Lol... Team cash money you are victim
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Kumbe ukizinguliwa tu ,unadeal na uhai wa mtu dah majanga haya
nataka nimiliki mabomu kabisa sasa
only for this week!!!! hapa buzi langu limetuma mifuko 20 ya cement na msg " umesikia ya ufoo salo kuwa makini"
kijasho kimenitoka mie sijui nijifanye kuiludisha lol !!!!!!!
only for this week!!!! hapa buzi langu limetuma mifuko 20 ya cement na msg " umesikia ya ufoo salo kuwa makini"
kijasho kimenitoka mie sijui nijifanye kuiludisha lol !!!!!!!
Ndo nataka niache hivi karibuni........teh teh teh!!!!
Tafuna bana.... wajinga ndo waliwao!
Teh teh kikiwaka utanisaidia?????
Nitakupa hifadhi wangu!....
Bora umeliona hilo mapema anza kurudisha vya watu ulivyokula kidogo kidogo kabla hajakulipua.
You are wife material......well said!!I hope hapo you were not serious!
Mwenye uchungu na papuchi yake hawezi kuigeuza kitega uchumi wala kuiweka rehani besti.....hususani kwenye situation ambazo njia salama za kuweza kuepuka tatizo na kusecure hizo papuchi ziko wazi kabisa.
Tamaa mbaya jameni......MLA HULIWA besti!!! We humtaki mtu halafu unakula vya kwake ili iweje??? Makosa yana nafasi ya kutufunza ndugu zanguni tuacheni kushupaza shingo!
Uirudishe ya nini????mimi pia nilianzaa kuogopa lakin nimeona hakuna kuogopa.Kama huitaki hiyo cement nipe mimi lol!!!!!
...Kuna dada katafuna hela zangu mingi sana, ila mzigo sijapewa mpaka keshokutwa, Mushi katangulia tu kufanya wazo langu!
I hope hapo you were not serious!
Mwenye uchungu na papuchi yake hawezi kuigeuza kitega uchumi wala kuiweka rehani besti.....hususani kwenye situation ambazo njia salama za kuweza kuepuka tatizo na kusecure hizo papuchi ziko wazi kabisa.
Tamaa mbaya jameni......MLA HULIWA besti!!! We humtaki mtu halafu unakula vya kwake ili iweje??? Makosa yana nafasi ya kutufunza ndugu zanguni tuacheni kushupaza shingo!
ujumbe umefika kwa nani figganigga?? Mimi hapana elewa hapa!!!!!!!!!
@ team cash money siirudishi ngo bora nife kishujaa kama mama ufoo iseee!!!!
I hope hapo you were not serious!
Mwenye uchungu na papuchi yake hawezi kuigeuza kitega uchumi wala kuiweka rehani besti.....hususani kwenye situation ambazo njia salama za kuweza kuepuka tatizo na kusecure hizo papuchi ziko wazi kabisa.
Tamaa mbaya jameni......MLA HULIWA besti!!! We humtaki mtu halafu unakula vya kwake ili iweje??? Makosa yana nafasi ya kutufunza ndugu zanguni tuacheni kushupaza shingo!