#kikosi cha mizinga#.....sitaki tena la mgambo limellia..........

#kikosi cha mizinga#.....sitaki tena la mgambo limellia..........

Aisee niko Tanga nakosa ya mujini huko ila wakati nakuja karibu na kibaha mizani nilinusa harufu ya hatari kulikua na defender(ile iliyoonyeshwa kwa tv) kwa umbea wangu nilichungulia mule ndani nikaona maiti ambulance ya tumbi mbele na private car kwa nyuma

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
hii ndo dawa yao ......kama huna uwezo wa kumiliki manati ya mzungu chini ya mto we weka tu galoni lako la tindikali la lita tano chini ya kitanda akizingua tu mwili mzima .......
 
hii ndo dawa yao ......kama huna uwezo wa kumiliki manati ya mzungu chini ya mto we weka tu galoni lako la tindikali la lita tano chini ya kitanda akizingua tu mwili mzima .......

'wao wamefanya u.c.h.i ndo mtaji mnafkiri watu wanakatwa katwa kirahisi si ndio?,wengine hawakatwi katwi ovyo msione vyaelea tu vimeundwa na sio vyote ving'aavyo ni dhahabu nyingine chuma oooh,shauri yenu wauza K.U.M.A'
 
he hee hee pacha ntakupeleka kwa wachina ukajifunze kung fuu.

Ha ha ha ha utakuwa umeokoa jahazi kishenzi ........na nshaanza kujifunza mbinu za kivita na nitanunua vitu vyenye ncha kali.Wao wakitoka darfur,me ntatoka somalia!!!!!
 
Aisee niko Tanga nakosa ya mujini huko ila wakati nakuja karibu na kibaha mizani nilinusa harufu ya hatari kulikua na defender(ile iliyoonyeshwa kwa tv) kwa umbea wangu nilichungulia mule ndani nikaona maiti ambulance ya tumbi mbele na private car kwa nyuma

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Ndo la mgambo hiloooooo a.k.a parapanda.....
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaa.. mara hii na mara hii.. ila mapenzi yana run dunia aisee. miss strong olewa tu mambo yaishe..

Akuuuuu.....atanisamehe tu kwa kweli simpendi (hanivutii)....na aniue tu na yeye atakufa.Maana sikumtuma anipe hizo senti zake!
 
Last edited by a moderator:
Akuuuuu.....atanisamehe tu kwa kweli simpendi (hanivutii)....na aniue tu na yeye atakufa.Maana sikumtuma anipe hizo senti zake!

Bado unazitafuna tu! Ujue za wachagga haziendi bure... seriously miss strong, hawa watu wana maamuzi magumu! Tafuna ila kuwa makini pia..
 
Back
Top Bottom