Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
kwa jinsi alivyo makini, John Mnyika hawezi kusaini document kwa peni ya blue. Kama ni kweli atakuwa ameteleza.
na swali langu linabaki palepale. Mnyika ni Naibu Katibu Mkuu wa CDM?
na swali langu linabaki palepale. Mnyika ni Naibu Katibu Mkuu wa CDM?