Kikao "Maalumu" cha kuihujumu CHADEMA

Kikao "Maalumu" cha kuihujumu CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Watanzania wote jueni kuwa mungu ameipa nguvu chadema kuja kutukomboa wa tz tulio angamizwa na ma ccm,hivyo wale wote wanao kaa vikao vya kutaka kuihujumu cdm wata umbuka mapema,kueni makini uslama wa chadema ni zaidi ya FBI popote na chochote kitagundulika mapema
Ni Mungu gani huyo? Maana kuna miungu wengi. Hata akina Mangi Meli, Isike na wengine walikuwa wanaitwa miungu. Wengine wanamuita Yesu ni Mungu huku wengine wakiamini Mungu wao ni Allah. Sijui huyu Mungu wa CHADEMA anaitwa nani
 
Huu UJINGA wa CHADEMA kila siku, TUNAHUJUMIWA, TUNASALITIWA, TUNAONEWA, TUNAWINDWA TUUWAWE, ...
Hujakaa sawa Dr.Slaa anakuja na matamko yake ya kunasa nyaraka za siri, you guys should grow up now! acheni huu utoto!
 
Wakuu,

Intelijensia iliyopandikizwa katika kikao hicho imenasa kila kitu pasina chembe ya mashaka,

"Taarifa ya uhakika niliyonayo, leo pamefanyika kikao cha chadema wilaya ya kigoma mjini (manispa)

Waliohudhuria ni wenyeviti wa kata.

Meza kuu walikuwepo Shaban Mambo (mwkt. kanda ya magharib)

Mwalim Adam (mwkt. wilaya kgm mjin)
Athuman kabogo (katb. wilaya kgm mjn)
Bakar Beji (meya kgm manispa)

Rashid Ruhomvya (makam meya kgm manispa na katibu wa vijana mkoa, katibu mwenez mkoa) na madiwani

Agenda kuu zilikuwa
1. Kumuunga mkono zitto na kuwashughulikia wampingao zitto hasa uongoz wa kanda.

Maazimio kumuunga mkono zitto kwa maamuz yoyte atakayochukua, kuwafukuza viongoz wa kanda au kawafukuzisha"

Chadema inamuona muovu yeyote mpaka rohoni,



"Kabla ya Mtu, palikuwa na Mtu, na baada ya Mtu, pana Mt

Usitake kutisha watu, Kwa taarifa yako siyo Kigoma tu, Mikoa zaidi ya 10 vikao vimekaa na mpango mkakati unaendelea, Mikoa hiyo ni Kigoma, Tabora, Lindi, Mtwara, Tanga, Dar es Salaam, Rukwa, Mwanza na Dar es Salaam na Singida na Shinyanga.

Hata CUF ilianzishwa Kanda ya ziwa lakini kwa sasa ni maarufu sana Znz, mkakati ni kuihamisha ngome ya CDM kutoka kaskazini na kuihamishia sehemu tofauti
 
Upuuzi mwingine hadi aibu kuusoma!
Sasa sijui aliyeandika ana akili gani?!
 
Huu UJINGA wa CHADEMA kila siku, TUNAHUJUMIWA, TUNASALITIWA, TUNAONEWA, TUNAWINDWA TUUWAWE, ...
Hujakaa sawa Dr.Slaa anakuja na matamko yake ya kunasa nyaraka za siri, you guys should grow up now! acheni huu utoto!
Mkuu, hawa jamaa wanaweweseka sana. Walianza kwa kusema kuwa wanahujumiwa na CCM. Sasa wanajioneshq ujinga kuwa anayewasaliti ni mwana cdm tena viongozi wa mkoa na wilaya.
 
Usitake kutisha watu, Kwa taarifa yako siyo Kigoma tu, Mikoa zaidi ya 10 vikao vimekaa na mpango mkakati unaendelea, Mikoa hiyo ni Kigoma, Tabora, Lindi, Mtwara, Tanga, Dar es Salaam, Rukwa, Mwanza na Dar es Salaam na Singida na Shinyanga.

Hata CUF ilianzishwa Kanda ya ziwa lakini kwa sasa ni maarufu sana Znz, mkakati ni kuihamisha ngome ya CDM kutoka kaskazini na kuihamishia sehemu tofauti
Duh. Kwa hakika chadema ndo inakufa hivyooo. Tusubiri mazishi rasmi 2015
 
CDM ni mpango wa Mungu,hila zote zitashindwa kabla hazijatekelezwa,kutaka kuingamiza CDM ni sawa na wale waliotaka kujenga mnara wa babeli wamfikie Mungu pigo walilopata wengi munajua.......sasa wanaopanga mipango ya kuingamiza CDM ndicho kinachowakuta hao waovu,madhambi yote yaliyofanywa na CCM bado kuna watu wanakubali kununuliwa ili ukombozi usipatikane,hili malaika walinzi wa Nchi hii hawawezi kulikubali..........CDM ilianza na Mungu,itamaliza na Mungu.
 
Yeriko alituletea mipasho kwenye ile ripoti ya siri juu ya zitto kabwe. Walivyoshindwa akapotea. Akaja tena na mipasho wakati wa kesi aliyofungua zitto. Kijana Msando alivyowagaragaza, akapotea. Sasa amekuja na mipqngo mingine.
 
Hakika Mungu yu pamoja nasi. Wapange watakavyo lkn hujuma zozote dhidi ya Chadema zimekwishafeli hata kabla hazijaanza.
 
Mkuu, hawa jamaa wanaweweseka sana. Walianza kwa kusema kuwa wanahujumiwa na CCM. Sasa wanajioneshq ujinga kuwa anayewasaliti ni mwana cdm tena viongozi wa mkoa na wilaya.

Lizaboni na Msalani wako zamu kwa niaba ya Buku 7 wote.
 
kama Kigoma kwao imevuja vije ugenini.?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom