Kwenu Polepole, Ndugai na kampani yenu yote: A conspiracy theory

Joshua justine

JF-Expert Member
Sep 1, 2021
792
1,007
Nawasalimu kwa heshima zote enyi waheshimiiwa !

Lakini mtanisamehe kwa wale wenzetu waislam sijabahatika kuijua quran kiasi cha kukopa mistari yake hapa, mniwie radhi nitatumia biblia peke yake.

Kwa kuanza nimuongelee mwalimu JK Nyerere katika moja ya hotuba zake alikuwa anaongelea jambo fulani na akasema kuwa kuongelea jambo kama hilo ni lazima ujifanye kama mwendawazimu kidogo. Kuna vitu hata wachungaji hawahubiri , japo wengine ( si wote) wanavifahamu ila wanaogopa kwani ukisema vinaweza kuligawanya kanisa mara moja na wewe ukaitwa kichaa! Lakini kwa uimara wa mitume waliotangulia wao waliweza kuzungumza hata wakionekana wapumbavu sababu ya kuuongea ukweli mgumu.

2 WAKORINTHO 11: 16
2 WAKORINTHO. 11: 21
2 WAKORINTHO. 11: 23

MGAWANYO. WA BINADAMU

Binadamu tumegawanyika kwenye makundi makuu mawili ; humo ndani kutakuwa na makundi madogo madogo lakini makundi makuu ni mawili ambayo ni ;
(a) Uzao wa Mwanadamu
(b) Uzao wa Nyoka / shetani.
Makundi haya yalitokea pale kwenye kosa la Adamu na Hawa bustanini Eden !
MWANZO 3: 15

Kuna watu watadhani huo ulikuwa ni mzaha, lakini ukisoma biblia uzao huu ulikuwepo mpaka Agano jipya na tunao mpaka leo hii.
MATHAYO. 3: 5 - 8
hata BWANA YESU katika mahubiri yake walimsumbua sana hawa, ndio waliokuwa wanauliza maswali ya kumtega ila kwa hekima aliwashinda siku zote ! Na hata yeye si mara moja ama mbili alisikika akiwaambia live "" enyi uzao wa nyoka"", ila kwa kuogopa kwao wenyewe watumishi wa MUNGU wa sikuhizi wanatuambia eti hilo lilikuwa ni fumbo tu !

KAZI YA UZAO WA NYOKA
Kila mtu anafahamu kwamba ""NGUVU YA MFALME NI WATU WAKE""
Adamu na Hawa walipewa dunia kuitawala lakini siri ya uwezo huo wa kutawala ilikuwa katika wingi wao kwa njia ya kuzaliana, hivyo MUNGU aliwapa uwezo wa kuzaliana ili pamoja na mambo mengine wakaitawale na kuitiisha dunia yote.

MWANZO. 1 : 26 - 28

Sasa basi unaelewa kwa nn shetani nae alianzisha uzao wake , huo uitwao uzao wa nyoka ? Kwa sababu shetani alipotupwa duniani amemkuta mwanadamu ndio mtawala wa dunia, kapewa atawale , shetani angepaswa awe chini ya wananadamu pia na yeye ila kwa kuwalaghai na kufanikiwa kuanzisha uzao wake ( uzao wa nyoka) basi na yeye pia amejipatia uwezo uleule aliopewa mwanadamu wa kutawala kwa kuzaliana .
Kwa kuwa hakuna awezaye kutawala dunia bila kuzalaiana, shetani anao uzao wake mpaka leo duniani , unaitwa uzao wa nyoka, hawa ni kama sisi kwa muonekano wote lakini ni adui zetu mno , kuliko maelezo.
MWANZO 3 : 15

IN THE CONTEMPORARY HISTORY
Kwa wanaofuatilia historia ya ulimwengu , kuna fununu kwamba viongozi wote waliotawala ulaya kuanzia enzi za tawala za kifalme mpaka enzi hizi za demokrasia, ni watu wa bloodline mbili au tatu maalum na wanauhusiano wa kidamu wote, haijalishi yupo ufaransa, uingereza, italy n.k wote ni watu wa damu moja kwa namna moja ama nyingine.
Angalia mchezo kama huo pia ndio unaoanza kutengenezwa hata hapa kwetu TANZANIA , unapoona kuna koo maalum zinajiinua na kujitengeneza kwa namna ambayo zenyewe ndio zitatawala nchi hii milele usije kudhani labda wanatania ama ni masikhala ama ni jambo la kawaida kibinadamu tu linatokea.
Viumbe hao wanaoonekana kama sisi, ILA SIO SISI, wanadharau sana binadamu wa kawaida kwasababu wanasema binadamu hana akili ya kuwatawala wao ! Wanasema baba yao , Nyoka , ni mwerevu, na binadamu hapaswi kuwatawala kwani binadamu sio mwerevu kama wao.
..MWANZO 3 : 1

Kwa kutumia sifa hii ya werevu hata sisi huwakubali sana uzao huo kwa urahisi sana, kwani wao hutokelezea kama watu wwnye ushawishi kuliko sisi iwe shuleni, makazini, kwenye sanaa n.k na hutufanya tuwakubali kwa urahisi mno na kuwapa nafasi ya kuongoza mahala panapohitajika uongozi. Kwa werevu huu wamefanikiwa kuulaghai sana uzao wa binadamu hata katika nyanja ya kisiasa.

Kwa sababu wao wapo wengi na sio wote watatawala, yule anaekubaliwa miongoni mwao atawale binadamu basi wale uzao wenzake walioko chini huku katika level ya kawaida, WOTE, humuunga mkono, na kumpamba mno, ili wanadamu ambao hawajui kitu mpaka hapo, wataona huyu ni mtu anaefaa kweli kuongoza, Hii ni kwa nchi zinazotumia demokrasia.

KWA MAENEO YENYE VITA
Huko uzao wa nyoka ulishatawala ndio wanaoongiza machafuko na umwagaji wa damu kwani kwa jinsi hiyo ndio kuzimu daima inapokea reliable supply ya DAMU NA NYAMA za watu toka duniani, hiyo mizoga isiyokuwa na idadi ambayo sisi tunadhani inaishia tu kujiozea peke yake ovyo. Ni hatari sana kuingia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe kwani watakaoviendesha ni hawa jamaa, utaona huwa hawataki suluhu kamwe watakaa vikao miaka na miaka lakini kamwe vita haiiishi.

DAWA YA KUZUIA KUFIKA HUKO NI KUANDIKA KATIBA MAKINI AMBAYO INAUWEZO WA KUMSHUHHULIKIA MTU MMOJA KABLA HAJAHARIBU TAIFA ZIMA, NA YENYE UWEZO WA KUCOUNTERCHECK MIANYA YOTE YA UOVU AMBAYO UZAO WA NYOKA WANAWEZA KUPITISHIA MATATIZO TUNAYOYAONA MATAIFA MENGINE. KILA MTU ATAWALIWE NA SHERIA ASIWEPO MTU MWENYE KUWEZA KUFANYA ATAKAVYO HATA IWEJE.Tuko salama bado maana maandalizi ya uzao wa nyoka kuliharibu taifa bado yako nyuma sana tukiwawahi kwa katiba makini na kuliweka taifa chini ya sheria, asiwepo mtu mwenye kiburi binafsi mamlaka zote ziwe kisheria na zifanye kazi kisheria,

SASA KINACHOTOKEA TANZANIA KWA SASA,
Kwa kuwa nchi inatawaliwa kiholela holela bila katiba makinI uzao wa nyoka wana nafasi kubwa ya kutawala juu yetu( sijasema kuwa wapo wanatawala) naongelea kwa kufuata kanuni niliyoieleza na nitaifafanua zaidi hapa chini.

NI KWAMBA :
Uzao wa nyoka ni LAWLESSNESS , ni waovu by nature, hiyo ni asili yao tangu awali kwa baba yao shetani. Hivyo sio watu ambao wangependa kuwe na sheria makini katika kulitawala taifa, maana inawapumguzia uwezo wa wao kutawala. Ni kama kijana aende kwenye party ama sherehe halafu asikie nyimbo za kumsifu bikira maria mwanzo mwisho, atakuambia hakuna vibe ! ( Madogo na lugha zao).

Hivyo utaelewa kwa nini watagoma kuruhusu sheria makini, katiba imara, bora , makini na safi isitengenezwe na kama mkiwashinda msipokuwa makini watapenyeza vitu vyao vya mtego humo ndani ya katiba.

Kwahiyo mchakato wa katiba ukichukuliwa kwa mtazamo huo ndipo tutaupa msukumo zaidi, jambo hilo litatupa ss binadamu uwezo wakutawala dhidi ya adui zetu ambao nao wapo ili watutawale, kwenye sheria makini uzao wa shetani hujidhihirisha kwa kuwa wao jawezi kutii , wao ni waasi daima.

BWANA YESU alisema mtawatambua kwa matendo yao hata kama wakijivika ngozi ya kondoo kumbe ndani ni mbwa mwitu wakali, matendo yao yatabakia ya mbwa mwitu tu. Kamwe hawawezi kiwa na matendo ya kondoo.

