Heaven on Earth
Platinum Member
- Mar 21, 2013
- 37,233
- 26,753
Tuseme wewe Heaven on earth humjui?. Mia
alikuwa hanijui Mume wangu
Tuseme wewe Heaven on earth humjui?. Mia
hapana, Heaven on earth umpe kalipio lisilo kali lakini huyo Vin Diesel mpige ban tena ban mbili. Mia
Vin hana shida sasa.......wala usijali tena..mi wako wako peke yako
Mikwaju wanayo???au mvua ya mawe mixer mayai viza kama hayo watu tutaliendeleza libeneke
Watakua washasahau na biashara kama kawaida, ila risasi zitawakumbusha tu^^
Siamini kama baada ya wiki moja mtakuwa mnakumbuka tena..
^^
ha! ha! ha! ha! ha!baby umekuja kufanya nini huku. hii ni girls talk.
ha! ha! ha! ha! ha!
dah! humu ndani.....!!!!!!!!!!!!!!!!
pacha nisimpe chakula eeh
kuna nini ndugu, au umepotea njia?
Yes usimpe chakula
haya pacha. lakini naogopa asiyepata chakula kizuri sana huko nje, halafu nikaambulia patupu.
Leo tu......kesho mpe sana sasa???umeelewa sasa naona
miss strong na DEMBA.........
Njoo nikuuzie bulletproof :smile-big:only for this week!!!! hapa buzi langu limetuma mifuko 20 ya cement na msg " umesikia ya ufoo salo kuwa makini"
kijasho kimenitoka mie sijui nijifanye kuiludisha lol !!!!!!!