Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,330
- 105,163
Nawasalimu kwa jina la HIP HOP
Mwana mziki wa Hip hop P mawenge a.k.a P the Mc katuacha na mshangao wadau na wapenzi wa muziki wa hip hop baada ya kutoa ngoma inayokwenda kwa jina la NAHAMIA WEUSI.
Ikumbukwe kwamba P mawenge ni member wa kundi pinzani la weusi linalotamba kwa jina la Kikosi kazi. Ngoma yao iliyo hit ni diss track dhidi ya weusi, ambapo humo P mawenge ndio alionekana kua na punch lines nzito kwa wahasimu wao. Imekuwaje tena aungane nao?
Kuna nini kinachoendelea pale kikosi kazi? Nakumbuka humu kuna wadau walishawahi kutoa maoni yao juu ya hilo kundi wakidai halina maisha marefu kwasababu puporse ya group ilikua ni ku attack kundi la weusi, na kwasababu weusi hawa respond basi hawa Kikosi kazi hawawezi kudumu kwakua wanahitaji respond ya weusi ili waendelee kubaki kwenye trend.
Wapo wadau wengine waliodai kua miongoni mwa members wa lile kundi ni wakorofi hivyo hawawezi kudumu lazima migogoro ya wao kwa wao itakuwepo na ndio itakayokuja kuleta matabaka na mwisho kuliua kundi.
Wiki kadhaa zilizopita mwanachama wa kikosi kazi songa ambaye alikua mshabiki wa timu ya mpira arsenal alitoa ngoma kua ana hamia manchester united na kweli ikawa hivyo, vipi kwa huyu itakua hivyo hivyo au ni kafanya hivyo kutafuta attention tu?
Nini maoni yako?
Mwana mziki wa Hip hop P mawenge a.k.a P the Mc katuacha na mshangao wadau na wapenzi wa muziki wa hip hop baada ya kutoa ngoma inayokwenda kwa jina la NAHAMIA WEUSI.
Ikumbukwe kwamba P mawenge ni member wa kundi pinzani la weusi linalotamba kwa jina la Kikosi kazi. Ngoma yao iliyo hit ni diss track dhidi ya weusi, ambapo humo P mawenge ndio alionekana kua na punch lines nzito kwa wahasimu wao. Imekuwaje tena aungane nao?
Kuna nini kinachoendelea pale kikosi kazi? Nakumbuka humu kuna wadau walishawahi kutoa maoni yao juu ya hilo kundi wakidai halina maisha marefu kwasababu puporse ya group ilikua ni ku attack kundi la weusi, na kwasababu weusi hawa respond basi hawa Kikosi kazi hawawezi kudumu kwakua wanahitaji respond ya weusi ili waendelee kubaki kwenye trend.
Wapo wadau wengine waliodai kua miongoni mwa members wa lile kundi ni wakorofi hivyo hawawezi kudumu lazima migogoro ya wao kwa wao itakuwepo na ndio itakayokuja kuleta matabaka na mwisho kuliua kundi.
Wiki kadhaa zilizopita mwanachama wa kikosi kazi songa ambaye alikua mshabiki wa timu ya mpira arsenal alitoa ngoma kua ana hamia manchester united na kweli ikawa hivyo, vipi kwa huyu itakua hivyo hivyo au ni kafanya hivyo kutafuta attention tu?
Nini maoni yako?