tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,315
Njoo nikuuzie bulletproof :smile-big:
bulletproof ya nn???? kama risasi siogopi mei mwenyewe mziki munene!!!!
Njoo nikuuzie bulletproof :smile-big:
Na vya wanaaume unakula kama kawa!ehe?bulletproof ya nn???? kama risasi siogopi mei mwenyewe mziki munene!!!!
Na vya wanaaume unakula kama kawa!ehe?
baby kwani wewe unamiliki mguu wa kuku sijui ndio bastola?coz ninaogopa yaliyompata ufoo yaweza mkuta yeyote yule.
Hey can you stop joking to my sweet plz !Anataka kuwa na mie pekee... Heaven on earth for Vin Diesel.....
yeeeeeep miss strong...lol
Kwa taarifa yako ukimwambia humpendi tu, unaenda kumsalimu UFO SARO. Maadam ulimkubali mwanzo endelea nae tu kiugumu mpaka kifo kitakapowatenganisha.
Offer ilikuwa jana shem....leo pacha wangu anakusubiri
duuh haya..nilikuwa mgodini.....then offer nyingine lini?
hapana, Heaven on earth umpe kalipio lisilo kali lakini huyo Vin Diesel mpige ban tena ban mbili. Mia
La mgambooooooooooooooo limelia huko..........................
Yaani kwakweli nmesikitishwa na kilichompata dada Ufoo Saro kabisaaaaa,Sababu zinazovuma mpaka sasa ni mapenzi kimetokea nini wanafahamu wenyewe......
Kuna kipindi nilileta thread hapa juu ya yule mchaga anayenihudumia ingawa simpendi kutoka moyoni,na jana jioni kanitumia pesa katika ule mtandao wa hakatwi mtu hapa na kuitoa sijaitoa.
Niliposikia yaliyomkuta bi dada mida ya asubuhi mbona hata hiyo pesa naiogopa hata kwenda kwa wakala kuitoa.......
Kwakweli wadada tuliangalie hili swala kwa umakini maana hata sielewi kabisaaaaa...... Heaven on earth, Madame B, Smile, Elli79, neggirl, Pacha wangu DEMBA sitaki nikuache IGWE, GreenCity mwekundu na wengineo wengi jamani hii ishakuwa fundisho kabisaaa maana naona kimeshanuka huko.
Ikiwezekana kubadilika na tubadilike maana mambo yamesharibika na kijiwe kishaingia balaaaaa
Natengeneza mbinu ntakayokuja nayo....pesa yako tamu