Dah kumbe huyo Mwanaume?
Halafu, hivi mtu utajuaje kwamba fulani humu ana ID ya kiume na ya kike, ilhali huyo mtu hata hujawahi kukutana naye maishani?
Mtu hamjuani kabisa, lakini bado kuna watu watakuwa na chutzpah ya kujifanya wanakujua kupitia hizi IDs za humu.
Nani keshawahi kukutana na mimi humu ana kwa ana? Aliyewahi na anyooshe mkono🙂.
Hapana nashangaa nikiangalia post zake,mimi ananitosha Angelicioushahahaahhahah ULISHATUPA NYAVU HAPO NINI
Ni wachache wanajuana humu physically wamewahi kuonana ila unajua huyu ni mwanaume au mwanamke kwa maelezo yake yeye mwenyewe yanayotokana na koments zake.
karibu sana miss, Mimi napenda kande za maziwa mtindi..ushawahi?
masai dada kuna mtu ana kiu hukuwanaume kama mabinti!!..kwa wale wanaume wenye ID's mbili tena ya kike,.huo ni ushoga,nashukuru mungu nilizaliwa wakike,ningekuwa mwanaume ningewatawanya chamber zao!..naomba maji baridi masai dada.
Halafu, hivi mtu utajuaje kwamba fulani humu ana ID ya kiume na ya kike, ilhali huyo mtu hata hujawahi kukutana naye maishani?
Mtu hamjuani kabisa, lakini bado kuna watu watakuwa na chutzpah ya kujifanya wanakujua kupitia hizi IDs za humu.
Nani keshawahi kukutana na mimi humu ana kwa ana? Aliyewahi na anyooshe mkono🙂.
Mtindi ni maziwa mgando
kuwa great thinker haiitaji kuonana kugundua mambo ya kina Gilesi
Habari ya muda wanajamii naomba tujadiliane hili katika jamii yetu tukiwa kama wanaume karibuni
Najua hapa kijijini kwetu kuna uhuru wa kuongea bila kuvunja sheria za kijiji nami natumia uhuru huo huo,Langu moja tu ni kuhusu hizi fake ID. Wote tunatumia fake ID na zinasaidia mambo mengi,zinafanya mtu unatoa lolote la moyoni bila kujali lakini kuna watu wanazo Id mbili mbili sio shida kwakuwa sheria za kijiji zinaruhusu
Sasa hili la mwanaume kutumia ID ya kike linamaanisha nini? Humu ndani kama jina la kijiji linavyojieleza watu wanajenga mahusiano,wanatengeneza urafiki,sasa kama mwanaume unapotumia ID ya kike unataka kutuambia nini? kwamba unafurahi wanaume wanavyokutongoza? au unafurahia unavyotoa maada kama mwanamke na watu wanavyotoa maoni yao,furaha inakuwa wapi haswa? sijui kama kua wanawake wanatumia ID ya kiume pia ila nauliza tu kwa wanaume wenzangu hili mnalichukuliaje?
Uhuru unapopitiliza madhara yake ndiyo haya sijui mpaka mtu unatumia ID ya kike unakuwa umefikiria nini? kama kuna wanaume wanapumuliwa visogoni basi waandike zile ID zao Ant fulani ili mtu anapoomba urafiki ajue ni rafiki wa aina gani aliye naye.
Ni hilo tu ndugu zangu sijui na wewe kwa mtazamo wako unalionaje hilo,ni vizuri ukachangia maada iliyowekwa maana wengine mtaanza kusema ooh umekutana nayo hapana ndugu sijakutana nayo ila nimeona niulize tu kwenu mnalionaje,na kama halijakaa sawa basi tuungane tulipinge hilo kwa sauti moja hata hao watunga sheria wanaweza kubadilisha kama mtaona ni vema********************Cc: kwa wanaume wote na wanawake karibu mtuambie mnajisikiaje mwanaume akitumia ID ya kike?
Karibuni
Godfather bwana.
Could it be unanisaidia because it is the only food am eating with relish?
Nimepika jana leo nikamalizia kiporo,za chumvi lakini.
And what is this about mtindi?
"Oh okay. I guess I'm not a great thinker then. Never have and never will. I'll forever be a mediocre one.
sawa maa'm
MZINGA au KIMOBITELI
Halafu, hivi mtu utajuaje kwamba fulani humu ana ID ya kiume na ya kike, ilhali huyo mtu hata hujawahi kukutana naye maishani?
Mtu hamjuani kabisa, lakini bado kuna watu watakuwa na chutzpah ya kujifanya wanakujua kupitia hizi IDs za humu.
Nani keshawahi kukutana na mimi humu ana kwa ana? Aliyewahi na anyooshe mkono🙂.
mhhhhhhhhh zipoje hizo kande