Yohana mbatizaji aliwachallenge walipoona binadamu wanamiminika kutubu wakajua Yohana sasa ataanzisha dini nyingine na wao wasipojifanya kwenda kwake kutubu kama binadamu hawataweza kuingiza uovu wao humo maana hawataingia kwenye dini hiyo, YOHANA akiwajua vizuri kuwa ni waigizaji tu, anajua pa kuwabania , ni kwenye kutii, hawawezi, akawaambia fanyeni mema kama ninyi sio nyoka tuwaone basi,
MATHAYO. 3 : 5 - 8

POLENI NDUGAI, POLEPOLE. NA WENGINE,...
Mnapoibuka kama kutaka kuwatetea watanzania lakini mnashangaa watanzania hao hao wanawapiga , inakatisha tamaa, inaumiza na inahuzunisha sana.

Lakini kwani hamjagundua kuwa kuna makundi mawili huku mtaani, wanaowasupport na wanao comment kashfa na matusi mengi sana.

Ila itakuumiza zaidi pale unapoona matusi yametoka kwa raia ambaye ulidhani unamtetea na mengine kwa kiongozi mwenzako ambaye ulidhani wote mngepigania haki , kwa nia moja.

Watanzania tunapaswa tuelewe sasa kuwa uzao wa nyoka umeshasogea hatua moja zaidi kwenye taifa hili, sasa they are about to do sth sunstantial na wanajiona wamecheleweshwa sana na miaingi mizuri na imara ya waasisi wa taifa hili, wanatamani wangefanya kama wanayowafanya nyoka wenzao kwenye mataifa mengine. Unapoona tayari nchi imegawika kati ya WEMA NA WAOVU katika kila jambo linalotolewa maoni huku mtaani basi usichukulie hiyo hatua kwamba ni ya masikhara. Wanadamu tunapaswa kuamka wote pamoja, WOTE PAMOJA.

Uzao wa nyoka wapo katika utawala na wapo uraiani , hawa tulionao uraiani wanashangilia hata upumbavu ukifanyika na hao wenzao wa huko juu, na kama wataweza kupata reasonable justification basi wata comment na kuwadanganya binadamu wasio makini.

Ndiposa utaona uongo ni mwingi sana , mtu mwingine umamsikia anajatibu kusema mpaka baba wa taifa aliiba mali!!! Wao wangetamani kuharibu legacy zote, kuchafua kila mtu, na kuleta chaos ili wao ndio waliteke taifa kiutawala. KATIBA MAKINI YENYE SHERIA KALI MAPEMA SANA INAHITAJIKA.

katiba makini ndio itawarudishia nyinyi kina Ndugai, Polepole, na wengine wote ambao mna ubinadamu na mmetamani kuonyesha njia ya kweli, uwezo wa kutawala tena katika taifa hili.

TRUST ME, hao jamaa ni LAWLESSNESS, ni kama wachawi wasiotaka nuru , sheria nia nuru, itawamulika , hawatakuwa na pahala pakuyafichia maovu yao na matendo yao yatakuwa dhahiri kwa watu wote na by default hawawezi kushinda .

JIULIZE,
KWA NINI? : kuna tumika nguvu nyingi sana kupitia teknology zote duniani, matrillion ya dollars yanamwagwa kwenye vitu vya kipumbavu tu humu duniani, mfano diamond anautajiri mkubwa sana kwa kukatika viuno na kuvaa vikuku lakini kuna watanzania wamegundua vitu vyenye manufaa , mpaka magari wametengeneza, mpaka ndege ndogo lakini hela haziendi kwao?

Kwa kuwa mfumo wa dunia unataka watu wanaofanya kazi ya kuharibu moral za vizazi za binadamu. Watu wanaofanya kazi ya kuwazoelesha binadamu kuona uovu as normal, kuua ile nguvu ya kujishtaki katika dhamira yako unapofanya uovu.

Kuwazoeleshea wanadamu uovu ndio kampeni waliyopewa kufanya hawa watu, wasanii wote wa kidumia, hiyo ndio kazi yao. Na wanapewa pesa kubwa kwa sababu hiyo, maana siku binadamu akiwa kazoelea uovu hata watawala wakifanya uovu kila mtu ataona ni kawaida tu, ndio maisha.

Hivyo ni vizuri kushtuka mapema kabla mambo haya hayajawa, ndio sababu unaona manabii na mitume wazinzi n.k yote hii ni kuchafua ile dhana ya utakatifu ili watu wazoelee dhambi . Mazingira ya binadamu waliozoelea uovu na kuona kuwa i kitu cha kawaida; kukuta binti mdogo anadanga na mijitu mizima, kuona vijana waliovaa nusu uchi, n.k hayo ni mazingira favourable zaidi kwa uzao wa nyoka kuishi kwa sababu kama vile wao walivyo lawlessness basi binadamu waovu hawataweza kujitofautisha na wao, wote tutakuwa kama kitu kimoja tu.

NDUGAI, POLEPOLE AND KAMPANI MLITEGWA
Mbinu wanayotumia hao jamaa ni kuwaingiza kingi mapema binadamu ili wawamalize ujasiri na nguvu zenu.

Unapoingia tu katika utawala ama uongozi, popote iwe serikalini ama ofisi yoyote, wao huandaa mchongo wa wenye maslahi fulani ambao unaonekana wewe pia ushiriki ili jambo lifanikiwe. Na wanakuahidia manufaa mazuri tu.

Watakufanya usichovye mara moja, itakuzoelea tabia hiyo mwishowe na utadhani na wewe unaujanja wako kumbe ni watu fulani walikutarget mapema. Wakati huo wote wanahifadhi data zako vizuri sana, ole wako uje ushtuke eti unataka uwageuke usaidie binadamu wenzio , maana wanajua kwa nature ya binadamu siku yoyote moyo utamrudi tu, siku hiyo ndio utakapopewa live kwamba ;""" umeshahau 1 ,2 , 3...""?

Ndipo hapo utanywea na kuwa kama sio wewe unaanza kuomba msamaha kama mtoto wakati unajua ulikuwa unasimamia haki !!!

Huu ndio mtego wa uzao wa nyoka kwa binadamu wenzetu wanao panda ngazi za juu popote pale, NIWAAMBIE TU DUNIA SIO KAMA UNAVYOIONA BILA MUNGU HUTAWEZA, MACHONI KAMA WATU ILA IPO SIKU UTAJUA HUJUI, HERI UMTII MUNGU NA USIKUBALI USHAWISHI WA CHOCHOTE , HATA UKIDHANI DUNIA HAITAKUJA KUJUA UJUE UNAJIDANGANYA TU.

BINADAMU WENZANGU
Binadamu unajijua kama wewe ni binadamu , ni mtu wa kawaida tu na hauhitaji kipimo chochote kujijua kipimo chako ni wewe mwenyewe unavyojiona hata uwe dini gani lakini unanafsi yenye kumhofia Mwenyezi Mungu muumba wa Mbingu na ardhi basi wewe ni binadamu.

Hata kama hivi tunapoongea uzao wa nyoka na wewe wamekuteka na kukuingiza kwenue maovu makubwa dhidi ya binadamu wenzio ila the sense ya ubinadamu unayo ndani yako kabisa, kuna mambo ukitaka kufanya ni mpaka ujikaze kidogo maana kuna kitu kinakukumbusha kuhusu MUNGU basi ukiona hivyo wewe ni binadamu na ukijirudi muda wowote MUNGU hana shida na wewe kabisa trust me, mradi uwahi tu kabla hujafa. Maana marehemu Kanumba alikuwa katika kundi la huo uzao, huko ambako binadamu wengi wametekwa wakifuata mali, pengine Kanumba alifanya mengi sana hata akadhani naye ni kama wao lakini walipompa sharti la mwisho ndipo alipogundua kuwa yeye sio kama wao, nafsi ya binadamu haiwezi kufanya kama nafsi za hao majini watu! Ila kwa kuwa alichelewachelewa toba walifanikiwa kuondoka nae jumla.

NGUVU YA BINADAMU
Tukiungana na kusimamia maadili yetu vikali sana, tukaestablish sheria zetu kwa nguvu zote bila huruma ( kama china) , KATIBA MPYA nayo inahusika hapa, basi tutawavunja nguvu sana hao uzao wa nyoka.





 
Unapoingia tu katika utawala ama uongozi, popote iwe serikalini ama ofisi yoyote, wao huandaa mchongo wa wenye maslahi fulani ambao unaonekana wewe pia ushiriki ili jambo lifanikiwe. Na wanakuahidia manufaa mazuri tu. Watakufanya usichovye mara moja, itakuzoelea tabia hiyo mwishowe na utadhani na wewe unaujanja wako kumbe ni watu fulani walikutarget mapema. Wakati huo wote wanahifadhi data zako vizuri sana, ole wako uje ushtuke eti unataka uwageuke usaidie binadamu wenzio , maana wanajua kwa nature ya binadamu siku yoyote moyo utamrudi tu, siku hiyo ndio utakapopewa live kwamba ;""" umeshahau 1 ,2 , 3...""?
Ndipo hapo utanywea na kuwa kama sio wewe unaanza kuomba msamaha kama mtoto wakati unajua ulikuwa unasimamia haki !
Mkuu Joshua Justine asante kwa uzi mzuri wa mwanzo wa mwaka.

Umeusema ukweli. Bila katiba mpya watakulana wao kwa wao hadi wakome
 
Mkuu Pythagorus , wakwanza kunipiga mawe hapa watakuwa hao hao, we usijali, ila binadamu yeyote akisoma hapa lazima atajitazama na kuitazama dunia tofauti sana popote anapoishi, iwe shule, chuo, kazini. serikalini, kwenye jamii zetu n.k
Its a great dissillusionment ever !
Sahihi kabisa
 
Kutokana na maelezo ya mleta mada, Ndugai na Polepole ndio kundi la binadamu na hao wengine basi ni kizazi cha nyoka.
Kama ukweli ndio huo basi wacha mimi niungane na hao nyoka sababu ndio wenye afadhali
Kama unasoma na kuelewa nimeeleza hapo mwishoni jinsi uzao wa. nyoka walivyo werevu, wewe ukiingia tu wameshapanga namna ya kushirikisha maovu mbalimbali kwa ajili ya mipango yao ya kesho, na utakaposhiriki tu basi baadae wanajua namna ya kukuchafua ukijfanya kufurukuta, pengine uangalie dhamiri njema ya hao jamaa na jinsi wanavyozimwa ndio utaelewa .
Hii iwe funzo pia kwa wanasiasa vijana na vijana wengine mahala pengine panapohusisha maslahi, watu wanakutazama tangu unapokuja we huna habari.
Ukidhani ni wakati wa wewe kumuasi Mungu na kufanya kama , ""WATU"", wanavyofanya shauri yako.
 
Nime
Nawasalimu kwa heshima zote enyi waheshimiiwa !

Lakini mtanisamehe kwa wale wenzetu waislam sijabahatika kuijua quran kiasi cha kukopa mistari yake hapa, mniwie radhi nitatumia biblia peke yake.

Kwa kuanza nimuongelee mwalimu JK Nyerere katika moja ya hotuba zake alikuwa anaongelea jambo fulani na akasema kuwa kuongelea jambo kama hilo ni lazima ujifanye kama mwendawazimu kidogo. Kuna vitu hata wachungaji hawahubiri , japo wengine ( si wote) wanavifahamu ila wanaogopa kwani ukisema vinaweza kuligawanya kanisa mara moja na wewe ukaitwa kichaa! Lakini kwa uimara wa mitume waliotangulia wao waliweza kuzungumza hata wakionekana wapumbavu sababu ya kuuongea ukweli mgumu.

2 WAKORINTHO 11: 16
2 WAKORINTHO. 11: 21
2 WAKORINTHO. 11: 23

MGAWANYO. WA BINADAMU

Binadamu tumegawanyika kwenye makundi makuu mawili ; humo ndani kutakuwa na makundi madogo madogo lakini makundi makuu ni mawili ambayo ni ;
(a) Uzao wa Mwanadamu
(b) Uzao wa Nyoka / shetani.
Makundi haya yalitokea pale kwenye kosa la Adamu na Hawa bustanini Eden !
MWANZO 3: 15

Kuna watu watadhani huo ulikuwa ni mzaha, lakini ukisoma biblia uzao huu ulikuwepo mpaka Agano jipya na tunao mpaka leo hii.
MATHAYO. 3: 5 - 8
hata BWANA YESU katika mahubiri yake walimsumbua sana hawa, ndio waliokuwa wanauliza maswali ya kumtega ila kwa hekima aliwashinda siku zote ! Na hata yeye si mara moja ama mbili alisikika akiwaambia live "" enyi uzao wa nyoka"", ila kwa kuogopa kwao wenyewe watumishi wa MUNGU wa sikuhizi wanatuambia eti hilo lilikuwa ni fumbo tu !

KAZI YA UZAO WA NYOKA
Kila mtu anafahamu kwamba ""NGUVU YA MFALME NI WATU WAKE""
Adamu na Hawa walipewa dunia kuitawala lakini siri ya uwezo huo wa kutawala ilikuwa katika wingi wao kwa njia ya kuzaliana, hivyo MUNGU aliwapa uwezo wa kuzaliana ili pamoja na mambo mengine wakaitawale na kuitiisha dunia yote.

MWANZO. 1 : 26 - 28

Sasa basi unaelewa kwa nn shetani nae alianzisha uzao wake , huo uitwao uzao wa nyoka ? Kwa sababu shetani alipotupwa duniani amemkuta mwanadamu ndio mtawala wa dunia, kapewa atawale , shetani angepaswa awe chini ya wananadamu pia na yeye ila kwa kuwalaghai na kufanikiwa kuanzisha uzao wake ( uzao wa nyoka) basi na yeye pia amejipatia uwezo uleule aliopewa mwanadamu wa kutawala kwa kuzaliana .
Kwa kuwa hakuna awezaye kutawala dunia bila kuzalaiana, shetani anao uzao wake mpaka leo duniani , unaitwa uzao wa nyoka, hawa ni kama sisi kwa muonekano wote lakini ni adui zetu mno , kuliko maelezo.
MWANZO 3 : 15

IN THE CONTEMPORARY HISTORY
Kwa wanaofuatilia historia ya ulimwengu , kuna fununu kwamba viongozi wote waliotawala ulaya kuanzia enzi za tawala za kifalme mpaka enzi hizi za demokrasia, ni watu wa bloodline mbili au tatu maalum na wanauhusiano wa kidamu wote, haijalishi yupo ufaransa, uingereza, italy n.k wote ni watu wa damu moja kwa namna moja ama nyingine.
Angalia mchezo kama huo pia ndio unaoanza kutengenezwa hata hapa kwetu TANZANIA , unapoona kuna koo maalum zinajiinua na kujitengeneza kwa namna ambayo zenyewe ndio zitatawala nchi hii milele usije kudhani labda wanatania ama ni masikhala ama ni jambo la kawaida kibinadamu tu linatokea.
Viumbe hao wanaoonekana kama sisi, ILA SIO SISI, wanadharau sana binadamu wa kawaida kwasababu wanasema binadamu hana akili ya kuwatawala wao ! Wanasema baba yao , Nyoka , ni mwerevu, na binadamu hapaswi kuwatawala kwani binadamu sio mwerevu kama wao.
..MWANZO 3 : 1

Kwa kutumia sifa hii ya werevu hata sisi huwakubali sana uzao huo kwa urahisi sana, kwani wao hutokelezea kama watu wwnye ushawishi kuliko sisi iwe shuleni, makazini, kwenye sanaa n.k na hutufanya tuwakubali kwa urahisi mno na kuwapa nafasi ya kuongoza mahala panapohitajika uongozi. Kwa werevu huu wamefanikiwa kuulaghai sana uzao wa binadamu hata katika nyanja ya kisiasa.

Kwa sababu wao wapo wengi na sio wote watatawala, yule anaekubaliwa miongoni mwao atawale binadamu basi wale uzao wenzake walioko chini huku katika level ya kawaida, WOTE, humuunga mkono, na kumpamba mno, ili wanadamu ambao hawajui kitu mpaka hapo, wataona huyu ni mtu anaefaa kweli kuongoza, Hii ni kwa nchi zinazotumia demokrasia.

KWA MAENEO YENYE VITA
Huko uzao wa nyoka ulishatawala ndio wanaoongiza machafuko na umwagaji wa damu kwani kwa jinsi hiyo ndio kuzimu daima inapokea reliable supply ya DAMU NA NYAMA za watu toka duniani, hiyo mizoga isiyokuwa na idadi ambayo sisi tunadhani inaishia tu kujiozea peke yake ovyo. Ni hatari sana kuingia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe kwani watakaoviendesha ni hawa jamaa, utaona huwa hawataki suluhu kamwe watakaa vikao miaka na miaka lakini kamwe vita haiiishi.

DAWA YA KUZUIA KUFIKA HUKO NI KUANDIKA KATIBA MAKINI AMBAYO INAUWEZO WA KUMSHUHHULIKIA MTU MMOJA KABLA HAJAHARIBU TAIFA ZIMA, NA YENYE UWEZO WA KUCOUNTERCHECK MIANYA YOTE YA UOVU AMBAYO UZAO WA NYOKA WANAWEZA KUPITISHIA MATATIZO TUNAYOYAONA MATAIFA MENGINE. KILA MTU ATAWALIWE NA SHERIA ASIWEPO MTU MWENYE KUWEZA KUFANYA ATAKAVYO HATA IWEJE.Tuko salama bado maana maandalizi ya uzao wa nyoka kuliharibu taifa bado yako nyuma sana tukiwawahi kwa katiba makini na kuliweka taifa chini ya sheria, asiwepo mtu mwenye kiburi binafsi mamlaka zote ziwe kisheria na zifanye kazi kisheria,

SASA KINACHOTOKEA TANZANIA KWA SASA,
Kwa kuwa nchi inatawaliwa kiholela holela bila katiba makinI uzao wa nyoka wana nafasi kubwa ya kutawala juu yetu( sijasema kuwa wapo wanatawala) naongelea kwa kufuata kanuni niliyoieleza na nitaifafanua zaidi hapa chini.

NI KWAMBA :
Uzao wa nyoka ni LAWLESSNESS , ni waovu by nature, hiyo ni asili yao tangu awali kwa baba yao shetani. Hivyo sio watu ambao wangependa kuwe na sheria makini katika kulitawala taifa, maana inawapumguzia uwezo wa wao kutawala. Ni kama kijana aende kwenye party ama sherehe halafu asikie nyimbo za kumsifu bikira maria mwanzo mwisho, atakuambia hakuna vibe ! ( Madogo na lugha zao).

Hivyo utaelewa kwa nini watagoma kuruhusu sheria makini, katiba imara, bora , makini na safi isitengenezwe na kama mkiwashinda msipokuwa makini watapenyeza vitu vyao vya mtego humo ndani ya katiba.

