Kikwete a smart Man that I know

Mimi nadhani ni mapema mno kutoa hukumu kwa raisi aliyepo madarakani kwani HATA kazi bado haijanza......
Tumesikia mipango na sera kipindi CHA kampeni na kwa sera hizo nzuri zenye kuleta tumaini jipya tukaamua kumpa KURA zetu....
Tunachokingoja sasa ni utekelezaji wa Yale aliyokuwa akituhubiria........lakini yeye kama yeye hawezi kuyafanya peke yake Bali atahitaji msaada kutoka kwenye timu yake....na wananchi kwa ujumla......
Anachotakiwa sasa ni kuwa makini katika uteuzi wa balaza la mawaziri.....
Nadhani kwa tuliowengi nyota njema ndio itaanza kuonekana hapo......kuanzia hapo ndio tutaanza kubashiri safari hii inayoitwa kuwa ni ya mabadiliko ya kweli......

TUMPE MUDA....

Mkuu Umeongea vizur!
Ila naomba nikuhakikishie ccm ni ile ile na watu ni wale wale! Na wafanyayo ni mbele kwa mbele!

Hakutakuwa na jipya! Wako huko wanakwambia stay tuned!

Na shingo ikishupazwa saaaaaana kwa mwaka mmoja!! Utasikia tuonane paradiso
 
Weka na mambo ambayo hayakutekelezeka,pia tuambie na ile speech yake juu ya esrow saga,ule ndio usmart?Usitutie hasira

Hebu nitajie nani mnufaika wa escrow aliyekosa ubunge? ndo ujue the Man is smart.
 
Ndio maana nasema hivi Magufuli anakazi kubwa huyo Jamaa niGamba lkn ameanza kununa sasa hayuko peke yake kwenye maofisi

Hapa ndio naanza kuamini JK na JPM picha haziendi... Ndio maana JK alijitahidi kufanya teuzi mpaka sekunde ya mwisho ili mashimo yake yasiwahi kufukuliwa mapema..

JPM ni Pure Mkapa, Mkapa na Mzee Mwinyi ndio wamemweka JPM pale na PM Majaliwa ni selection ya Mkapa ili yale mambo ambayo Mkapa aliyaweka sawa yafanyike kule kwao Kusini (Mtwara Corridor, Viwanda) ambavyo JK alivufuta na kupeleka Bagamoyo, Majaliwa akaviwekee kifuu na vifanyike.. Na ndio maana JPM aligusia swala la kuimarisha Bandari ya Mtwara, na kujenga reli na barabara mpaka Malawi...
 
Hapa ndio naanza kuamini JK na JPM picha haziendi... Ndio maana JK alijitahidi kufanya teuzi mpaka sekunde ya mwisho ili mashimo yake yasiwahi kufukuliwa mapema..

JPM ni Pure Mkapa, Mkapa na Mzee Mwinyi ndio wamemweka JPM pale na PM Majaliwa ni selection ya Mkapa ili yale mambo ambayo Mkapa aliyaweka sawa yafanyike kule kwao Kusini (Mtwara Corridor, Viwanda) ambavyo JK alivufuta na kupeleka Bagamoyo, Majaliwa akaviwekee kifuu na vifanyike.. Na ndio maana JPM aligusia swala la kuimarisha Bandari ya Mtwara, na kujenga reli na barabara mpaka Malawi...

Kumbuka JK na JPM wote ni made in Mkapa, usitegemee waparurane, sio kweli kuwa kassim kawekwa na Mkapa, sidhani hata mkapa anamfahamu.
 
jana nimesikiliza hotuba hotuba ya magufuli nikalinganisha na za jk, kuna jambo moja interesting. Hotuba ya jpm ilikuwa ni thesis kuliko speech, ililenga zaidi kuoanisha na akili za watanzania walio wengi, yaani was too theoretical.

Wakati jk akisema ataanzisha mradi fulani atakwambia na pesa kapata wapi, mfano aliposema ujenzi wa daraja la kigamboni alisema nssf ndo watakaotoa pesa na ndio watakuwa wamiliki wa mradi husika. Aliposema ataibadili kawe alisema nhc ndo wasimamizi na wamiliki wa ule mradi na pesa watapata kutoka exim bank china. Aliposema atajenga bandari mpya ya bagamoyo ni uwekezaji kati ya china tanzania na oman, jk aliamini zaidi katika fdi.

Sasa jana tuliambiwa ufufuaji wa viwanda hapo ilipaswa kusema je ni merger and acquisition au ni business repurchase? Mtu ukishamuuzia gari na akakulipa badae ukalitaka atakuuzia kwa bei atakayotaka yeye. Kuhusu mashamba yapo mashamba wenyeji walishalima na kujenga makazi je utawafurumusha urejeshe shamba? Yapo mashamba hati zilishakopewa bank hayo itakuwaje?

Kusema kuwa tuna ng'ombe wengi basi tutengeneze viatu tuvae wenyewe, hii haingii akilini, kiatu cha pure leather english boot kinauzwa zaidi ya laki nne, nani mswahili yuko tayari kununua hicho kiatu? Hebu tujiulize hizi ngozi huwa zinaenda wapi? Sijawahi sikia fuso la ngozi limekamatwa mpakani hivyo haziuzwi kwa magendo.

Amekiri mwenyewe kuwa mkulima wa pamba anatozwa shuru tozo kodi zaidi ya 26 huu ni unyonyaji wa waziwazi, lakini nani kaweka haya maushuru ushuru kama yeye anavyoyaita? Anadhani hayapo kisheria? Anadhani akina mbowe hawayaoni? Mbona hawapeleki miswaada bungeni kuyaondoa? Ukweli there is a chain of bureaucracy.

Machoweza kusema hotuba ya mkuu yalikuwa maono, sasa magufuli anahitaji wataalam wa uchumi na biashara ili waweze kutransform maono yake into practice.

team nyumbu mnatabu sana jk alilkuwa mbaya kwenu ajabu leo mnamuona mbayaa
 
Ni kweli kabsa hakutakuwa na jipya Magufuli atakuwa akitoa maagizo lakini utekelezaji utakuwa mgumu, JK na Mkapa wamepenyeza watu wao kwenye baraza lake mawaziri
na mfumo kubakia ule ule hivyo kuendeleza uchakachuaji na ufisadi kama kawaida.


Tatizo wadanganyika wengi wanataka kwenda Peponi bila Kufa tunaposema CCM ni joka kubwa bila kulivunja mgongo na kuliua hakuna kipya kitazaliwa chini ya mfumo wake watu wanarukaruka kama Maharage yanayovyochemka Jikoni wanashangilia Ziara zakushtukiza Nchi hii bado inawajinga wengi sana.....Wengine huko tulishatokaga tunasubiri matokeo tu Ukiwaambia hivyo watu wanakwambia huitakii mema nchi ..Ukweli nikwamba hakuna jipya kwa CCM imebaki mikwara tu....Wanaolazima watu wawapigie mapambio wapige wenyewe.....lkn Baadaya Baraza la mawaziri kutangazwa wenye akili kdg wataanza kuuona ukweli tunaouona sisi nandio hapo msemo wa TV na Remote unakapo pata uhalali zaidi
 
Hapa ndio naanza kuamini JK na JPM picha haziendi... Ndio maana JK alijitahidi kufanya teuzi mpaka sekunde ya mwisho ili mashimo yake yasiwahi kufukuliwa mapema..

JPM ni Pure Mkapa, Mkapa na Mzee Mwinyi ndio wamemweka JPM pale na PM Majaliwa ni selection ya Mkapa ili yale mambo ambayo Mkapa aliyaweka sawa yafanyike kule kwao Kusini (Mtwara Corridor, Viwanda) ambavyo JK alivufuta na kupeleka Bagamoyo, Majaliwa akaviwekee kifuu na vifanyike.. Na ndio maana JPM aligusia swala la kuimarisha Bandari ya Mtwara, na kujenga reli na barabara mpaka Malawi...

Asante nawe kwa kuliona hili....wakati mwingine Inatupasa. Kukaa kimya kwasasa ili tusiharibu Furaha ya watanganyika wenzetu maana kwa sasa wako kwenye FUNGATE baada ya muda watatuelewa tulikuwa tunamaanisha nini
 
Nitaendelea kuichukia ccm mpaka itoke madarakani kama niko hai! Haijalishi magufuli ataleta maendeleo gani!
 
Jana nimesikiliza hotuba hotuba ya Magufuli nikalinganisha na za JK, kuna jambo moja interesting. Hotuba ya JPM ilikuwa ni thesis kuliko speech, ililenga zaidi kuoanisha na akili za watanzania walio wengi, yaani was too theoretical.

Wakati JK akisema ataanzisha mradi Fulani atakwambia na pesa kapata wapi, mfano aliposema ujenzi wa daraja la kigamboni alisema NSSF ndo watakaotoa pesa na ndio watakuwa wamiliki wa mradi husika. Aliposema ataibadili Kawe alisema NHC ndo wasimamizi na wamiliki wa ule mradi na pesa watapata kutoka exim bank china. Aliposema atajenga bandari mpya ya bagamoyo ni uwekezaji kati ya china Tanzania na oman, JK aliamini zaidi katika FDI.

Sasa jana tuliambiwa ufufuaji wa viwanda hapo ilipaswa kusema je ni merger and acquisition au ni business repurchase? Mtu ukishamuuzia gari na akakulipa badae ukalitaka atakuuzia kwa bei atakayotaka yeye. Kuhusu mashamba yapo mashamba wenyeji walishalima na kujenga makazi je utawafurumusha urejeshe shamba? yapo mashamba hati zilishakopewa bank hayo itakuwaje?

Kusema kuwa tuna ng'ombe wengi basi tutengeneze viatu tuvae wenyewe, hii haingii akilini, kiatu cha pure leather English boot kinauzwa zaidi ya laki nne, nani mswahili yuko tayari kununua hicho kiatu? Hebu tujiulize hizi ngozi huwa zinaenda wapi? sijawahi sikia fuso la ngozi limekamatwa mpakani hivyo haziuzwi kwa magendo.

Amekiri mwenyewe kuwa mkulima wa pamba anatozwa shuru tozo kodi zaidi ya 26 huu ni unyonyaji wa waziwazi, lakini nani kaweka haya maushuru ushuru kama yeye anavyoyaita? anadhani hayapo kisheria? anadhani akina mbowe hawayaoni? mbona hawapeleki miswaada bungeni kuyaondoa? ukweli there is a chain of bureaucracy.

Machoweza kusema hotuba ya mkuu yalikuwa maono, sasa magufuli anahitaji wataalam wa uchumi na biashara ili waweze kutransform maono yake into practice.

Mbona unajijibu mwenyewe?
 
Kumbuka JK na JPM wote ni made in Mkapa, usitegemee waparurane, sio kweli kuwa kassim kawekwa na Mkapa, sidhani hata mkapa anamfahamu.

Ubishi mwingine hauna maana... Mkapa ndiye alienda kuhakikisha Majaliwa anashinda na ndiye kati ya wagombea wakwanza kabisa kutangazwa.. Alitangazwa kukiwa na magari ya kuwasha na vifaru nje. Uliza watu wa Ruangwa.. Hata EL na JK walikuwa marafiki lakini wakakwaruzana sembuse JK na JPM?? Unajua nani alimtuma CAG Assad kumchafua Magufuli kule nje?? JK chagua lake ni Membe na ndiye alitaka alazimishe awe...
 
Jana nimesikiliza hotuba hotuba ya Magufuli nikalinganisha na za JK, kuna jambo moja interesting. Hotuba ya JPM ilikuwa ni thesis kuliko speech, ililenga zaidi kuoanisha na akili za watanzania walio wengi, yaani was too theoretical.

Wakati JK akisema ataanzisha mradi Fulani atakwambia na pesa kapata wapi, mfano aliposema ujenzi wa daraja la kigamboni alisema NSSF ndo watakaotoa pesa na ndio watakuwa wamiliki wa mradi husika. Aliposema ataibadili Kawe alisema NHC ndo wasimamizi na wamiliki wa ule mradi na pesa watapata kutoka exim bank china. Aliposema atajenga bandari mpya ya bagamoyo ni uwekezaji kati ya china Tanzania na oman, JK aliamini zaidi katika FDI.

Sasa jana tuliambiwa ufufuaji wa viwanda hapo ilipaswa kusema je ni merger and acquisition au ni business repurchase? Mtu ukishamuuzia gari na akakulipa badae ukalitaka atakuuzia kwa bei atakayotaka yeye. Kuhusu mashamba yapo mashamba wenyeji walishalima na kujenga makazi je utawafurumusha urejeshe shamba? yapo mashamba hati zilishakopewa bank hayo itakuwaje?

Kusema kuwa tuna ng'ombe wengi basi tutengeneze viatu tuvae wenyewe, hii haingii akilini, kiatu cha pure leather English boot kinauzwa zaidi ya laki nne, nani mswahili yuko tayari kununua hicho kiatu? Hebu tujiulize hizi ngozi huwa zinaenda wapi? sijawahi sikia fuso la ngozi limekamatwa mpakani hivyo haziuzwi kwa magendo.

Amekiri mwenyewe kuwa mkulima wa pamba anatozwa shuru tozo kodi zaidi ya 26 huu ni unyonyaji wa waziwazi, lakini nani kaweka haya maushuru ushuru kama yeye anavyoyaita? anadhani hayapo kisheria? anadhani akina mbowe hawayaoni? mbona hawapeleki miswaada bungeni kuyaondoa? ukweli there is a chain of bureaucracy.

Machoweza kusema hotuba ya mkuu yalikuwa maono, sasa magufuli anahitaji wataalam wa uchumi na biashara ili waweze kutransform maono yake into practice.

Hotuba za Magufuli zinaweza kuwa na mapungufu, sawa. Lakini hiyo
haimfanyi JK kuwa "A Smart Man".
He has failed the nation so much!
 
Back
Top Bottom