Mbulu
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 5,620
- 5,510
Ya kwenu hiyoUtafiti wa Twaweza unasema wananchi wengi wa Zanzibar wanaikubali Serikali iliopo madarakani....
Ya kwenu hiyoUtafiti wa Twaweza unasema wananchi wengi wa Zanzibar wanaikubali Serikali iliopo madarakani....
Muda huu maalim seif yupo kikaangoni BBC chini ya salim kikeke,.Amembana kwa nini hakuhamasisha wafuasi wake kupiga kura kwa maranyingine ikiwa yeye alishashinda kwenye uchaguzi wa awali.Kwa mara nyingine tena maalim anachemka kuhusu kususia uchaguzi.Kazi kwenu mnao muabudu.Dk 3 za maswali toka kwa Kikeke maalim jasho limemtoka.
Mbona waliojitokeza kwenye uchaguzi wa marudio walikuwa 58, 750 ?Utafiti wa Twaweza unasema wananchi wengi wa Zanzibar wanaikubali Serikali iliopo madarakani....
Zuhura Yunus alimbana Lowassa akaitwa kijani.Ukiona hivyo ujue salimu kikeke nae ni kijani.
kukosekana kwa hoja za msingi za kufutwa uchaguzi halali ni hoja ya msingi kutorudia uchaguzi mwingineNimefurahishwa sana Salimu Kikeke alivyomuhoji Seif
Kwasababu Seif hakuwa na hoja za msingi kwanini hwakushiriki uchaguzi wa marudio Zanzibar
Utafiti wa Twaweza unasema wananchi wengi wa Zanzibar wanaikubali Serikali iliopo madarakani....
Nimefurahishwa sana Salimu Kikeke alivyomuhoji Seif
Kwasababu Seif hakuwa na hoja za msingi kwanini hwakushiriki uchaguzi wa marudio Zanzibar
Hahahahah, hio ndio BBC bana hairembi , hata Lowasa jasho lilimtoka aliishia kusema ataenda kuchunga ng'ombe, lakini tunashangaa yupo mjini anakula maisha.Ukiona hivyo ujue salimu kikeke nae ni kijani.