Ben Mugashe
JF-Expert Member
- Oct 9, 2008
- 999
- 618
Hizo ni nyaraka nyeti, ikiwa wahusika watakuja kukanusha, basi zitawekwa hapa.
Kwan Yericko hakuna msemaji wa chama? Au Makene na Mnyika wamevaa viatu haviwatoshi! ?
Hizo ni nyaraka nyeti, ikiwa wahusika watakuja kukanusha, basi zitawekwa hapa.
View attachment 131926
Mwamba wa magharibi
Scary movie! Three can keep a secret if two of them are dead!
Usitake kutisha watu, Kwa taarifa yako siyo Kigoma tu, Mikoa zaidi ya 10 vikao vimekaa na mpango mkakati unaendelea, Mikoa hiyo ni Kigoma, Tabora, Lindi, Mtwara, Tanga, Dar es Salaam, Rukwa, Mwanza na Dar es Salaam na Singida na Shinyanga.
Hata CUF ilianzishwa Kanda ya ziwa lakini kwa sasa ni maarufu sana Znz, mkakati ni kuihamisha ngome ya CDM kutoka kaskazini na kuihamishia sehemu tofauti
Wakuu,
Intelijensia iliyopandikizwa katika kikao hicho imenasa kila kitu pasina chembe ya mashaka,
"Taarifa ya uhakika niliyonayo, leo pamefanyika kikao cha chadema wilaya ya kigoma mjini (manispa)
Waliohudhuria ni wenyeviti wa kata.
Meza kuu walikuwepo Shaban Mambo (mwkt. kanda ya magharib)
Mwalim Adam (mwkt. wilaya kgm mjin)
Athuman kabogo (katb. wilaya kgm mjn)
Bakar Beji (meya kgm manispa)
Rashid Ruhomvya (makam meya kgm manispa na katibu wa vijana mkoa, katibu mwenez mkoa) na madiwani
Agenda kuu zilikuwa
1. Kumuunga mkono zitto na kuwashughulikia wampingao zitto hasa uongoz wa kanda.
Maazimio kumuunga mkono zitto kwa maamuz yoyte atakayochukua, kuwafukuza viongoz wa kanda au kawafukuzisha"
Chadema inamuona muovu yeyote mpaka rohoni,
"Kabla ya Mtu, palikuwa na Mtu, na baada ya Mtu, pana Mt
Naunga mkono hoja. Hii itadhihirisha kweli intelijensia yao imefanya kaziKikubwa we need the video of that meeting nasi tuwajue hao,
Sasa ji dhahiri kuwa Waislam hawatakiwi ndani ya CHADEMA. Majina yote aliyoyaweka Yeriko Nyerere kama ndo majina ya wahujumu chadema ni ya kiislam
Wakuu,
Intelijensia iliyopandikizwa katika kikao hicho imenasa kila kitu pasina chembe ya mashaka,
"Taarifa ya uhakika niliyonayo, leo pamefanyika kikao cha chadema wilaya ya kigoma mjini (manispa)
Waliohudhuria ni wenyeviti wa kata.
Meza kuu walikuwepo Shaban Mambo (mwkt. kanda ya magharib)
Mwalim Adam (mwkt. wilaya kgm mjin)
Athuman kabogo (katb. wilaya kgm mjn)
Bakar Beji (meya kgm manispa)
Rashid Ruhomvya (makam meya kgm manispa na katibu wa vijana mkoa, katibu mwenez mkoa) na madiwani
Agenda kuu zilikuwa
1. Kumuunga mkono zitto na kuwashughulikia wampingao zitto hasa uongoz wa kanda.
Maazimio kumuunga mkono zitto kwa maamuz yoyte atakayochukua, kuwafukuza viongoz wa kanda au kawafukuzisha"
Chadema inamuona muovu yeyote mpaka rohoni,
"Kabla ya Mtu, palikuwa na Mtu, na baada ya Mtu, pana Mt
Kuna maaskofu walidiriki hadi kusema kuwa Kikwete ni chaguo la Mungu, ajabu leo wanalalamika. So wewe sio wa kwanza kumsingizia Mungu.Watanzania wote jueni kuwa mungu ameipa nguvu chadema kuja kutukomboa wa tz tulio angamizwa na ma ccm,hivyo wale wote wanao kaa vikao vya kutaka kuihujumu cdm wata umbuka mapema,kueni makini uslama wa chadema ni zaidi ya FBI popote na chochote kitagundulika mapema
Chadema wamepoteza umakini. Kila mtu anajifanya ni msemaji wa chama
Chezea Muha wewe. Hawa jamaa wana msimamo sana. Hawataki kuyumbishwaKiluu sasa hapa mha vs chaga