Huu ulioandika ni upumbavu.
10 yrs kikwete kaimalizia angan kama popo na kwa gharama zakutisha- katutia hasara isiyo na kiwango.
This man (Maguful) ndo kwanza katoa hotuba na baraza lake hajaunda.
Why unampigia unajim as if ameshindwa utekelezaji kama alivyofeli mkwere
Elimu hoyoooo kabisa
Afya hovyoooo kabisa
Viwanda na biashara tumekuwa shamba la bibi kila kichaa anajivunia nakubebaba atakacho
Madawa ya kulevya ndo usiseme
Usmati wa mkwere upo wapi mpuuzi wewe zaid yakunua nakucheka hovyo tukiumizwa na makodi makubwa na yeye kukimbizia busha amerika baba zetu wakifia Muhombili
Grrrrrrrrrry this is a Stupidy thread so far to come accross my eyes.