The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,611
Kwa kuwa kikao ni cha wanaume
mi namuwakilisha mme wangu...
mi nadhani na njaa nayo inachangia wanatumia hizo id kupiga mizinga
make najua kuna maboya wanahudumia hata watu wasowajua
igweeeeee....
Dah..sikutumii tigo pesa tena. nisije kuwa boya bure