Kikomo cha mtu kuwa yatima ni miaka mingapi?

Kikomo cha mtu kuwa yatima ni miaka mingapi?

YATIMA
ni mtoto aliepoteza wazaz wote wawili au kutelekezwa.
ataitwa hvohvo hadi kuzikwa kwake.

na mtu akipoteza wazazi, wake akiwa na umri mkubwa, haitwi vile.

jina YATIMA mim nadhan nila huruma au kumtambulisha mtoto kuwa hajiwez.
Sawa kwahiyo ataitwa na nani?
 
Tunafaamu kifo kipo na hakiepukiki, kila mmoja ataondoka kwa wakati wake uliopangwa na mwenyezi Mungu.

Leo nimekuja kumtembelea rafiki yangu mstaafu mwenye miaka inayokadiriwa 75, katika maongezi yetu akaniambia yeye ni yatima; amefiwa na baba pamoja na mama tangu miaka 10+ iliyopita.

Ghafla nikapatwa na mshangao, nikawa najiuliza ukomo wa mtu kuwa yatima ni miaka mingapi?
Ungetueleza maana ya neno yatima kwanza ili tulijue umri wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom