Kikwete aacha gumzo Muleba

Kikwete aacha gumzo Muleba

angesema hata msiba oyeeeee si ndio za wanasiasa kwa jinsi anavyopenda kutoa ahadi, angeweza hata kuahidi ongezeko la misiba lol
khaaaah!u wont be seriouz
 
Jakaya hana mpya na huwa ana cheka tuu ovyo so angepewa nafasi ya kuzungumza angecheka tuu na watu wangeendelea kumdharau huyu bwana.
 
Na yeye nafikiri atakuwa amekoma na kiherehere chake cha kukimbilia ikulu!!aliambiwa hajakomaa bado sasa anajionea mwenyewe!!tyanzishe utaratibu mpya wa kumpata rais,asiende kuchukua form kwa mapenzi yake!hapana!!!!chama kimfuate na kumuomba kutokana na weledi wake utendaji na usafi wake......period
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom