Kikulacho ki nguoni mwako, RIP Magufuli

Praise Team ni kama hawaamini kama kweli hawatamuona wala kumsikia aliyekuwa anawakingia vifua kwa yale waliyokuwa wanatenda chini ya carpet. Kubalini kuwa ndo hivyo mwenda zake ashaumaliza mwendo. Tunasonga mbele na Mama. Iwapo ulikuwa unamwona kwako hana impact ndo sasa ukubali na ubadilike ocope na real situation. Eti hata aliyekuwa msaidizi wake anabadilisha jambo. Unakumbuka yaliyotokea kwenye Azimio la Zanzibar vs Azimio la Arusha na bado Nyerere alikuwa hai anayaona kwa macho. Ingekuwa labda ni wewe hata msituni ungeingia ukidhani uliyotenda na kuyapitisha ndo Msahafu!!
Toka nje ya box uone hata kwingineko duniani. Umejifunza nini ktk utawala wa George Bush na Donald Trump paoja na kuwa walitoka chama kimoja na kuwa marais kwa vipindi tofauti? Kama maslahi yako yameguswa geuka nyuma uanze mwendo na style mpya ya ngoma na Wimbo wa Rais wetu Mpendwa na Mama yetu. Hayo mengine ni historia kwa sasa. Eti visiguswe na vikiguswa unakasirika wewe ni nani na ulidhani huo utawala ungedumu milele?
Yameandikwa mengi sana humu. Kiongozi mzuri ni yule anayejenga istitutional capacity kuwa sustainable hata asipokuwepo mambo mazuri yanakuwa na mwendelezo.
Its so painful kuwa Praise team wanadhani haijatendeka haki bila kujitafakari kuwa kwa yaliyotendeka kabla ya Mpendwa mama yetu kupewa usukani yalikuwa yanaumiza utu na maslah ya wengi. Vyovyote vile iwe maisha hayatakuwa mazuri kivile lakini tambua heri ule ugali kwa tembele roho yako ikiwa imetulia kuliko upewe balaced diety huku unanyanyaswa!!
 
Ikiwa leo tunakamilisha siku 21 za maombolezo ya kifo cha Dkt Magufuli,naomba kaa kimya kwa sekunde kumi kumkumbuka na kumuombea makazi salama huko aliko.

Ahsante,Nianze ka kumpongeza Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mama yetu ,Samia Suluhu kwa hotuba mzuri,hotuba iliyobeba matumaini kwa Watanzani.

Hotuba ya leo hakika imejaa faraja na imani kubwa kwa watanzani kwamba huyu mama atatufikisha nchi ya ahadi.

Katika Quraan sura ya 104(Surat Hummazah) aya ya kwanza ,Allah amewaonya walamba Visogo/Wasengenyaji "Backbiters".

Kifo cha Rais magufuli kimenifunza mambo mengi .Mosi Dunia ni mapito,tujitahidi kufanya mema kwa aiili ya baadae

Pili ,nimebaini Rais Magufuli alizungukwa na walamba visogo ,Watu ambao akiwa nao walikuwa wanamchekea akitoka wanamng'ong'a.

Hata Siku 21 za maombolezo hazijakamlika watu hao tyr wametanua makucha yao.

JPM alizungukwa na wasaidizi wanafiki.Makamu wa Rais ni mshauri namba moja wa Rais,kama Rais alisema jambo na ww ukachekelea ukaona linafaa leo hii hayupo unasema halifai ,ww tukuelewe vp?, Ni kama ulikuwa unasubir anguko lake ili umvue nguo hadharani.

Wakati mama anazungumzia miradi,kuna mahali alisema kuna miradi mingine ipo kwenye makaratasi sijui itawezekana ila nataka niione.Hivi alikuwa na maana gani?.

Afu akasema kuna Issue alikuwa anasolve baadae ikamshinda nguvu akaachana nayo.

Any way,naochotaka kusema hapa,Binadamu huwezi kupatia kila kitu,Yale ambayo Rais Magu aliteleza ni vema kuyarekebisha kwa hekima ukiangalia mzee hajatoka madarakani kwa kustaafu bali ni kifo.

Staili aliyoanza nayo ya kumponda mtangulizi wake na walikuwa wakifanya kazi pamoja itamletea shida.

RIP JPM
"Jamhuri ya muungano wa Tanzania,Kazi iendelee"
Rejea kauli yaa magufuli alisema ukimshauri ndio unafanya nini vile!?

Sasa weqe ukimwangalia ndugu yenu yule alokuwa anashaulika kweli?
 
Stalin baada ya kifo chake alirithiwa na Nikita Khrushchev., Siku mmoja akiwa ana hutubia Kamati Kuu huku akipinga sera nyingi ya mtangulizi wake, Mjumbe mmoja bila ya kujitambulisha alikereka na akamundikia ki note cha kumshutumu na kumlaumu, "we Nikita ulikua msaidizi wa Stalin, "kwa nini hukusema haya kipindi hicho Stalin akiwa hai?" Khrushchev akakisoma na akaomba Mjumbe aliye andika anyooshe mkono juu amtambue ili amjibu .Hakuna mkono uliyo nyooshwa, Khrushchev akasema "kinacho kushinda wewe kunyoosha mkono leo , ndo hicho hicho kilicho nishinda mimi kusema enzi hizo"
 
Ikiwa leo tunakamilisha siku 21 za maombolezo ya kifo cha Dkt Magufuli,naomba kaa kimya kwa sekunde kumi kumkumbuka na kumuombea makazi salama huko aliko.

Ahsante,Nianze ka kumpongeza Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mama yetu ,Samia Suluhu kwa hotuba mzuri,hotuba iliyobeba matumaini kwa Watanzani.

Hotuba ya leo hakika imejaa faraja na imani kubwa kwa watanzani kwamba huyu mama atatufikisha nchi ya ahadi.

Katika Quraan sura ya 104(Surat Hummazah) aya ya kwanza ,Allah amewaonya walamba Visogo/Wasengenyaji "Backbiters".

Kifo cha Rais magufuli kimenifunza mambo mengi .Mosi Dunia ni mapito,tujitahidi kufanya mema kwa aiili ya baadae

Pili ,nimebaini Rais Magufuli alizungukwa na walamba visogo ,Watu ambao akiwa nao walikuwa wanamchekea akitoka wanamng'ong'a.

Hata Siku 21 za maombolezo hazijakamlika watu hao tyr wametanua makucha yao.

JPM alizungukwa na wasaidizi wanafiki.Makamu wa Rais ni mshauri namba moja wa Rais,kama Rais alisema jambo na ww ukachekelea ukaona linafaa leo hii hayupo unasema halifai ,ww tukuelewe vp?, Ni kama ulikuwa unasubir anguko lake ili umvue nguo hadharani.

Wakati mama anazungumzia miradi,kuna mahali alisema kuna miradi mingine ipo kwenye makaratasi sijui itawezekana ila nataka niione.Hivi alikuwa na maana gani?.

Afu akasema kuna Issue alikuwa anasolve baadae ikamshinda nguvu akaachana nayo.

Any way,naochotaka kusema hapa,Binadamu huwezi kupatia kila kitu,Yale ambayo Rais Magu aliteleza ni vema kuyarekebisha kwa hekima ukiangalia mzee hajatoka madarakani kwa kustaafu bali ni kifo.

Staili aliyoanza nayo ya kumponda mtangulizi wake na walikuwa wakifanya kazi pamoja itamletea shida.

RIP JPM
"Jamhuri ya muungano wa Tanzania,Kazi iendelee"

Hata Magu alianza kwa kumponda jk tena akiwa hai
 
Ikiwa leo tunakamilisha siku 21 za maombolezo ya kifo cha Dkt Magufuli,naomba kaa kimya kwa sekunde kumi kumkumbuka na kumuombea makazi salama huko aliko.

Ahsante,Nianze ka kumpongeza Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mama yetu ,Samia Suluhu kwa hotuba mzuri,hotuba iliyobeba matumaini kwa Watanzani.

Hotuba ya leo hakika imejaa faraja na imani kubwa kwa watanzani kwamba huyu mama atatufikisha nchi ya ahadi.

Katika Quraan sura ya 104(Surat Hummazah) aya ya kwanza ,Allah amewaonya walamba Visogo/Wasengenyaji "Backbiters".

Kifo cha Rais magufuli kimenifunza mambo mengi .Mosi Dunia ni mapito,tujitahidi kufanya mema kwa aiili ya baadae

Pili ,nimebaini Rais Magufuli alizungukwa na walamba visogo ,Watu ambao akiwa nao walikuwa wanamchekea akitoka wanamng'ong'a.

Hata Siku 21 za maombolezo hazijakamlika watu hao tyr wametanua makucha yao.

JPM alizungukwa na wasaidizi wanafiki.Makamu wa Rais ni mshauri namba moja wa Rais,kama Rais alisema jambo na ww ukachekelea ukaona linafaa leo hii hayupo unasema halifai ,ww tukuelewe vp?, Ni kama ulikuwa unasubir anguko lake ili umvue nguo hadharani.

Wakati mama anazungumzia miradi,kuna mahali alisema kuna miradi mingine ipo kwenye makaratasi sijui itawezekana ila nataka niione.Hivi alikuwa na maana gani?.

Afu akasema kuna Issue alikuwa anasolve baadae ikamshinda nguvu akaachana nayo.

Any way,naochotaka kusema hapa,Binadamu huwezi kupatia kila kitu,Yale ambayo Rais Magu aliteleza ni vema kuyarekebisha kwa hekima ukiangalia mzee hajatoka madarakani kwa kustaafu bali ni kifo.

Staili aliyoanza nayo ya kumponda mtangulizi wake na walikuwa wakifanya kazi pamoja itamletea shida.

RIP JPM
"Jamhuri ya muungano wa Tanzania,Kazi iendelee"
Usilaumu mtu,shekh,JPM alikuwa hashauriki,hata hao wasaidizi wake walikuwa hawawezi kufanya kitu zaidi ya kumwambia anachotaka kusikia,waliopingana nae,yaliwakuta makubwa,wakapoteza ajira zao,umesahau kauli zake za ovyo"Mimi siambiwj hivyo"
 
Stalin baada ya kifo chake alirithiwa na Nikita Khrushchev., Siku mmoja akiwa ana hutubia Kamati Kuu huku akipinga sera nyingi ya mtangulizi wake, Mjumbe mmoja bila ya kujitambulisha alikereka na akamundikia ki note cha kumshutumu na kumlaumu, "we Nikita ulikua msaidizi wa Stalin, "kwa nini hukusema haya kipindi hicho Stalin akiwa hai?" Khrushchev akakisoma na akaomba Mjumbe aliye andika anyooshe mkono juu amtambue ili amjibu .Hakuna mkono uliyo nyooshwa, Khrushchev akasema "kinacho kushinda wewe kunyoosha mkono leo , ndo hicho hicho kilicho nishinda mimi kusema enzi hizo"
Final and conclusive. Umemaliza kazi. Kilangila.
 
Bwanayule tunamfahamu vizuri, ikiwa unasema viongozi wenzake walikuwa ni wanafiki basi huo unafiki aliutengeneza yeye kwa mikono yake hasa kwa kushupaza shingo yake.
 
Mkuu huu ukweli ni mgumu saaana kuutafuna ila ndio hivyo ushausema.





Katika maisha yangu yoooote na utu uzima wangu wooote hua naamimi saana katika maufunzo ya muda.

Mpaka sasa kashapishana na makamu wake

Makamu; tutahakikisha miradi yoote inakamilika ili kumuenzi

Rais; miradi mingine iko kwenye makaratasi mpaka niione kwanza.

Maana yake kuna vitu viingi kwa hizi sentensi.
Kwa wachambuzi watagundua vitu vingi katika hili.

Mungu ibariki mama Tanzania
Nakunbuka mtu mmoja mwenye hekima aliwahi kusema

"Si kila ushauri wa mzee ni wa kuufuata, maana hata wajinga na wapumbavu nao huzeeka"

Ninaamini kila kiongozi anaona kwa upeo wake hivyo ameona kwamba labda hiyo miradi haina ulazima wa kuimaliza kwa muda huu .hii ni kulingana na sababu nyingi ambazo yeye mwenyewe ameziona.

Kingine kila kiongozi anaingia na mipango yake , we unadhani tukitumia kauli ya makamu kwamba tuanze kuenzi kila kiongozi tutamaliza lini kama nchi?

Hivyo tumuache kiongozi wetu shupavu, afanye kile anachoona ni chema kwa ustawi wa nchi yetu .

Heko kwako Huheshimiwa samia suluhu hassan.
 
Ikiwa leo tunakamilisha siku 21 za maombolezo ya kifo cha Dkt Magufuli,naomba kaa kimya kwa sekunde kumi kumkumbuka na kumuombea makazi salama huko aliko.

Ahsante,Nianze ka kumpongeza Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mama yetu ,Samia Suluhu kwa hotuba mzuri,hotuba iliyobeba matumaini kwa Watanzani.

Hotuba ya leo hakika imejaa faraja na imani kubwa kwa watanzani kwamba huyu mama atatufikisha nchi ya ahadi.

Katika Quraan sura ya 104(Surat Hummazah) aya ya kwanza ,Allah amewaonya walamba Visogo/Wasengenyaji "Backbiters".

Kifo cha Rais magufuli kimenifunza mambo mengi .Mosi Dunia ni mapito,tujitahidi kufanya mema kwa aiili ya baadae

Pili ,nimebaini Rais Magufuli alizungukwa na walamba visogo ,Watu ambao akiwa nao walikuwa wanamchekea akitoka wanamng'ong'a.

Hata Siku 21 za maombolezo hazijakamlika watu hao tyr wametanua makucha yao.

JPM alizungukwa na wasaidizi wanafiki.Makamu wa Rais ni mshauri namba moja wa Rais,kama Rais alisema jambo na ww ukachekelea ukaona linafaa leo hii hayupo unasema halifai ,ww tukuelewe vp?, Ni kama ulikuwa unasubir anguko lake ili umvue nguo hadharani.

Wakati mama anazungumzia miradi,kuna mahali alisema kuna miradi mingine ipo kwenye makaratasi sijui itawezekana ila nataka niione.Hivi alikuwa na maana gani?.

Afu akasema kuna Issue alikuwa anasolve baadae ikamshinda nguvu akaachana nayo.

Any way,naochotaka kusema hapa,Binadamu huwezi kupatia kila kitu,Yale ambayo Rais Magu aliteleza ni vema kuyarekebisha kwa hekima ukiangalia mzee hajatoka madarakani kwa kustaafu bali ni kifo.

Staili aliyoanza nayo ya kumponda mtangulizi wake na walikuwa wakifanya kazi pamoja itamletea shida.

RIP JPM
"Jamhuri ya muungano wa Tanzania,Kazi iendelee"
Mkuu Ukipenda sifa then unakua satisfied hapa duniani utapata wanafiki wengi sana. Tabia za phonies always they pay attention for the money, hivyo tusipende kusifiwa mda wote wengine sio wazur kwako watakusifia ili tu tonge lizame kwa kinywa 🤣. After that kung'ong'wa lazima
 
Ikiwa leo tunakamilisha siku 21 za maombolezo ya kifo cha Dkt Magufuli,naomba kaa kimya kwa sekunde kumi kumkumbuka na kumuombea makazi salama huko aliko.

Ahsante,Nianze ka kumpongeza Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mama yetu ,Samia Suluhu kwa hotuba mzuri,hotuba iliyobeba matumaini kwa Watanzani.

Hotuba ya leo hakika imejaa faraja na imani kubwa kwa watanzani kwamba huyu mama atatufikisha nchi ya ahadi.

Katika Quraan sura ya 104(Surat Hummazah) aya ya kwanza ,Allah amewaonya walamba Visogo/Wasengenyaji "Backbiters".

Kifo cha Rais magufuli kimenifunza mambo mengi .Mosi Dunia ni mapito,tujitahidi kufanya mema kwa aiili ya baadae

Pili ,nimebaini Rais Magufuli alizungukwa na walamba visogo ,Watu ambao akiwa nao walikuwa wanamchekea akitoka wanamng'ong'a.

Hata Siku 21 za maombolezo hazijakamlika watu hao tyr wametanua makucha yao.

JPM alizungukwa na wasaidizi wanafiki.Makamu wa Rais ni mshauri namba moja wa Rais,kama Rais alisema jambo na ww ukachekelea ukaona linafaa leo hii hayupo unasema halifai ,ww tukuelewe vp?, Ni kama ulikuwa unasubir anguko lake ili umvue nguo hadharani.

Wakati mama anazungumzia miradi,kuna mahali alisema kuna miradi mingine ipo kwenye makaratasi sijui itawezekana ila nataka niione.Hivi alikuwa na maana gani?.

Afu akasema kuna Issue alikuwa anasolve baadae ikamshinda nguvu akaachana nayo.

Any way,naochotaka kusema hapa,Binadamu huwezi kupatia kila kitu,Yale ambayo Rais Magu aliteleza ni vema kuyarekebisha kwa hekima ukiangalia mzee hajatoka madarakani kwa kustaafu bali ni kifo.

Staili aliyoanza nayo ya kumponda mtangulizi wake na walikuwa wakifanya kazi pamoja itamletea shida.

RIP JPM
"Jamhuri ya muungano wa Tanzania,Kazi iendelee"
Mkuu heshima yako, ila kwa uliyoyaona wewe umeyaona. Tuliyoyaona sisi nasi tumeona, tofauti zinaweza kuwa ni ndogo au kubwa lakini zipo. Jinsi yakuzielezea tutatofautiana. Ila kwa sasa na kwa siku nyingi sana, Rais anagusa pale ambapo wengi sana tulitegemea na furaha inayotawala sasa acha iendelee. Maendeleo hayana vyama lakini sote ni mashahidi. Tumuache Rais afanye kazi yake tumpe kila ushirikiano jamani tuache unafiki.
 
Ikiwa leo tunakamilisha siku 21 za maombolezo ya kifo cha Dkt Magufuli,naomba kaa kimya kwa sekunde kumi kumkumbuka na kumuombea makazi salama huko aliko.

Ahsante,Nianze ka kumpongeza Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mama yetu ,Samia Suluhu kwa hotuba mzuri,hotuba iliyobeba matumaini kwa Watanzani.

Hotuba ya leo hakika imejaa faraja na imani kubwa kwa watanzani kwamba huyu mama atatufikisha nchi ya ahadi.

Katika Quraan sura ya 104(Surat Hummazah) aya ya kwanza ,Allah amewaonya walamba Visogo/Wasengenyaji "Backbiters".

Kifo cha Rais magufuli kimenifunza mambo mengi .Mosi Dunia ni mapito,tujitahidi kufanya mema kwa aiili ya baadae

Pili ,nimebaini Rais Magufuli alizungukwa na walamba visogo ,Watu ambao akiwa nao walikuwa wanamchekea akitoka wanamng'ong'a.

Hata Siku 21 za maombolezo hazijakamlika watu hao tyr wametanua makucha yao.

JPM alizungukwa na wasaidizi wanafiki.Makamu wa Rais ni mshauri namba moja wa Rais,kama Rais alisema jambo na ww ukachekelea ukaona linafaa leo hii hayupo unasema halifai ,ww tukuelewe vp?, Ni kama ulikuwa unasubir anguko lake ili umvue nguo hadharani.