Kwahiyo mchakato wa katiba ukichukuliwa kwa mtazamo huo ndipo tutaupa msukumo zaidi, jambo hilo litatupa ss binadamu uwezo wakutawala dhidi ya adui zetu ambao nao wapo ili watutawale, kwenye sheria makini uzao wa shetani hujidhihirisha kwa kuwa wao jawezi kutii , wao ni waasi daima.

BWANA YESU alisema mtawatambua kwa matendo yao hata kama wakijivika ngozi ya kondoo kumbe ndani ni mbwa mwitu wakali, matendo yao yatabakia ya mbwa mwitu tu. Kamwe hawawezi kiwa na matendo ya kondoo.

Yohana mbatizaji aliwachallenge walipoona binadamu wanamiminika kutubu wakajua Yohana sasa ataanzisha dini nyingine na wao wasipojifanya kwenda kwake kutubu kama binadamu hawataweza kuingiza uovu wao humo maana hawataingia kwenye dini hiyo, YOHANA akiwajua vizuri kuwa ni waigizaji tu, anajua pa kuwabania , ni kwenye kutii, hawawezi, akawaambia fanyeni mema kama ninyi sio nyoka tuwaone basi,
MATHAYO. 3 : 5 - 8

POLENI NDUGAI, POLEPOLE. NA WENGINE,...
Mnapoibuka kama kutaka kuwatetea watanzania lakini mnashangaa watanzania hao hao wanawapiga , inakatisha tamaa, inaumiza na inahuzunisha sana.

Lakini kwani hamjagundua kuwa kuna makundi mawili huku mtaani, wanaowasupport na wanao comment kashfa na matusi mengi sana.

Ila itakuumiza zaidi pale unapoona matusi yametoka kwa raia ambaye ulidhani unamtetea na mengine kwa kiongozi mwenzako ambaye ulidhani wote mngepigania haki , kwa nia moja.

Watanzania tunapaswa tuelewe sasa kuwa uzao wa nyoka umeshasogea hatua moja zaidi kwenye taifa hili, sasa they are about to do sth sunstantial na wanajiona wamecheleweshwa sana na miaingi mizuri na imara ya waasisi wa taifa hili, wanatamani wangefanya kama wanayowafanya nyoka wenzao kwenye mataifa mengine. Unapoona tayari nchi imegawika kati ya WEMA NA WAOVU katika kila jambo linalotolewa maoni huku mtaani basi usichukulie hiyo hatua kwamba ni ya masikhara. Wanadamu tunapaswa kuamka wote pamoja, WOTE PAMOJA.

Uzao wa nyoka wapo katika utawala na wapo uraiani , hawa tulionao uraiani wanashangilia hata upumbavu ukifanyika na hao wenzao wa huko juu, na kama wataweza kupata reasonable justification basi wata comment na kuwadanganya binadamu wasio makini.

Ndiposa utaona uongo ni mwingi sana , mtu mwingine umamsikia anajatibu kusema mpaka baba wa taifa aliiba mali!!! Wao wangetamani kuharibu legacy zote, kuchafua kila mtu, na kuleta chaos ili wao ndio waliteke taifa kiutawala. KATIBA MAKINI YENYE SHERIA KALI MAPEMA SANA INAHITAJIKA.

katiba makini ndio itawarudishia nyinyi kina Ndugai, Polepole, na wengine wote ambao mna ubinadamu na mmetamani kuonyesha njia ya kweli, uwezo wa kutawala tena katika taifa hili.

TRUST ME, hao jamaa ni LAWLESSNESS, ni kama wachawi wasiotaka nuru , sheria nia nuru, itawamulika , hawatakuwa na pahala pakuyafichia maovu yao na matendo yao yatakuwa dhahiri kwa watu wote na by default hawawezi kushinda .

JIULIZE,
KWA NINI? : kuna tumika nguvu nyingi sana kupitia teknology zote duniani, matrillion ya dollars yanamwagwa kwenye vitu vya kipumbavu tu humu duniani, mfano diamond anautajiri mkubwa sana kwa kukatika viuno na kuvaa vikuku lakini kuna watanzania wamegundua vitu vyenye manufaa , mpaka magari wametengeneza, mpaka ndege ndogo lakini hela haziendi kwao?

Kwa kuwa mfumo wa dunia unataka watu wanaofanya kazi ya kuharibu moral za vizazi za binadamu. Watu wanaofanya kazi ya kuwazoelesha binadamu kuona uovu as normal, kuua ile nguvu ya kujishtaki katika dhamira yako unapofanya uovu.

Kuwazoeleshea wanadamu uovu ndio kampeni waliyopewa kufanya hawa watu, wasanii wote wa kidumia, hiyo ndio kazi yao. Na wanapewa pesa kubwa kwa sababu hiyo, maana siku binadamu akiwa kazoelea uovu hata watawala wakifanya uovu kila mtu ataona ni kawaida tu, ndio maisha.

Hivyo ni vizuri kushtuka mapema kabla mambo haya hayajawa, ndio sababu unaona manabii na mitume wazinzi n.k yote hii ni kuchafua ile dhana ya utakatifu ili watu wazoelee dhambi . Mazingira ya binadamu waliozoelea uovu na kuona kuwa i kitu cha kawaida; kukuta binti mdogo anadanga na mijitu mizima, kuona vijana waliovaa nusu uchi, n.k hayo ni mazingira favourable zaidi kwa uzao wa nyoka kuishi kwa sababu kama vile wao walivyo lawlessness basi binadamu waovu hawataweza kujitofautisha na wao, wote tutakuwa kama kitu kimoja tu.

NDUGAI, POLEPOLE AND KAMPANI MLITEGWA
Mbinu wanayotumia hao jamaa ni kuwaingiza kingi mapema binadamu ili wawamalize ujasiri na nguvu zenu.

Unapoingia tu katika utawala ama uongozi, popote iwe serikalini ama ofisi yoyote, wao huandaa mchongo wa wenye maslahi fulani ambao unaonekana wewe pia ushiriki ili jambo lifanikiwe. Na wanakuahidia manufaa mazuri tu.

Watakufanya usichovye mara moja, itakuzoelea tabia hiyo mwishowe na utadhani na wewe unaujanja wako kumbe ni watu fulani walikutarget mapema. Wakati huo wote wanahifadhi data zako vizuri sana, ole wako uje ushtuke eti unataka uwageuke usaidie binadamu wenzio , maana wanajua kwa nature ya binadamu siku yoyote moyo utamrudi tu, siku hiyo ndio utakapopewa live kwamba ;""" umeshahau 1 ,2 , 3...""?

Ndipo hapo utanywea na kuwa kama sio wewe unaanza kuomba msamaha kama mtoto wakati unajua ulikuwa unasimamia haki !!!

Huu ndio mtego wa uzao wa nyoka kwa binadamu wenzetu wanao panda ngazi za juu popote pale, NIWAAMBIE TU DUNIA SIO KAMA UNAVYOIONA BILA MUNGU HUTAWEZA, MACHONI KAMA WATU ILA IPO SIKU UTAJUA HUJUI, HERI UMTII MUNGU NA USIKUBALI USHAWISHI WA CHOCHOTE , HATA UKIDHANI DUNIA HAITAKUJA KUJUA UJUE UNAJIDANGANYA TU.

BINADAMU WENZANGU
Binadamu unajijua kama wewe ni binadamu , ni mtu wa kawaida tu na hauhitaji kipimo chochote kujijua kipimo chako ni wewe mwenyewe unavyojiona hata uwe dini gani lakini unanafsi yenye kumhofia Mwenyezi Mungu muumba wa Mbingu na ardhi basi wewe ni binadamu.

Hata kama hivi tunapoongea uzao wa nyoka na wewe wamekuteka na kukuingiza kwenue maovu makubwa dhidi ya binadamu wenzio ila the sense ya ubinadamu unayo ndani yako kabisa, kuna mambo ukitaka kufanya ni mpaka ujikaze kidogo maana kuna kitu kinakukumbusha kuhusu MUNGU basi ukiona hivyo wewe ni binadamu na ukijirudi muda wowote MUNGU hana shida na wewe kabisa trust me, mradi uwahi tu kabla hujafa. Maana marehemu Kanumba alikuwa katika kundi la huo uzao, huko ambako binadamu wengi wametekwa wakifuata mali, pengine Kanumba alifanya mengi sana hata akadhani naye ni kama wao lakini walipompa sharti la mwisho ndipo alipogundua kuwa yeye sio kama wao, nafsi ya binadamu haiwezi kufanya kama nafsi za hao majini watu! Ila kwa kuwa alichelewachelewa toba walifanikiwa kuondoka nae jumla.

NGUVU YA BINADAMU
Tukiungana na kusimamia maadili yetu vikali sana, tukaestablish sheria zetu kwa nguvu zote bila huruma ( kama china) , KATIBA MPYA nayo inahusika hapa, basi tutawavunja nguvu sana hao uzao wa nyoka.





Wooh..!

Nimekusoma mpaka mwisho na kukuelewa vizuri sana...

Nasikitika tu kuwa, wachache sana watasoma andiko lako na kukuelewa kwa sababu kuu mbili;

1. Ni article ndefu na wengine humu ni watoto wa mipasho tu. Wamezoea kusoma mistari miwili au mitano...

2. Msingi wa article na mjadala huu uliouanzisha ni Biblia. Hapa ndiyo umeingiza wengi katika kichaka chenye giza kuu...!

Labda ni kwa sababu wengi walio humu pia ni wa uzao wa nyoka...!!
 
