Kikwete a smart Man that I know

Kikwete a smart Man that I know

Huu ulioandika ni upumbavu.

10 yrs kikwete kaimalizia angan kama popo na kwa gharama zakutisha- katutia hasara isiyo na kiwango.


This man (Maguful) ndo kwanza katoa hotuba na baraza lake hajaunda.


Why unampigia unajim as if ameshindwa utekelezaji kama alivyofeli mkwere

Elimu hoyoooo kabisa

Afya hovyoooo kabisa

Viwanda na biashara tumekuwa shamba la bibi kila kichaa anajivunia nakubebaba atakacho

Madawa ya kulevya ndo usiseme

Usmati wa mkwere upo wapi mpuuzi wewe zaid yakunua nakucheka hovyo tukiumizwa na makodi makubwa na yeye kukimbizia busha amerika baba zetu wakifia Muhombili


Grrrrrrrrrry this is a Stupidy thread so far to come accross my eyes.
Punguza hasira mkuu
 
Tumekusoma. Haya nenda kaoge utoe uchafu kwenye akili yako. Labda utafikiri vizuri baada ya kuoga. Msalimie Ritz bafuni.
 
Anatoa mwelekeo wa serikali yake kwa maana ya kuset agenda na si kwamba alikuwa anatoa ahadi kama za kampeni. Mtumiage akili siku moja moja
 
We chiz kama mjomba ako lowasa leo Jk amekuwa smart eeeh
 
Uzuri wa hotuba sio mapambio ni matendo na utekelezaji.

Mambo ya mkwere ni uvundo na upuuzi.

Unalinganishaje hotuba za mtu alifeli katika utekelezaji na yule ambaye hata hajaunda balaza?

Hapa ni wehu tu ndo wanaweza ona mantiki ya huu ujinga.

Tunalinganisha maneno badala ya outcomes ... .this is crazy.

unachokielezea ni muhemuko au tunaweza sema "zero tolerance", unaposema JK kashindwa hebu elezea kashindwa wapi na wapi? aliahidi nini na katimiza nini na kashindwa nini? kumbuka Mkapa JK na JPM ni mapacha watatu huwezi watenganisha, ukitaka kujua soma "body language" wanapokutana.

empirically, kuna viongozi walianza kwa maono safi lakini strategy walizotumia ziliwapelekea kushindwa kutimiza malengo kusudiwa. Na any critical thinker anatizama jambo in 360 degrees. Hatuwezi endeshwa kwa mihemuko nasisi tuitikie tu, siwezi zungusha ngumi hewani bila kujua nataka kupiga nini.
 
We chiz kama mjomba ako lowasa leo Jk amekuwa smart eeeh

haya maneno yasiyofaa nisingeyapendelea, mie namuona hivyo wewe eleza unavyomuona na weka hoja za kushawishi,
 
Anatoa mwelekeo wa serikali yake kwa maana ya kuset agenda na si kwamba alikuwa anatoa ahadi kama za kampeni. Mtumiage akili siku moja moja

nenda kwa watu wanaosemea corporate management wakusaidie namna ya kuset agenda.
 
We ---- kweli nani alikwambiwa waliuziwa? Senge kweli unadhani we unajua kuliko Pombe? Au unadhani serikali haina wataalam?
Wazalendo tunaojua mambo tunamuunga mkono,mwendo huo huo.
 
We ---- kweli nani alikwambiwa waliuziwa? Senge kweli unadhani we unajua kuliko Pombe? Au unadhani serikali haina wataalam?
Wazalendo tunaojua mambo tunamuunga mkono,mwendo huo huo.

Bwana mdogo weka akiba ya maneno Magufuli ni mCCM labda kama umeanza kuijua CCM baada ya magufuli kuwa Rais vinginevyo....baada ya muda kupita kwa kuona aibu unaweza kuja na ID mpya kumwaga povu CCM niile ile sikiliza watu atakao wateua kwenye Baraza la Mawaziri ndo utaelewa
 
Anaakili ya nyani isyo chambua mambo, Usmart wa huyo sijauona labda kwa msms kuwajaza kila kona ya vyeo na sisi kuitwa Wagalatia,
 
Kwa hiyo kwa sababu Kikwete ni fundi wa kuandaa speech tamu masikioni, unaonaje aendelee kubaki madarakani kama Mugabe?. Iwe kwa speech mbovu au mbaya, mafisadi na wala rushwa wakomeshwe. Kila mtu ameumbwa tofauti na wengine; wanapobadilishana madaraka tunatarajia mambo mapya. Movie ya " Maisha bora kwa kila Mtanzania imechukua miaka 10, sasa imekwisha.
 
Aloweka uzi huu akili zake siyo za kawaida. aende akae makumbusho ya kale
 
We ---- kweli nani alikwambiwa waliuziwa? Senge kweli unadhani we unajua kuliko Pombe? Au unadhani serikali haina wataalam?
Wazalendo tunaojua mambo tunamuunga mkono,mwendo huo huo.

katika historia ya management hakuna sehemu provocation iliwahi tatua matatizo.
 
Bwana mdogo weka akiba ya maneno Magufuli ni mCCM labda kama umeanza kuijua CCM baada ya magufuli kuwa Rais vinginevyo....baada ya muda kupita kwa kuona aibu unaweza kuja na ID mpya kumwaga povu CCM niile ile sikiliza watu atakao wateua kwenye Baraza la Mawaziri ndo utaelewa

To hell with maneno ya akiba na we kenge,naijua CCM toka miaka ya 80's na hii ndo CCM ninayoijua. Hakuna Cha baraza hapa atayeharibu atatupisha.
 
katika historia ya management hakuna sehemu provocation iliwahi tatua matatizo.
Management haina historia ndugu,hatutaki theory wala upuuzi wowote. Tunataka Impact basi.
 
Weeeee, Unaudhi wetu usimsifiage mwenye huyo ona sasa wanakusema wenzio wa jf kwa kuongea pumba, pole, usirudie tena kusifia watu wa aina hiyo
 
Watu waliozoea kupiga mpunga wa nje nje kupitia safari za nje na ufisadi watamkumbuka Kikwete daima. Daima watamchukia Magufuli kwa vile amekata mirija yao ya kifisadi.

Samahani mkuu,
Mchakato wa ujenzi wa mahakama maalum ya mafisadi na majizi umefikia wapi?
 
Weeeee, Unaudhi wetu usimsifiage mwenye huyo ona sasa wanakusema wenzio wa jf kwa kuongea pumba, pole, usirudie tena kusifia watu wa aina hiyo

wakatwaji wanahasira kweli, jf ungekuwa uwanja wa mpira wangenivunja mguu
 
huu ulioandika ni upumbavu.

10 yrs kikwete kaimalizia angan kama popo na kwa gharama zakutisha- katutia hasara isiyo na kiwango.


This man (maguful) ndo kwanza katoa hotuba na baraza lake hajaunda.


Why unampigia unajim as if ameshindwa utekelezaji kama alivyofeli mkwere

elimu hoyoooo kabisa

afya hovyoooo kabisa

viwanda na biashara tumekuwa shamba la bibi kila kichaa anajivunia nakubebaba atakacho

madawa ya kulevya ndo usiseme

usmati wa mkwere upo wapi mpuuzi wewe zaid yakunua nakucheka hovyo tukiumizwa na makodi makubwa na yeye kukimbizia busha amerika baba zetu wakifia muhombili


grrrrrrrrrry this is a stupidy thread so far to come accross my eyes.

mkuu una hasira ya kutelekezwa na baba yako mlevi, by the way lile kapi lenu lenye degedege limeishiwa wapi siku hizi? Naon halisikiki kabisa
 
Back
Top Bottom