Boko haram
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 3,256
- 1,232
Chadema ni zaidi ya watu au mtu
Kwahiyo?
Chadema ni zaidi ya watu au mtu
Kwahiyo?
Hugo Mungu Wa mbowe na Rostam? Mbowe na wake za watu? Slaa na wake za watu? Chadema name utesaji???
Kweli Huyo ndiye yule Mungu Wa chadema. Viva chadema....
Sasa ji dhahiri kuwa Waislam hawatakiwi ndani ya CHADEMA. Majina yote aliyoyaweka Yeriko Nyerere kama ndo majina ya wahujumu chadema ni ya kiislam
teh teh, hivi wewe ni mtanzania kweli? Siamini hata kidogo! Ni mdini kupita kiasi!Sasa ji dhahiri kuwa Waislam hawatakiwi ndani ya CHADEMA. Majina yote aliyoyaweka Yeriko Nyerere kama ndo majina ya wahujumu chadema ni ya kiislam
Rais ZNZ Muislam
Rais TZ Bara Muislam
Makamu Rais,Bara Muislam
Makamu Rais ZNZ Muislam
Seif ZNZ ni Muislam
IGP (aliyestaafu) Muislam
Mbona Wakristo tuko Cool tu!?
Sasa Siasa za Udini unazozipandikiza Nini faida yake!?
Kamanda Yericko Nyerere hao jamaa wanapoteza tu muda wao bure kumuunga mkonomsaliti.
Leo tulikuwa na mkutano wa hadhara Ukonga mtaa wa mazizini watu wote wamepitisha azimio la kuunga mkono uamuzi wa kamati kuu kuwashughulikia wasaliti. Kwa kauli moja wanachadema kata ya Ukonga wamesema kuwa CHADEMA KWANZA WASALITI BAADAE.
Ubabe mlokuwa mwaukataa kwenye chama tawala wa kimamlaka nashangaa mnautukuza kwenye chadema,hahaaa mmefeli vibaya na mjipange maana kabla ya vita mshashindwa vita.
kweli kabisa mkuu, huyo mungu wako ameipa nguvu cdm kuwakomboa watu fukani fulani kutoka katika maisha ya utajiri na kuelekea katika ukwasi uliopitiliza kupitia migongo ya taasisi za kisiasa.
Endeleeni kuwa vipofu ilhali macho mmepewa kwa ajili ya kuona, masikio kwa ajili ya kusikia na akili ya kujua jema na ovu.
Kikao halali unakiita hujuma?yaani ingekuwa mambo hayo walijadili kinyume Kama hivi "tunaunga mkono maamuzi ya mbowe na wapambe zake kwa maamuzi dhidi ya zito" Leo ungewaita makamanda!hivi Hilo Nyerere ni jina tu au unaundugu nae?mbona we Kama mburula hv!Wakuu,
Intelijensia iliyopandikizwa katika kikao hicho imenasa kila kitu pasina chembe ya mashaka,
"Taarifa ya uhakika niliyonayo, leo pamefanyika kikao cha chadema wilaya ya kigoma mjini (manispa)
Waliohudhuria ni wenyeviti wa kata.
Meza kuu walikuwepo Shaban Mambo (mwkt. kanda ya magharib)
Mwalim Adam (mwkt. wilaya kgm mjin)
Athuman kabogo (katb. wilaya kgm mjn)
Bakar Beji (meya kgm manispa)
Rashid Ruhomvya (makam meya kgm manispa na katibu wa vijana mkoa, katibu mwenez mkoa) na madiwani
Agenda kuu zilikuwa
1. Kumuunga mkono zitto na kuwashughulikia wampingao zitto hasa uongoz wa kanda.
Maazimio kumuunga mkono zitto kwa maamuz yoyte atakayochukua, kuwafukuza viongoz wa kanda au kawafukuzisha"
Chadema inamuona muovu yeyote mpaka rohoni,
"Kabla ya Mtu, palikuwa na Mtu, na baada ya Mtu, pana Mtu"
naona unaota mchana kweupe, hizi ni hoja au hisia zako tu. Unapaswa uongee jambo kwa evidence or fact.
acha porojo we gamba
Hizo ni nyaraka nyeti, ikiwa wahusika watakuja kukanusha, basi zitawekwa hapa.
Katibu mkuu Padri slaa - mkristo
Mwenyekiti Mbowe- mkristo
Mwanasheria mkuu wa chama Tundu Lissu-mkristo
Katibu mwenezi wa chama J.Mnyika-mkristo
Mkurugenzi wa usalama W.Lwakatare-mkristo
Mfuta vioo vya ofisi Mohammed Mtoi-muislamu
Makamu mwenyekiti aliyejiuzulu kwa mizengwe Said Arfi- muislamu
Naibu katibu mkuu aliyefukuzwa Zitto Kabwe-muislamu...........
Hizo ni nyaraka nyeti, ikiwa wahusika watakuja kukanusha, basi zitawekwa hapa.