Kikosi cha JF Simba kitakachoipa kichapo kitakatifu kikosi cha JF Yanga

Magoli kipa.
Kalpana Nyamizi BRN

Walinzi wa kushoto.
mugah di matheo Van De Beek ChamasonMorisonBwalyason

walinzi wa kulia.
PTER Luvanga1 Kingtox

walinzi wa kati.
Viol Kifurukutu Poisonous OKW BOBAN SUNZU

viungo wa chini.
SAGAI GALGANO Chen Hu denooJ

mawinga wa kushoto.
@Kyalembe Rostema

mawinga wa kulia.
Saint Ivuga NAWATAFUNA

washambuliaji.
FORTALEZA Scars Utopologist Ghazwat

Kocha mkuu
Mightier , msaidizi wake Lee

Kiongozi wa kamati ya ushindi husda na roho mbaya ni Mshana Jr akisaidiwa na Mwizukulu jilala

shusha maoni yako mfumo upi utaendana na hiki kikosi 4-4-2,,4-5-1 au mfumo upi?.
shusha maoni yako nani aanze nani abaki kwenye kikosi?
vipi benchi la ufundi liongezwe nguvu au tulipe muda wa matazamio?
Mchezaji yupi mwengine anafaa kuongeza nguvu kwenye hiki kikosi?
Nawasilisha.
Shukrani aisee Nitafanya Mambo ya Nasor Cholo miaka hiyo
 
Magoli kipa.
Kalpana Nyamizi BRN

Walinzi wa kushoto.
mugah di matheo Van De Beek ChamasonMorisonBwalyason

walinzi wa kulia.
PTER Luvanga1 Kingtox

walinzi wa kati.
Viol Kifurukutu Poisonous OKW BOBAN SUNZU

viungo wa chini.
SAGAI GALGANO Chen Hu denooJ

mawinga wa kushoto.
@Kyalembe Rostema

mawinga wa kulia.
Saint Ivuga NAWATAFUNA

washambuliaji.
FORTALEZA Scars Utopologist Ghazwat

Kocha mkuu
Mightier , msaidizi wake Lee

Kiongozi wa kamati ya ushindi husda na roho mbaya ni Mshana Jr akisaidiwa na Mwizukulu jilala

shusha maoni yako mfumo upi utaendana na hiki kikosi 4-4-2,,4-5-1 au mfumo upi?.
shusha maoni yako nani aanze nani abaki kwenye kikosi?
vipi benchi la ufundi liongezwe nguvu au tulipe muda wa matazamio?
Mchezaji yupi mwengine anafaa kuongeza nguvu kwenye hiki kikosi?
Nawasilisha.
Yaani nimejikuta nacheka na Kufarijika.
 
Magoli kipa.
Kalpana Nyamizi BRN

Walinzi wa kushoto.
mugah di matheo Van De Beek ChamasonMorisonBwalyason

walinzi wa kulia.
PTER Luvanga1 Kingtox

walinzi wa kati.
Viol Kifurukutu Poisonous OKW BOBAN SUNZU

viungo wa chini.
SAGAI GALGANO Chen Hu denooJ

mawinga wa kushoto.
@Kyalembe Rostema

mawinga wa kulia.
Saint Ivuga NAWATAFUNA

washambuliaji.
FORTALEZA Scars Utopologist Ghazwat

Kocha mkuu
Mightier , msaidizi wake Lee

Kiongozi wa kamati ya ushindi husda na roho mbaya ni Mshana Jr akisaidiwa na Mwizukulu jilala

shusha maoni yako mfumo upi utaendana na hiki kikosi 4-4-2,,4-5-1 au mfumo upi?.
shusha maoni yako nani aanze nani abaki kwenye kikosi?
vipi benchi la ufundi liongezwe nguvu au tulipe muda wa matazamio?
Mchezaji yupi mwengine anafaa kuongeza nguvu kwenye hiki kikosi?
Nawasilisha.

Waletee,Air Manula wa Simba JF nipo tayari
 
Mi ntabeba bango la tawi la ufipa lenye maandishi "watoto wa mama J tunafumua mshono wa kapumbu"
 
Mpiliiiii usijifiche njoo huku... Manara usikimbieeee
Mzee Mpili umemfanyia umafia mkubwa sana,wakati Kapumbu anaifunga Yanga ulimlaza mzee Mpili usingizi wa kilomita 10000.
download.jpg
 
Back
Top Bottom