masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,797
- 16,804
Nikufanyaje embu niambie, aya leta choya au manguree
sawa umepata
Nikufanyaje embu niambie, aya leta choya au manguree
Kiroba jogoo...
sawa umepata
sipendi makuzi ikwapi sasa
loooh kweli ushalewa
NANI KAMWAGA POMBE YANGU???uliza mwenzio hapo
mimi nawasalimia tu kikaoni
MNATUMIA VINYWAJI GANI?
yani sijui unataka nikutongoze, leta we kiumbe kikao bado naona stress
Mimi nipatie zanzi ya moto.
Kwani.kumbe humu watu huwa wanatongozana????
Usinambie hujawahi kuhongwa humu, asee kaoge baharini fasta...
unataka kujaribu?
yani sijui unataka nikutongoze, leta we kiumbe kikao bado naona stress
Nditoo what's wrong with u!
Nasubiri ligi nidese.!