Na ukishindwa kujitegemea?Miaka 18
Uyatima unakoma
Unaweza kujitegemea
Na ukishindwa kujitegemea?Miaka 18
Uyatima unakoma
Unaweza kujitegemea
Kuna rejea yoyote kwenye hiyo miaka?Miaka 18
Uyatima unakoma
Unaweza kujitegemea
Kujitemea ni wajibu/ laZima sio ombiNa ukishindwa kujitegemea?
Rejea ipi sijakuelewa swali lako mkuuKuna rejea yoyote kwenye hiyo miaka?
Hii comment nimependezwa nayo.Mpaka wazazi wake watakapofufuka Tena
Andiko lolote linalothibitisha kuhusu huo umriRejea ipi sijakuelewa swali lako mkuu
Yatima ni mtotoAndiko lolote linalothibitisha kuhusu huo umri
Kwa hiyo mzee yuko sahihi?Yatima ni mtu aliyefiwa na wazazi wake wote bila kujali umri
yatima ni yatima tu haiondoi maana ya kupoteza wazazi wote.Miaka 50
hakunaa!Miaka 50
hakika!Apimwe akili miaka 60+ unaitwaje yatima
sio yatima tu bado! yan above 18 kujiita yatima ni kama unaomba msaada kama mwenye miaka 10 anayestahili !Na ukishindwa kujitegemea?
yec umelifafanua vizuri.YATIMA
ni mtoto aliepoteza wazaz wote wawili au kutelekezwa.
ataitwa hvohvo hadi kuzikwa kwake.
na mtu akipoteza wazazi, wake akiwa na umri mkubwa, haitwi vile.
jina YATIMA mim nadhan nila huruma au kumtambulisha mtoto kuwa hajiwez.
18 ama 21 hivi...Mwisho inatakiwa iwe miaka mingapi?