Kikao cha wanaume

Kikao cha wanaume

Asante but yanatumikaje katika mapishi ya makande?

Unapika makande kawaida kwa recipe yeyote ya makande uliyoizoea,ila muda wa kula unachanganya na maziwa ya mtindi.
Uko poa mamy?
 
Sweetie naelewa mtindi ni nini but at what point do you eat it?

Do you pour it over makande, or do you use it to cook makande.

Kuhusu kunisaidia please nisaidie kununa!

kununa? Lols siwezi aisee
nachanganya wakati WA Kula ...tamu Sana!
 
Mtu yeyote mwenye akili hawezi kujua jinsia ya wachangiaji humu kwa kutegemea michango yao tu.

Anaweza kudhani kuwa labda huyu jamaa jinsia yake ni hii ama ile kutokana na vile mtu anavyochangia lakini kamwe hawezi kujua kwa namna hiyo.

Sasa, kuna tofauti kubwa sana kati ya kudhani na kujua. Natumai unaijua hiyo tofauti.

Let the street law grad in me come out.....

Asiye na akili ndio anaweza asijue,mwenye akili atajua. Mtu kaandika mada"k yangu inatoa harufu kali,naomba msaada" alafu useme usijue jinsia ya alieandika mada,utakua taahira kama sio zezeta.
 
Kwa kuwa kikao ni cha wanaume
mi namuwakilisha mme wangu...
mi nadhani na njaa nayo inachangia wanatumia hizo id kupiga mizinga
make najua kuna maboya wanahudumia hata watu wasowajua
igweeeeee....
 
Vikao vya wanaume wewe umeota lini ndevu kumwakilisha mmeo? dada chaumbea nini?:A S 13:
Kwa kuwa kikao ni cha wanaume
mi namuwakilisha mme wangu...
mi nadhani na njaa nayo inachangia wanatumia hizo id kupiga mizinga
make najua kuna maboya wanahudumia hata watu wasowajua
igweeeeee....
 
Kwa kuwa kikao ni cha wanaume
mi namuwakilisha mme wangu...
mi nadhani na njaa nayo inachangia wanatumia hizo id kupiga mizinga
make najua kuna maboya wanahudumia hata watu wasowajua
igweeeeee....

lakini ipo siku anaweza liwa kiboga
kwa lazima au kwa hiari
cc mrembo mashalaah na ile id yako nyingine.
 
Last edited by a moderator:
Kwa kuwa kikao ni cha wanaume
mi namuwakilisha mme wangu...
mi nadhani na njaa nayo inachangia wanatumia hizo id kupiga mizinga
make najua kuna maboya wanahudumia hata watu wasowajua
igweeeeee....

Embu niambie huyo boya anayeonga asiyemjua na mimi nimwombe anionge
 
Kumbe nimegundua wanawake wa JF wambea kweli kweli. Tumeambiwa kikao cha Wanaume lakini macho yamewatoka pima eti wanachagia
Habari ya muda wanajamii naomba tujadiliane hili katika jamii yetu tukiwa kama wanaume karibuni

Najua hapa kijijini kwetu kuna uhuru wa kuongea bila kuvunja sheria za kijiji nami natumia uhuru huo huo,Langu moja tu ni kuhusu hizi fake ID. Wote tunatumia fake ID na zinasaidia mambo mengi,zinafanya mtu unatoa lolote la moyoni bila kujali lakini kuna watu wanazo Id mbili mbili sio shida kwakuwa sheria za kijiji zinaruhusu

Sasa hili la mwanaume kutumia ID ya kike linamaanisha nini? Humu ndani kama jina la kijiji linavyojieleza watu wanajenga mahusiano,wanatengeneza urafiki,sasa kama mwanaume unapotumia ID ya kike unataka kutuambia nini? kwamba unafurahi wanaume wanavyokutongoza? au unafurahia unavyotoa maada kama mwanamke na watu wanavyotoa maoni yao,furaha inakuwa wapi haswa? sijui kama kua wanawake wanatumia ID ya kiume pia ila nauliza tu kwa wanaume wenzangu hili mnalichukuliaje?

Uhuru unapopitiliza madhara yake ndiyo haya sijui mpaka mtu unatumia ID ya kike unakuwa umefikiria nini? kama kuna wanaume wanapumuliwa visogoni basi waandike zile ID zao Ant fulani ili mtu anapoomba urafiki ajue ni rafiki wa aina gani aliye naye.

Ni hilo tu ndugu zangu sijui na wewe kwa mtazamo wako unalionaje hilo,ni vizuri ukachangia maada iliyowekwa maana wengine mtaanza kusema ooh umekutana nayo hapana ndugu sijakutana nayo ila nimeona niulize tu kwenu mnalionaje,na kama halijakaa sawa basi tuungane tulipinge hilo kwa sauti moja hata hao watunga sheria wanaweza kubadilisha kama mtaona ni vema
********************
Karibuni​
Cc: kwa wanaume wote na wanawake karibu mtuambie mnajisikiaje mwanaume akitumia ID ya kike?
 
Marahabaaa......haya mama suala letu ndiyo hilo yeye kama mwanaume akipata hizo attention zinamsaidia nini? au yeye hiyo mitongozo ya PM anaifurahia,huyo atakuwa mwanaume kamili?

Sasa huko PM sijui huwa mnaongea nini ila sasa naona wanaweza kuwa wanafanya research
 
Grace aliyejaaliwa-Huyu baada ya kumuumbua akanianzishia uzi kuwa nimemtongoza PM,ikawa historia.

Mrembo mashalaah_Nimemuumbua akaja kunianzishia uzi naye kuwa ananichukia kuliko wote JF.

Reggina wa Ukweli,Gilesi na Reggina hope wamekufa tayari!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom