais Kikwete.Lowassa alikuwa akijitengenezea njia ya kwenda ikulu kwa kujiwekea mazingira ya kuabudiwa na hawa watumishi wateuliwe wa Rais Kikwete na hatimaye hata wao wakapoteza usikivu kwa Rais Kikwete.

Haya yote Rais Kikwete hakuyajua hadi pale siku alipotaka kuteua Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege la Tanzania.Rais Kikwete alipanga kumteua David Mattaka ila kwakuwa Lowassa na aliyekuwa Waziri wa Miundombinu wakati ule na mbunge wa Bariadi Mashariki Andrew Chenge hawakumtaka kwasababu h


akuwa akiunga mkono uchafu wao walihakikisha wanampigia simu ili kumvujishia siri kuwa atateuliwa kuongoza Shirika la Ndege la Tanzania na kwamba yeye Low
[/QUO
Hivi baada ya Lowasa kuwa nje ya serikali ufisadi umepungua au ulizidi?
 
ccm wanajitekenya na kicheka wao wenyewe..wanaonye udhaifu wa serekali ya ccm ilyopo madarakani, inamanisha ata ikndelea kuwepo bado watu watapiga deal kama kawaida na hakuna wa kuchukua hatua. Ccm ni sikio la kufa na dawa yake ni kuliondoa octoba na kumuweka mzee wa mamuzi magumu mh.Lowasa
 
Kutokana na ukurasa wako mrefu na unachosha Ila awamu hii saa tatu asubuhi 25 October tunatuchukua nchii
 
Naona umerudi tena! Maana uzi huu uliwahi kuletwa hapa ukaondolewa ndani ya dakika tatu tu, naona sasa hivi tangu umeurudisha umeendelea kudumu, Ingawa kesho yako haijafika tena tangu umeaga na kuahidi kurudi.
Aina hii ya unadishi huwa tunauita 'Utoto'. Unaposema timu ya Kikwete mliiunda mkishirikiana na Makachero waliokubuhu hapo ndiyo unaonyesha namna gani ulivyo na akili mtumba. Labda nikuulize je umepata kuiona Report iliyoandaliwa na usalama wa Taifa kuhusiana ikihusu nyendo za Kikwete na timu yake nzima ya kampeni?
Jaribu kujibu maswali yafuatayo kwanza; Ni kitu gani kilimpata mzee Daudi Mwakawago na Mzee Kapinga? Na utuambie ni nani alikuwa nyuma ya hayo yote.
 
Back
Top Bottom