Kikao kati ya CHADEMA na Serikali (Ikulu) chaisha, makubaliano haya hapa!

Unajua nilipopata barua pepe hii toka State House nilidhani labda attachment imekosewa, lakini ndiyo hivyo mkuu.

Ama kweli...!
Invisible naomba muirudishe post yangu iliyo tabiri namna Mazungumzo ya Jayaka na CHADEMA yatakavyokuwa
kwenye jukwaa la siasa sababu yametimia
 
Wengi tumebaki midomo wazi!

Mkuu labda umepokea fake mail????? vipi haikuwa na below letter head???????????????

images
 
yamekuwa condensed to the maximum;kiujumla hizo para mbili zinaupana mkubwa sana tu,sidhani kama kuna hofu.
kazi imeanza na kajionea watu wanavyopelekeshwa na kupitishwa vitu ambavyo havina msaada kwa taifa,big up CDM.
 
Kile kikao kati ya Rais wa JMT Dr. JK na ule ujumbe wa CDM ukiongozwa na Mbowe kimekwisha ikulu ikiwa ni muendelezo wa mazungumzo yao yaliyo anza jana na kuendelea leo saa 4 asubuhi. Kuna baadhi ya mambo mkuu wa kaya ameyakubali na kuna mengine yamekataliwa katika waraka ule ambao cdm walimuachia jana ikulu.

Endelea kuwepo tutakupa data zaidi

MAKUBALIANO HAYA HAPA CHINI:

30tothx.jpg

napita kwanza
 
Kweli JK kiboko , mbwembwe zote za cdm mwishowe wameishia kuandika paragraph 2 tu , na wametoka wanafurahi kwa kunywa chai ya ikulu, juice nakupiga picha na Rais. Kweli timu hii ifuatayo ya Chadema ni ya kuandika paragraph 2 tu??? semeni nanyi hamko seriouss na suala hili la katiba na uamuzi wenu wa kuonana na Rais mlikurupuka.
Timu ya Chadema : Philman Mbowe ( Mwenyekiti ), Said Arfi ( makamu mwenyekiti bara), Said Issa Mohammed (makamu mwenyekiti zanzibar), Prof. Mwesiga Baregu, Prof. Abdallah Saffari (washauri wa masuala ya siasa), Tundu Lisssu (mnadhimu wa kambi ya upinzani), John Mrema. Timu yote hii na vigogo then paragraph 2, kwa siku 2, ur joking !
 
yaani siwezi kuamini kwamba hiyo ndo kazi alofanya huyo rahisi wenu for two days!

heri angeenda club

duh hatari
 
Kweli JK kiboko , mbwembwe zote za cdm mwishowe wameishia kuandika paragraph 2 tu , na wametoka wanafurahi kwa kunywa chai ya ikulu, juice nakupiga picha na Rais.

Kweli timu hii ifuatayo ya Chadema ni ya kuandika paragraph 2 tu??? semeni nanyi hamko seriouss na suala hili la katiba na uamuzi wenu wa kuonana na Rais mlikurupuka.

Timu ya Chadema : Philman Mbowe ( Mwenyekiti ), Said Arfi ( makamu mwenyekiti bara), Said Issa Mohammed (makamu mwenyekiti zanzibar), Prof. Mwesiga Baregu, Prof. Abdallah Saffari (washauri wa masuala ya siasa), Tundu Lisssu (mnadhimu wa kambi ya upinzani), John Mrema. Timu yote hii na vigogo then paragraph 2, kwa siku 2, ur joking !
 
yamekuwa condensed to the maximum;kiujumla hizo para mbili zinaupana mkubwa sana tu,sidhani kama kuna hofu.
kazi imeanza na kajionea watu wanavyopelekeshwa na kupitishwa vitu ambavyo havina msaada kwa taifa,big up CDM.

mkuu umesema ukweli kifungu cha kwanza kina maana pana sana ingawa kimekosa specifics. inaonekana wanakubali kuwa kuna haja ya kufanya marekebisho hata baada ya kkupitishwa na bunge ila ninajiuliza kweli endapo hiyo ni kweli mamlaka hayo yametoka wapi ndani ya katiba ya kurekebisha kitu kilichopitishwa na bunge ninavyoelewa mimi kama jk akubaliani na baadhi ya vitu inabdi mswaada urudishwe bungeni kurekebishwa na pili napata wakati kuamini kuwa chadema pamoja na kuwa wanasheria kadhaa kwenye kikao inawezekanaje hili hawakuliona ??
 
Nadhani chadema wameshafurahi baada ya kuongea na raisi wa Jamhuri Muungani wa Tanzania.
 
hv hamna anaeweza pata hizi habari kwa undani? mbona zimekaa juu juu sana hizi. MKUU INVISBL hebu jaribu search
 
Back
Top Bottom