Tunafaamu kifo kipo na hakiepukiki, kila mmoja ataondoka kwa wakati wake uliopangwa na mwenyezi Mungu.
Leo nimekuja kumtembelea rafiki yangu mstaafu mwenye miaka inayokadiriwa 75, katika maongezi yetu akaniambia yeye ni yatima; amefiwa na baba pamoja na mama tangu miaka 10+ iliyopita.
Ghafla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.