Nime

Wooh..!

Nimekusoma mpaka mwisho na kukuelewa vizuri sana...

Nasikitika tu kuwa, wachache sana watasoma andiko lako na kukuelewa kwa sababu kuu mbili;

1. Ni article ndefu na wengine humu ni watoto wa mipasho tu. Wamezoea kusoma mistari miwili au mitano...

2. Msingi wa article na mjadala huu uliouanzisha ni Biblia. Hapa ndiyo umeingiza wengi katika kichaka chenye giza kuu...!

Labda ni kwa sababu wengi walio humu pia ni wa uzao wa nyoka...!!
Hakuna namna mkuu, kuna vitu vingine unafanya uwezo unapoishia, maana mambo hayo kuyatoa kwenue kufikirika mpaka kumfanya mtu aelewe ni kazi tosha , ni Neema tu, sasa wenye neema wataipokea neema,
 
Kutokana na maelezo ya mleta mada, Ndugai na Polepole ndio kundi la binadamu na hao wengine basi ni kizazi cha nyoka.
Kama ukweli ndio huo basi wacha mimi niungane na hao nyoka sababu ndio wenye afadhali
Time will tell, keep on watching!.
 
Ahsante kwa miongozo, tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Nawasalimu kwa heshima zote enyi waheshimiiwa !

Lakini mtanisamehe kwa wale wenzetu waislam sijabahatika kuijua quran kiasi cha kukopa mistari yake hapa, mniwie radhi nitatumia biblia peke yake.

Kwa kuanza nimuongelee mwalimu JK Nyerere katika moja ya hotuba zake alikuwa anaongelea jambo fulani na akasema kuwa kuongelea jambo kama hilo ni lazima ujifanye kama mwendawazimu kidogo. Kuna vitu hata wachungaji hawahubiri , japo wengine ( si wote) wanavifahamu ila wanaogopa kwani ukisema vinaweza kuligawanya kanisa mara moja na wewe ukaitwa kichaa! Lakini kwa uimara wa mitume waliotangulia wao waliweza kuzungumza hata wakionekana wapumbavu sababu ya kuuongea ukweli mgumu.

2 WAKORINTHO 11: 16
2 WAKORINTHO. 11: 21
2 WAKORINTHO. 11: 23

MGAWANYO. WA BINADAMU

Binadamu tumegawanyika kwenye makundi makuu mawili ; humo ndani kutakuwa na makundi madogo madogo lakini makundi makuu ni mawili ambayo ni ;
(a) Uzao wa Mwanadamu
(b) Uzao wa Nyoka / shetani.
Makundi haya yalitokea pale kwenye kosa la Adamu na Hawa bustanini Eden !
MWANZO 3: 15

Kuna watu watadhani huo ulikuwa ni mzaha, lakini ukisoma biblia uzao huu ulikuwepo mpaka Agano jipya na tunao mpaka leo hii.
MATHAYO. 3: 5 - 8
hata BWANA YESU katika mahubiri yake walimsumbua sana hawa, ndio waliokuwa wanauliza maswali ya kumtega ila kwa hekima aliwashinda siku zote ! Na hata yeye si mara moja ama mbili alisikika akiwaambia live "" enyi uzao wa nyoka"", ila kwa kuogopa kwao wenyewe watumishi wa MUNGU wa sikuhizi wanatuambia eti hilo lilikuwa ni fumbo tu !

KAZI YA UZAO WA NYOKA
Kila mtu anafahamu kwamba ""NGUVU YA MFALME NI WATU WAKE""
Adamu na Hawa walipewa dunia kuitawala lakini siri ya uwezo huo wa kutawala ilikuwa katika wingi wao kwa njia ya kuzaliana, hivyo MUNGU aliwapa uwezo wa kuzaliana ili pamoja na mambo mengine wakaitawale na kuitiisha dunia yote.

MWANZO. 1 : 26 - 28

Sasa basi unaelewa kwa nn shetani nae alianzisha uzao wake , huo uitwao uzao wa nyoka ? Kwa sababu shetani alipotupwa duniani amemkuta mwanadamu ndio mtawala wa dunia, kapewa atawale , shetani angepaswa awe chini ya wananadamu pia na yeye ila kwa kuwalaghai na kufanikiwa kuanzisha uzao wake ( uzao wa nyoka) basi na yeye pia amejipatia uwezo uleule aliopewa mwanadamu wa kutawala kwa kuzaliana .
Kwa kuwa hakuna awezaye kutawala dunia bila kuzalaiana, shetani anao uzao wake mpaka leo duniani , unaitwa uzao wa nyoka, hawa ni kama sisi kwa muonekano wote lakini ni adui zetu mno , kuliko maelezo.
MWANZO 3 : 15

IN THE CONTEMPORARY HISTORY
Kwa wanaofuatilia historia ya ulimwengu , kuna fununu kwamba viongozi wote waliotawala ulaya kuanzia enzi za tawala za kifalme mpaka enzi hizi za demokrasia, ni watu wa bloodline mbili au tatu maalum na wanauhusiano wa kidamu wote, haijalishi yupo ufaransa, uingereza, italy n.k wote ni watu wa damu moja kwa namna moja ama nyingine.
Angalia mchezo kama huo pia ndio unaoanza kutengenezwa hata hapa kwetu TANZANIA , unapoona kuna koo maalum zinajiinua na kujitengeneza kwa namna ambayo zenyewe ndio zitatawala nchi hii milele usije kudhani labda wanatania ama ni masikhala ama ni jambo la kawaida kibinadamu tu linatokea.
Viumbe hao wanaoonekana kama sisi, ILA SIO SISI, wanadharau sana binadamu wa kawaida kwasababu wanasema binadamu hana akili ya kuwatawala wao ! Wanasema baba yao , Nyoka , ni mwerevu, na binadamu hapaswi kuwatawala kwani binadamu sio mwerevu kama wao.
..MWANZO 3 : 1

Kwa kutumia sifa hii ya werevu hata sisi huwakubali sana uzao huo kwa urahisi sana, kwani wao hutokelezea kama watu wwnye ushawishi kuliko sisi iwe shuleni, makazini, kwenye sanaa n.k na hutufanya tuwakubali kwa urahisi mno na kuwapa nafasi ya kuongoza mahala panapohitajika uongozi. Kwa werevu huu wamefanikiwa kuulaghai sana uzao wa binadamu hata katika nyanja ya kisiasa.

Kwa sababu wao wapo wengi na sio wote watatawala, yule anaekubaliwa miongoni mwao atawale binadamu basi wale uzao wenzake walioko chini huku katika level ya kawaida, WOTE, humuunga mkono, na kumpamba mno, ili wanadamu ambao hawajui kitu mpaka hapo, wataona huyu ni mtu anaefaa kweli kuongoza, Hii ni kwa nchi zinazotumia demokrasia.

KWA MAENEO YENYE VITA
Huko uzao wa nyoka ulishatawala ndio wanaoongiza machafuko na umwagaji wa damu kwani kwa jinsi hiyo ndio kuzimu daima inapokea reliable supply ya DAMU NA NYAMA za watu toka duniani, hiyo mizoga isiyokuwa na idadi ambayo sisi tunadhani inaishia tu kujiozea peke yake ovyo. Ni hatari sana kuingia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe kwani watakaoviendesha ni hawa jamaa, utaona huwa hawataki suluhu kamwe watakaa vikao miaka na miaka lakini kamwe vita haiiishi.

DAWA YA KUZUIA KUFIKA HUKO NI KUANDIKA KATIBA MAKINI AMBAYO INAUWEZO WA KUMSHUHHULIKIA MTU MMOJA KABLA HAJAHARIBU TAIFA ZIMA, NA YENYE UWEZO WA KUCOUNTERCHECK MIANYA YOTE YA UOVU AMBAYO UZAO WA NYOKA WANAWEZA KUPITISHIA MATATIZO TUNAYOYAONA MATAIFA MENGINE. KILA MTU ATAWALIWE NA SHERIA ASIWEPO MTU MWENYE KUWEZA KUFANYA ATAKAVYO HATA IWEJE.Tuko salama bado maana maandalizi ya uzao wa nyoka kuliharibu taifa bado yako nyuma sana tukiwawahi kwa katiba makini na kuliweka taifa chini ya sheria, asiwepo mtu mwenye kiburi binafsi mamlaka zote ziwe kisheria na zifanye kazi kisheria,

SASA KINACHOTOKEA TANZANIA KWA SASA,
Kwa kuwa nchi inatawaliwa kiholela holela bila katiba makinI uzao wa nyoka wana nafasi kubwa ya kutawala juu yetu( sijasema kuwa wapo wanatawala) naongelea kwa kufuata kanuni niliyoieleza na nitaifafanua zaidi hapa chini.

NI KWAMBA :
Uzao wa nyoka ni LAWLESSNESS , ni waovu by nature, hiyo ni asili yao tangu awali kwa baba yao shetani. Hivyo sio watu ambao wangependa kuwe na sheria makini katika kulitawala taifa, maana inawapumguzia uwezo wa wao kutawala. Ni kama kijana aende kwenye party ama sherehe halafu asikie nyimbo za kumsifu bikira maria mwanzo mwisho, atakuambia hakuna vibe ! ( Madogo na lugha zao).

Hivyo utaelewa kwa nini watagoma kuruhusu sheria makini, katiba imara, bora , makini na safi isitengenezwe na kama mkiwashinda msipokuwa makini watapenyeza vitu vyao vya mtego humo ndani ya katiba.

Kwahiyo mchakato wa katiba ukichukuliwa kwa mtazamo huo ndipo tutaupa msukumo zaidi, jambo hilo litatupa ss binadamu uwezo wakutawala dhidi ya adui zetu ambao nao wapo ili watutawale, kwenye sheria makini uzao wa shetani hujidhihirisha kwa kuwa wao jawezi kutii , wao ni waasi daima.

BWANA YESU alisema mtawatambua kwa matendo yao hata kama wakijivika ngozi ya kondoo kumbe ndani ni mbwa mwitu wakali, matendo yao yatabakia ya mbwa mwitu tu. Kamwe hawawezi kiwa na matendo ya kondoo.

Yohana mbatizaji aliwachallenge walipoona binadamu wanamiminika kutubu wakajua Yohana sasa ataanzisha dini nyingine na wao wasipojifanya kwenda kwake kutubu kama binadamu hawataweza kuingiza uovu wao humo maana hawataingia kwenye dini hiyo, YOHANA akiwajua vizuri kuwa ni waigizaji tu, anajua pa kuwabania , ni kwenye kutii, hawawezi, akawaambia fanyeni mema kama ninyi sio nyoka tuwaone basi,
MATHAYO. 3 : 5 - 8

POLENI NDUGAI, POLEPOLE. NA WENGINE,...
Mnapoibuka kama kutaka kuwatetea watanzania lakini mnashangaa watanzania hao hao wanawapiga , inakatisha tamaa, inaumiza na inahuzunisha sana.

Lakini kwani hamjagundua kuwa kuna makundi mawili huku mtaani, wanaowasupport na wanao comment kashfa na matusi mengi sana.

Ila itakuumiza zaidi pale unapoona matusi yametoka kwa raia ambaye ulidhani unamtetea na mengine kwa kiongozi mwenzako ambaye ulidhani wote mngepigania haki , kwa nia moja.

Watanzania tunapaswa tuelewe sasa kuwa uzao wa nyoka umeshasogea hatua moja zaidi kwenye taifa hili, sasa they are about to do sth sunstantial na wanajiona wamecheleweshwa sana na miaingi mizuri na imara ya waasisi wa taifa hili, wanatamani wangefanya kama wanayowafanya nyoka wenzao kwenye mataifa mengine. Unapoona tayari nchi imegawika kati ya WEMA NA WAOVU katika kila jambo linalotolewa maoni huku mtaani basi usichukulie hiyo hatua kwamba ni ya masikhara. Wanadamu tunapaswa kuamka wote pamoja, WOTE PAMOJA.

Uzao wa nyoka wapo katika utawala na wapo uraiani , hawa tulionao uraiani wanashangilia hata upumbavu ukifanyika na hao wenzao wa huko juu, na kama wataweza kupata reasonable justification basi wata comment na kuwadanganya binadamu wasio makini.

Ndiposa utaona uongo ni mwingi sana , mtu mwingine umamsikia anajatibu kusema mpaka baba wa taifa aliiba mali!!! Wao wangetamani kuharibu legacy zote, kuchafua kila mtu, na kuleta chaos ili wao ndio waliteke taifa kiutawala. KATIBA MAKINI YENYE SHERIA KALI MAPEMA SANA INAHITAJIKA.

katiba makini ndio itawarudishia nyinyi kina Ndugai, Polepole, na wengine wote ambao mna ubinadamu na mmetamani kuonyesha njia ya kweli, uwezo wa kutawala tena katika taifa hili.

TRUST ME, hao jamaa ni LAWLESSNESS, ni kama wachawi wasiotaka nuru , sheria nia nuru, itawamulika , hawatakuwa na pahala pakuyafichia maovu yao na matendo yao yatakuwa dhahiri kwa watu wote na by default hawawezi kushinda .

JIULIZE,
KWA NINI? : kuna tumika nguvu nyingi sana kupitia teknology zote duniani, matrillion ya dollars yanamwagwa kwenye vitu vya kipumbavu tu humu duniani, mfano diamond anautajiri mkubwa sana kwa kukatika viuno na kuvaa vikuku lakini kuna watanzania wamegundua vitu vyenye manufaa , mpaka magari wametengeneza, mpaka ndege ndogo lakini hela haziendi kwao?

Kwa kuwa mfumo wa dunia unataka watu wanaofanya kazi ya kuharibu moral za vizazi za binadamu. Watu wanaofanya kazi ya kuwazoelesha binadamu kuona uovu as normal, kuua ile nguvu ya kujishtaki katika dhamira yako unapofanya uovu.

Kuwazoeleshea wanadamu uovu ndio kampeni waliyopewa kufanya hawa watu, wasanii wote wa kidumia, hiyo ndio kazi yao. Na wanapewa pesa kubwa kwa sababu hiyo, maana siku binadamu akiwa kazoelea uovu hata watawala wakifanya uovu kila mtu ataona ni kawaida tu, ndio maisha.

Hivyo ni vizuri kushtuka mapema kabla mambo haya hayajawa, ndio sababu unaona manabii na mitume wazinzi n.k yote hii ni kuchafua ile dhana ya utakatifu ili watu wazoelee dhambi . Mazingira ya binadamu waliozoelea uovu na kuona kuwa i kitu cha kawaida; kukuta binti mdogo anadanga na mijitu mizima, kuona vijana waliovaa nusu uchi, n.k hayo ni mazingira favourable zaidi kwa uzao wa nyoka kuishi kwa sababu kama vile wao walivyo lawlessness basi binadamu waovu hawataweza kujitofautisha na wao, wote tutakuwa kama kitu kimoja tu.

NDUGAI, POLEPOLE AND KAMPANI MLITEGWA
Mbinu wanayotumia hao jamaa ni kuwaingiza kingi mapema binadamu ili wawamalize ujasiri na nguvu zenu.

Unapoingia tu katika utawala ama uongozi, popote iwe serikalini ama ofisi yoyote, wao huandaa mchongo wa wenye maslahi fulani ambao unaonekana wewe pia ushiriki ili jambo lifanikiwe. Na wanakuahidia manufaa mazuri tu.

Watakufanya usichovye mara moja, itakuzoelea tabia hiyo mwishowe na utadhani na wewe unaujanja wako kumbe ni watu fulani walikutarget mapema. Wakati huo wote wanahifadhi data zako vizuri sana, ole wako uje ushtuke eti unataka uwageuke usaidie binadamu wenzio , maana wanajua kwa nature ya binadamu siku yoyote moyo utamrudi tu, siku hiyo ndio utakapopewa live kwamba ;""" umeshahau 1 ,2 , 3...""?

Ndipo hapo utanywea na kuwa kama sio wewe unaanza kuomba msamaha kama mtoto wakati unajua ulikuwa unasimamia haki !!!

Huu ndio mtego wa uzao wa nyoka kwa binadamu wenzetu wanao panda ngazi za juu popote pale, NIWAAMBIE TU DUNIA SIO KAMA UNAVYOIONA BILA MUNGU HUTAWEZA, MACHONI KAMA WATU ILA IPO SIKU UTAJUA HUJUI, HERI UMTII MUNGU NA USIKUBALI USHAWISHI WA CHOCHOTE , HATA UKIDHANI DUNIA HAITAKUJA KUJUA UJUE UNAJIDANGANYA TU.

BINADAMU WENZANGU
Binadamu unajijua kama wewe ni binadamu , ni mtu wa kawaida tu na hauhitaji kipimo chochote kujijua kipimo chako ni wewe mwenyewe unavyojiona hata uwe dini gani lakini unanafsi yenye kumhofia Mwenyezi Mungu muumba wa Mbingu na ardhi basi wewe ni binadamu.

Hata kama hivi tunapoongea uzao wa nyoka na wewe wamekuteka na kukuingiza kwenue maovu makubwa dhidi ya binadamu wenzio ila the sense ya ubinadamu unayo ndani yako kabisa, kuna mambo ukitaka kufanya ni mpaka ujikaze kidogo maana kuna kitu kinakukumbusha kuhusu MUNGU basi ukiona hivyo wewe ni binadamu na ukijirudi muda wowote MUNGU hana shida na wewe kabisa trust me, mradi uwahi tu kabla hujafa. Maana marehemu Kanumba alikuwa katika kundi la huo uzao, huko ambako binadamu wengi wametekwa wakifuata mali, pengine Kanumba alifanya mengi sana hata akadhani naye ni kama wao lakini walipompa sharti la mwisho ndipo alipogundua kuwa yeye sio kama wao, nafsi ya binadamu haiwezi kufanya kama nafsi za hao majini watu! Ila kwa kuwa alichelewachelewa toba walifanikiwa kuondoka nae jumla.

NGUVU YA BINADAMU
Tukiungana na kusimamia maadili yetu vikali sana, tukaestablish sheria zetu kwa nguvu zote bila huruma ( kama china) , KATIBA MPYA nayo inahusika hapa, basi tutawavunja nguvu sana hao uzao wa nyoka.





Habari mkuu.
Kwa maelezo yako ya kina nimefanya hesabu zangu kwa uangalifu kabisa. Naona kina Ndugai, Polepole and the alikeness ndo huo uzao wa lawlesses.

Nimetambua hili.
Hawayaishi maneno au legacy wanazozisimamia

Hutumia hadaa na ubabe mwingi kuzima fikra huru au moves zozote za wananchi kujitambua

Huamini wao wana akili na ufahamu mkubwa sana zaidi ya wengine.