Wakati mama anazungumzia miradi,kuna mahali alisema kuna miradi mingine ipo kwenye makaratasi sijui itawezekana ila nataka niione.Hivi alikuwa na maana gani?.

Afu akasema kuna Issue alikuwa anasolve baadae ikamshinda nguvu akaachana nayo.

Any way,naochotaka kusema hapa,Binadamu huwezi kupatia kila kitu,Yale ambayo Rais Magu aliteleza ni vema kuyarekebisha kwa hekima ukiangalia mzee hajatoka madarakani kwa kustaafu bali ni kifo.

Staili aliyoanza nayo ya kumponda mtangulizi wake na walikuwa wakifanya kazi pamoja itamletea shida.

RIP JPM
"Jamhuri ya muungano wa Tanzania,Kazi iendelee"
Wakati JK akiwa Rais, huyu mwendazake alikuwa akimsifia sana. Baada ya kupewa urais akasahau na kumnanga baba wa watu... tena akimkanya aache kiherehere....

Bora yeye anapigwa akiwa kashadedi, yeye alikuwa anakebehi mtu akiwa anamsikiliza...

Apumzike alipojiandalia makao...
 
Umenena vema mkuu ingawa wengi watakupinga ila ndio ukweli halisi

Ingawaje nilikuwa sikubaliani na HAYATI MAGUFURI kwa kiasi kikubwa kutokana na mtindo wa utawala wake
Ila moto anaokuja nao MAMA SAMIHA inapaswa atumie HEKIMA katika kuzungumza
Akumbuke MANENO ndio yaliokuwa yanamponza HAYATI MAGUFURI mpk kuwa na MAADUI wengi hasa,wananchi wake

MAMA SAMIHA asiwe mwingi wa maneno
Awe mwingi wa kutekeleza ili vitendo vimtofautishe na HAYATI MAGUFURI
ameanza vizuri ila anapokwenda wanaomzunguka watampoteza na kumfanya haonekane mbaya kwa wananchi wake

Ni km hivi saaa WANAFIQ kwa HAYATI MAGUFURI walivyoanza kuonekana sasa hata HITIMA hatujasoma

Katika UISLAM tunaamini
Ili uwe kiongozi bora unapaswa
Uwe na ELIMU HEKIMA na BUSARA
Hvyo kama ukiwa na ELIMU kubwa lkn ukashindwa kuzitawala HEKIMA na BUSARA katika maneno na matendo yako
Unakosa TUNU ya kiongozi BORA
Lakini pia ukashindwa kuitumia ELIMU yako vizuri kwa unaowaongoza inakuwa HASARA kubwa kwa unaowaongoza
Leo na Kesho QIYAMA

Dunia tunapita vyote tutaviacha
MAGUFURI kaiacha Tanzania na tumeshaanza kumsahau ingawa tutamkumbuka kwa maneno na vitendo vyake kwa idadi ya mazuri yake na mabaya yake
Tujitahidi tuishi kwa wema na uzuri ili tukishatangulia mbele ya HAKI tukumbukane kwa uzuri

Yote kwa yote
Hakuna BINADAMU aliyekamilika sote tunakosea tunakoseana na hata tunamkosea MUNGU lakini Mwisho wa siku SOTE hurejea kwake uwe umeuamni uwepo wake ama lah "TUNAKUFA"
Hvyo muhimu tujitahidi kuchunga KAURI ZETU 7bu
Maneno yakishatoka hayarudi
Maneno yakishatoka kila mtu anaelewa vile anavyoona yeye kaelewa
Sio wote watakuelewa ulivyomaanisha
 
Jiwe alikuwa anazinguwa sana acha sasa na yeye azinguliwe na maza! Chawa wa jiwe washaanza kupoteana! Asante sana Mh. Rais Samia mwanzo mzuri!
 
Back
Top Bottom