Heaven on Earth
Platinum Member
- Mar 21, 2013
- 37,233
- 26,753
Anataka kuwa na mie pekee... Heaven on earth for Vin Diesel.....
halafu wewe unajua ndo sosi ya haya...na siku hizi watu kupigana risasi nje
Anataka kuwa na mie pekee... Heaven on earth for Vin Diesel.....
Anataka kuwa na mie pekee... Heaven on earth for Vin Diesel.....
hivi kumbe kala vya watu then hakutaka vyake viliwe!
halafu wewe unajua ndo sosi ya haya...na siku hizi watu kupigana risasi nje
...Kuna dada katafuna hela zangu mingi sana, ila mzigo sijapewa mpaka keshokutwa, Mushi katangulia tu kufanya wazo langu!
sasa leo kila mtu atajifanya anataka kufanya ya Mushi...
jamani yale ni maaamuzi mazito sana...
mi sipo kwenye hicho kikosi mie...mi hata pipi sijawai kupewa
yaani pacha miss strong we acha tu. kinachosikitisha zaidi ni maisha ya mama wa watu yamekatishwa bila huruma. BTW pacha hiyo hela naomba basi unitumiepo japo ka elfu ka vocha.
sasa leo kila mtu atajifanya anataka kufanya ya Mushi...
jamani yale ni maaamuzi mazito sana...
dah! yaani mimi najinyima nakutumia hela kwenye hakatwi mtu hapa kumbe hunitaki....!!! tena unanitangazia had jf!
sasa subiri nakuvizia nikikupata tu twaaaaaaa!!!
na picha yako ninayo!
hivi kumbe kala vya watu then hakutaka vyake viliwe!
...Kuna dada katafuna hela zangu mingi sana, ila mzigo sijapewa mpaka keshokutwa, Mushi katangulia tu kufanya wazo langu!
ni hatari.....hasa kama huwa mnalala kitu kipo chini ya mto......watu tunacheza karibu na kifo jamani.....najuuuuuuuutaa.......
Unahuakika??nyie mnatufanya sisi eko bank hii ndi yo out come!mi sipo kwenye hicho kikosi mie...mi hata pipi sijawai kupewa
Mimi hapa na mimi na msubiri bibie lara 1 najua atakujua na maneno yakupingana na kauli hizi za kusossomola wanaume maana nawao wameshtuka ukimsosomola kumbuka naye ana "MANATI YA KIZUNGU" Haikopeshi!Nikiona tu "igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeee" najua ndo yeye!
nakusubiri lara1 utoe comments zako zilizosheheni mifano na kujawa na miguno!
Ila kiiukweli jamaa yawezekana aliwekeza sana katuma dolari kila akipewa posho yake ya dollar 37000 kwa mwezi nje ya mshahara anatuma kwa Ufoo Saro na anatumiwa picha ya ghorofa katika Whatsapp jamaa kuona jengo limeisha akaanza kula bata sudani anajua mambo yapo poa ila sasa kurudi bongo hata msingi hauoni anaenda kwa mama mkwe wake kuomba busara mama mkwe anamwambia babue unao ushahidi kuwa ulituma pesa kwa mawanangu??kwanza mwanangu alishakwambia hakutaki iweje umng'ang'anie si hakutaki????wanawake wapo wangapi tafuta mwingine ....................unadhani utafanya nini na una "MANATI YA KIZUNGU"???Wanawake jiangalie wanaume wamechoka kufanywa Visa card!!sasa leo kila mtu atajifanya anataka kufanya ya Mushi...
jamani yale ni maaamuzi mazito sana...