Kinachotokea sasa ni kwamba, kwenye hoja yako unaelezea aina mbili za binadamu yaani Uzao wa mwanadamu na Uzao wa Nyoka. Na hivyo unatushawishi kwamba kibinadamu tunaweza kupambana na uzao wa nyoka simply by campaigns na mamlaka za kibinadamu.

Hivyo ninachokiona hapa ni kuwa umeweka hoja makini lakini kwa hesabu kali kabisa.

Hao uliowataja as roles wa huu uzi, nikewahi kufanyakazi nao kwa ukaribu na wengine nazijua profiles zao kwa kina. Sivyo unavyojaribu kuwajenga hapa.

Siyo kila amtajaye Mungu basi ni wake, bali watambue kwa matendo yao
 
Nawasalimu kwa heshima zote enyi waheshimiiwa !

Lakini mtanisamehe kwa wale wenzetu waislam sijabahatika kuijua quran kiasi cha kukopa mistari yake hapa, mniwie radhi nitatumia biblia peke yake.

Kwa kuanza nimuongelee mwalimu JK Nyerere katika moja ya hotuba zake alikuwa anaongelea jambo fulani na akasema kuwa kuongelea jambo kama hilo ni lazima ujifanye kama mwendawazimu kidogo. Kuna vitu hata wachungaji hawahubiri , japo wengine ( si wote) wanavifahamu ila wanaogopa kwani ukisema vinaweza kuligawanya kanisa mara moja na wewe ukaitwa kichaa! Lakini kwa uimara wa mitume waliotangulia wao waliweza kuzungumza hata wakionekana wapumbavu sababu ya kuuongea ukweli mgumu.

2 WAKORINTHO 11: 16
2 WAKORINTHO. 11: 21
2 WAKORINTHO. 11: 23

MGAWANYO. WA BINADAMU

Binadamu tumegawanyika kwenye makundi makuu mawili ; humo ndani kutakuwa na makundi madogo madogo lakini makundi makuu ni mawili ambayo ni ;
(a) Uzao wa Mwanadamu
(b) Uzao wa Nyoka / shetani.
Makundi haya yalitokea pale kwenye kosa la Adamu na Hawa bustanini Eden !
MWANZO 3: 15

Kuna watu watadhani huo ulikuwa ni mzaha, lakini ukisoma biblia uzao huu ulikuwepo mpaka Agano jipya na tunao mpaka leo hii.
MATHAYO. 3: 5 - 8
hata BWANA YESU katika mahubiri yake walimsumbua sana hawa, ndio waliokuwa wanauliza maswali ya kumtega ila kwa hekima aliwashinda siku zote ! Na hata yeye si mara moja ama mbili alisikika akiwaambia live "" enyi uzao wa nyoka"", ila kwa kuogopa kwao wenyewe watumishi wa MUNGU wa sikuhizi wanatuambia eti hilo lilikuwa ni fumbo tu !

KAZI YA UZAO WA NYOKA
Kila mtu anafahamu kwamba ""NGUVU YA MFALME NI WATU WAKE""
Adamu na Hawa walipewa dunia kuitawala lakini siri ya uwezo huo wa kutawala ilikuwa katika wingi wao kwa njia ya kuzaliana, hivyo MUNGU aliwapa uwezo wa kuzaliana ili pamoja na mambo mengine wakaitawale na kuitiisha dunia yote.

MWANZO. 1 : 26 - 28

Sasa basi unaelewa kwa nn shetani nae alianzisha uzao wake , huo uitwao uzao wa nyoka ? Kwa sababu shetani alipotupwa duniani amemkuta mwanadamu ndio mtawala wa dunia, kapewa atawale , shetani angepaswa awe chini ya wananadamu pia na yeye ila kwa kuwalaghai na kufanikiwa kuanzisha uzao wake ( uzao wa nyoka) basi na yeye pia amejipatia uwezo uleule aliopewa mwanadamu wa kutawala kwa kuzaliana .
Kwa kuwa hakuna awezaye kutawala dunia bila kuzalaiana, shetani anao uzao wake mpaka leo duniani , unaitwa uzao wa nyoka, hawa ni kama sisi kwa muonekano wote lakini ni adui zetu mno , kuliko maelezo.
MWANZO 3 : 15

IN THE CONTEMPORARY HISTORY
Kwa wanaofuatilia historia ya ulimwengu , kuna fununu kwamba viongozi wote waliotawala ulaya kuanzia enzi za tawala za kifalme mpaka enzi hizi za demokrasia, ni watu wa bloodline mbili au tatu maalum na wanauhusiano wa kidamu wote, haijalishi yupo ufaransa, uingereza, italy n.k wote ni watu wa damu moja kwa namna moja ama nyingine.
Angalia mchezo kama huo pia ndio unaoanza kutengenezwa hata hapa kwetu TANZANIA , unapoona kuna koo maalum zinajiinua na kujitengeneza kwa namna ambayo zenyewe ndio zitatawala nchi hii milele usije kudhani labda wanatania ama ni masikhala ama ni jambo la kawaida kibinadamu tu linatokea.
Viumbe hao wanaoonekana kama sisi, ILA SIO SISI, wanadharau sana binadamu wa kawaida kwasababu wanasema binadamu hana akili ya kuwatawala wao ! Wanasema baba yao , Nyoka , ni mwerevu, na binadamu hapaswi kuwatawala kwani binadamu sio mwerevu kama wao.
..MWANZO 3 : 1

Kwa kutumia sifa hii ya werevu hata sisi huwakubali sana uzao huo kwa urahisi sana, kwani wao hutokelezea kama watu wwnye ushawishi kuliko sisi iwe shuleni, makazini, kwenye sanaa n.k na hutufanya tuwakubali kwa urahisi mno na kuwapa nafasi ya kuongoza mahala panapohitajika uongozi. Kwa werevu huu wamefanikiwa kuulaghai sana uzao wa binadamu hata katika nyanja ya kisiasa.

Kwa sababu wao wapo wengi na sio wote watatawala, yule anaekubaliwa miongoni mwao atawale binadamu basi wale uzao wenzake walioko chini huku katika level ya kawaida, WOTE, humuunga mkono, na kumpamba mno, ili wanadamu ambao hawajui kitu mpaka hapo, wataona huyu ni mtu anaefaa kweli kuongoza, Hii ni kwa nchi zinazotumia demokrasia.

KWA MAENEO YENYE VITA
Huko uzao wa nyoka ulishatawala ndio wanaoongiza machafuko na umwagaji wa damu kwani kwa jinsi hiyo ndio kuzimu daima inapokea reliable supply ya DAMU NA NYAMA za watu toka duniani, hiyo mizoga isiyokuwa na idadi ambayo sisi tunadhani inaishia tu kujiozea peke yake ovyo. Ni hatari sana kuingia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe kwani watakaoviendesha ni hawa jamaa, utaona huwa hawataki suluhu kamwe watakaa vikao miaka na miaka lakini kamwe vita haiiishi.

DAWA YA KUZUIA KUFIKA HUKO NI KUANDIKA KATIBA MAKINI AMBAYO INAUWEZO WA KUMSHUHHULIKIA MTU MMOJA KABLA HAJAHARIBU TAIFA ZIMA, NA YENYE UWEZO WA KUCOUNTERCHECK MIANYA YOTE YA UOVU AMBAYO UZAO WA NYOKA WANAWEZA KUPITISHIA MATATIZO TUNAYOYAONA MATAIFA MENGINE. KILA MTU ATAWALIWE NA SHERIA ASIWEPO MTU MWENYE KUWEZA KUFANYA ATAKAVYO HATA IWEJE.Tuko salama bado maana maandalizi ya uzao wa nyoka kuliharibu taifa bado yako nyuma sana tukiwawahi kwa katiba makini na kuliweka taifa chini ya sheria, asiwepo mtu mwenye kiburi binafsi mamlaka zote ziwe kisheria na zifanye kazi kisheria,

SASA KINACHOTOKEA TANZANIA KWA SASA,
Kwa kuwa nchi inatawaliwa kiholela holela bila katiba makinI uzao wa nyoka wana nafasi kubwa ya kutawala juu yetu( sijasema kuwa wapo wanatawala) naongelea kwa kufuata kanuni niliyoieleza na nitaifafanua zaidi hapa chini.

NI KWAMBA :
Uzao wa nyoka ni LAWLESSNESS , ni waovu by nature, hiyo ni asili yao tangu awali kwa baba yao shetani. Hivyo sio watu ambao wangependa kuwe na sheria makini katika kulitawala taifa, maana inawapumguzia uwezo wa wao kutawala. Ni kama kijana aende kwenye party ama sherehe halafu asikie nyimbo za kumsifu bikira maria mwanzo mwisho, atakuambia hakuna vibe ! ( Madogo na lugha zao).

Hivyo utaelewa kwa nini watagoma kuruhusu sheria makini, katiba imara, bora , makini na safi isitengenezwe na kama mkiwashinda msipokuwa makini watapenyeza vitu vyao vya mtego humo ndani ya katiba.

Kwahiyo mchakato wa katiba ukichukuliwa kwa mtazamo huo ndipo tutaupa msukumo zaidi, jambo hilo litatupa ss binadamu uwezo wakutawala dhidi ya adui zetu ambao nao wapo ili watutawale, kwenye sheria makini uzao wa shetani hujidhihirisha kwa kuwa wao jawezi kutii , wao ni waasi daima.

