fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,073
kupanga na kukamatwa ni kitu kama chupa na maji, CDM iko juu ya uelewa wa kina ZZK
Ndio maana Zitto aligoma kusemezana na hawa vifaranga, akaagiza aletewe mama yao.
Chezea Muha wewe. Hawa jamaa wana msimamo sana. Hawataki kuyumbishwa
Yeriko
mwambie lwakatare au sa8 awalishe sumu, au kilewo awamwagie tindikali
Salute sana cdm na Yericko Nyerere. Wajue cdm ni mpango wa Mungu kuikomboa hii nchi. Ccm wajifunze japo chembe au wawaombee cdm wawasaidie ku deal na ujangili madawa ya kulevya. Eti tuna usalama. !!!! Uko kisiasa kuthibiti cdm.
Yeriko
mwambie lwakatare au sa8 awalishe sumu, au kilewo awamwagie tindikali
Zipi hizo we Kimada?
Wakuu,
Intelijensia iliyopandikizwa katika kikao hicho imenasa kila kitu pasina chembe ya mashaka,
"Taarifa ya uhakika niliyonayo, leo pamefanyika kikao cha chadema wilaya ya kigoma mjini (manispa)
Waliohudhuria ni wenyeviti wa kata.
Meza kuu walikuwepo Shaban Mambo (mwkt. kanda ya magharib)
Mwalim Adam (mwkt. wilaya kgm mjin)
Athuman kabogo (katb. wilaya kgm mjn)
Bakar Beji (meya kgm manispa)
Rashid Ruhomvya (makam meya kgm manispa na katibu wa vijana mkoa, katibu mwenez mkoa) na madiwani
Agenda kuu zilikuwa
1. Kumuunga mkono zitto na kuwashughulikia wampingao zitto hasa uongoz wa kanda.
Maazimio kumuunga mkono zitto kwa maamuz yoyte atakayochukua, kuwafukuza viongoz wa kanda au kawafukuzisha"
Chadema inamuona muovu yeyote mpaka rohoni,
"Kabla ya Mtu, palikuwa na Mtu, na baada ya Mtu, pana Mtu"
Hizo ni nyaraka nyeti, ikiwa wahusika watakuja kukanusha, basi zitawekwa hapa.
Watanzania wote jueni kuwa mungu ameipa nguvu chadema kuja kutukomboa wa tz tulio angamizwa na ma ccm,hivyo wale wote wanao kaa vikao vya kutaka kuihujumu cdm wata umbuka mapema,kueni makini uslama wa chadema ni zaidi ya FBI popote na chochote kitagundulika mapema
Picha tafadhali ?
Au hata (oudio) za kikao.