QUOTE]Simba ina kikosi kipana,muda mchache kitatoka jf Simba international players kikosi kitakacho cheza mechi za kimataifa,kuna uratibu wa kucheza mechi ya kimataifa kati ya jf Simba kimataifa na jf east Afican forums.Mkuu umeniacha wapi
Hapo sawa nilizani atasahaulikaNitakuwa naye bega kwa bega
Si unajua Utopolo mambo yao yalivyo,mpaka sasa awajatengeneza timu,bado wanaskilizia kwanza uko Nigeria wakupigwa awaundi timu yao ya jf Yanga..Hiyo mechi mnachezea hapahapa JF au wapi?nije niishuhudie...
Utopolo ni Utopolo tu mahali popote walipo huwa awabadiliki hawa.Si unajua Utopolo mambo yao yalivyo,mpaka sasa awajatengeneza timu,bado wanaskilizia kwanza uko Nigeria wakupigwa awaundi timu yao ya jf Yanga..
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Ndio stahiki yake ingawa mwanangu kitambombona mnamuone sana huyu blaza
Mbona unanichna ukweli man mimi full injuryWewe utaingia sub kipindi cha pili,inasemekana una injury za kutosha mechi moja uwanjani nyingine gereji kama Shaban Djuma wa Yanga
Eti wanaogopa kurogwaYanga JF wamegoma kuleta timu uwanjani
Kitengo cha Habari wala hakimfai. Huwa anatoa sana siri za ndani. Awe kocha tu.Huyu Mightier ungempa kitengo cha Habari au Uhamasishaji, maana si kwa mdomo huo