BWANA YESU alisema mtawatambua kwa matendo yao hata kama wakijivika ngozi ya kondoo kumbe ndani ni mbwa mwitu wakali, matendo yao yatabakia ya mbwa mwitu tu. Kamwe hawawezi kiwa na matendo ya kondoo.

Yohana mbatizaji aliwachallenge walipoona binadamu wanamiminika kutubu wakajua Yohana sasa ataanzisha dini nyingine na wao wasipojifanya kwenda kwake kutubu kama binadamu hawataweza kuingiza uovu wao humo maana hawataingia kwenye dini hiyo, YOHANA akiwajua vizuri kuwa ni waigizaji tu, anajua pa kuwabania , ni kwenye kutii, hawawezi, akawaambia fanyeni mema kama ninyi sio nyoka tuwaone basi,
MATHAYO. 3 : 5 - 8

POLENI NDUGAI, POLEPOLE. NA WENGINE,...
Mnapoibuka kama kutaka kuwatetea watanzania lakini mnashangaa watanzania hao hao wanawapiga , inakatisha tamaa, inaumiza na inahuzunisha sana.

Lakini kwani hamjagundua kuwa kuna makundi mawili huku mtaani, wanaowasupport na wanao comment kashfa na matusi mengi sana.

Ila itakuumiza zaidi pale unapoona matusi yametoka kwa raia ambaye ulidhani unamtetea na mengine kwa kiongozi mwenzako ambaye ulidhani wote mngepigania haki , kwa nia moja.

Watanzania tunapaswa tuelewe sasa kuwa uzao wa nyoka umeshasogea hatua moja zaidi kwenye taifa hili, sasa they are about to do sth sunstantial na wanajiona wamecheleweshwa sana na miaingi mizuri na imara ya waasisi wa taifa hili, wanatamani wangefanya kama wanayowafanya nyoka wenzao kwenye mataifa mengine. Unapoona tayari nchi imegawika kati ya WEMA NA WAOVU katika kila jambo linalotolewa maoni huku mtaani basi usichukulie hiyo hatua kwamba ni ya masikhara. Wanadamu tunapaswa kuamka wote pamoja, WOTE PAMOJA.

Uzao wa nyoka wapo katika utawala na wapo uraiani , hawa tulionao uraiani wanashangilia hata upumbavu ukifanyika na hao wenzao wa huko juu, na kama wataweza kupata reasonable justification basi wata comment na kuwadanganya binadamu wasio makini.

Ndiposa utaona uongo ni mwingi sana , mtu mwingine umamsikia anajatibu kusema mpaka baba wa taifa aliiba mali!!! Wao wangetamani kuharibu legacy zote, kuchafua kila mtu, na kuleta chaos ili wao ndio waliteke taifa kiutawala. KATIBA MAKINI YENYE SHERIA KALI MAPEMA SANA INAHITAJIKA.

katiba makini ndio itawarudishia nyinyi kina Ndugai, Polepole, na wengine wote ambao mna ubinadamu na mmetamani kuonyesha njia ya kweli, uwezo wa kutawala tena katika taifa hili.

TRUST ME, hao jamaa ni LAWLESSNESS, ni kama wachawi wasiotaka nuru , sheria nia nuru, itawamulika , hawatakuwa na pahala pakuyafichia maovu yao na matendo yao yatakuwa dhahiri kwa watu wote na by default hawawezi kushinda .

JIULIZE,
KWA NINI? : kuna tumika nguvu nyingi sana kupitia teknology zote duniani, matrillion ya dollars yanamwagwa kwenye vitu vya kipumbavu tu humu duniani, mfano diamond anautajiri mkubwa sana kwa kukatika viuno na kuvaa vikuku lakini kuna watanzania wamegundua vitu vyenye manufaa , mpaka magari wametengeneza, mpaka ndege ndogo lakini hela haziendi kwao?

Kwa kuwa mfumo wa dunia unataka watu wanaofanya kazi ya kuharibu moral za vizazi za binadamu. Watu wanaofanya kazi ya kuwazoelesha binadamu kuona uovu as normal, kuua ile nguvu ya kujishtaki katika dhamira yako unapofanya uovu.

Kuwazoeleshea wanadamu uovu ndio kampeni waliyopewa kufanya hawa watu, wasanii wote wa kidumia, hiyo ndio kazi yao. Na wanapewa pesa kubwa kwa sababu hiyo, maana siku binadamu akiwa kazoelea uovu hata watawala wakifanya uovu kila mtu ataona ni kawaida tu, ndio maisha.

Hivyo ni vizuri kushtuka mapema kabla mambo haya hayajawa, ndio sababu unaona manabii na mitume wazinzi n.k yote hii ni kuchafua ile dhana ya utakatifu ili watu wazoelee dhambi . Mazingira ya binadamu waliozoelea uovu na kuona kuwa i kitu cha kawaida; kukuta binti mdogo anadanga na mijitu mizima, kuona vijana waliovaa nusu uchi, n.k hayo ni mazingira favourable zaidi kwa uzao wa nyoka kuishi kwa sababu kama vile wao walivyo lawlessness basi binadamu waovu hawataweza kujitofautisha na wao, wote tutakuwa kama kitu kimoja tu.

NDUGAI, POLEPOLE AND KAMPANI MLITEGWA
Mbinu wanayotumia hao jamaa ni kuwaingiza kingi mapema binadamu ili wawamalize ujasiri na nguvu zenu.

Unapoingia tu katika utawala ama uongozi, popote iwe serikalini ama ofisi yoyote, wao huandaa mchongo wa wenye maslahi fulani ambao unaonekana wewe pia ushiriki ili jambo lifanikiwe. Na wanakuahidia manufaa mazuri tu.

Watakufanya usichovye mara moja, itakuzoelea tabia hiyo mwishowe na utadhani na wewe unaujanja wako kumbe ni watu fulani walikutarget mapema. Wakati huo wote wanahifadhi data zako vizuri sana, ole wako uje ushtuke eti unataka uwageuke usaidie binadamu wenzio , maana wanajua kwa nature ya binadamu siku yoyote moyo utamrudi tu, siku hiyo ndio utakapopewa live kwamba ;""" umeshahau 1 ,2 , 3...""?

Ndipo hapo utanywea na kuwa kama sio wewe unaanza kuomba msamaha kama mtoto wakati unajua ulikuwa unasimamia haki !!!

Huu ndio mtego wa uzao wa nyoka kwa binadamu wenzetu wanao panda ngazi za juu popote pale, NIWAAMBIE TU DUNIA SIO KAMA UNAVYOIONA BILA MUNGU HUTAWEZA, MACHONI KAMA WATU ILA IPO SIKU UTAJUA HUJUI, HERI UMTII MUNGU NA USIKUBALI USHAWISHI WA CHOCHOTE , HATA UKIDHANI DUNIA HAITAKUJA KUJUA UJUE UNAJIDANGANYA TU.

BINADAMU WENZANGU
Binadamu unajijua kama wewe ni binadamu , ni mtu wa kawaida tu na hauhitaji kipimo chochote kujijua kipimo chako ni wewe mwenyewe unavyojiona hata uwe dini gani lakini unanafsi yenye kumhofia Mwenyezi Mungu muumba wa Mbingu na ardhi basi wewe ni binadamu.

Hata kama hivi tunapoongea uzao wa nyoka na wewe wamekuteka na kukuingiza kwenue maovu makubwa dhidi ya binadamu wenzio ila the sense ya ubinadamu unayo ndani yako kabisa, kuna mambo ukitaka kufanya ni mpaka ujikaze kidogo maana kuna kitu kinakukumbusha kuhusu MUNGU basi ukiona hivyo wewe ni binadamu na ukijirudi muda wowote MUNGU hana shida na wewe kabisa trust me, mradi uwahi tu kabla hujafa. Maana marehemu Kanumba alikuwa katika kundi la huo uzao, huko ambako binadamu wengi wametekwa wakifuata mali, pengine Kanumba alifanya mengi sana hata akadhani naye ni kama wao lakini walipompa sharti la mwisho ndipo alipogundua kuwa yeye sio kama wao, nafsi ya binadamu haiwezi kufanya kama nafsi za hao majini watu! Ila kwa kuwa alichelewachelewa toba walifanikiwa kuondoka nae jumla.

NGUVU YA BINADAMU
Tukiungana na kusimamia maadili yetu vikali sana, tukaestablish sheria zetu kwa nguvu zote bila huruma ( kama china) , KATIBA MPYA nayo inahusika hapa, basi tutawavunja nguvu sana hao uzao wa nyoka.






Kuhusu Polepole na Ndugai pamoja na makando kando yao haki zao zilikiukwa.

Zingatia kauli za maaskofu Mwingira, Shoo na hat mzee wa Upako. Kilikuwa matamshi hata ya mshikamano tu kutokea wapi?

Kama watanzania tuna matatizo mtambuka tena yaliyo endelevu:

1. Siasa za Chuki, Tanzania tunakwama Wapi?

2. Tuungane mkono dhidi ya Kunyamazishwa

3.Msamaha kubutuliwa, Ndugai aungwe mkono

4.
Kujiuzulu kwa Ndugai: Hongereni CHADEMA na NCCR japo haikutosha

5.Aungwe Mkono Askofu Mwingira kukemea Maovu

Kwa hakika binafsi nampongeza Mama Samia:

Baraza jipya: Watu wale wale, wao Hawajiajiri?

Kazi iendelee!
 
Back
Top Bottom