Upinzani wa bongo ni upuuzi sanaView attachment 1504943
Mkuu Wewe naye eti unafanya propaganda, huu ni upuuzi kama wa mtoto wa chekechea,CCM ni taasisi sio Saccos kama chademaBaadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu ambao ni CCM asilia walikutana kwa siri jana usiku sehemu fulani pale Area C Dodoma kubuni mbinu za kushughulika na wagombea wa "kupandikizwa".
Wagombea wa kupandikizwa wako wa aina mbili.
Moja, ni wale ambao wana uswahiba na Mwenyekiti lkn hawana mvuto wala hawajulikani majimbo wanakotumwa kugombea. Mf. Prof. Kitila kugombea Ubungo, na prof. Kabudi kugombea Kilosa.
Pili, ni wale waliotoka vyama vingine na kupewa feva ya kugombea bila kupingwa ndani ya ccm.
Haya mawili yamewaumiza Sana wanaCCM wapiganaji na wafia chama. Na Kuna mengi yamepangwa tuombe Mungu yafanikiwe. Muda utaongea.
CCM tuko pamoja lkn hatuna umoja.
Wewe utakuwa ndiyo wa kupandikizwaUnadhani ccm ni kama chadema .huijui ccm wewe dogo
Wachumia tumboTanzania hakuna wapinzani kuna wajasiriasiasa
Mnufaika utamjua tuAcha uzushi bwashee.
Ndugu usilitimie jina la Yesu kwa mwanagamu asiye kamiliHaya ni matunda ya Yesu wa Chattle!
You can say this again...Upinzani wa bongo ni upuuzi sanaView attachment 1504943
Mkuu Wewe naye eti unafanya propaganda, huu ni upuuzi kama wa mtoto wa chekechea,CCM ni taasisi sio Saccos kama chadema
haaa,we jamaa usahau tu.Mnufaika utamjua tu
Naipinga hii hoja ya mleta mada.
Wamechelewa sana, kati ya 2015 na 2017 ndio lilikua dirisha pekee la kumdhibiti Magufuli. Kwasasa wavumilie tu, ikifika 2025 CCM kitakua chama tofauti kabisa, siasa kali za chuki ndio patakua nyumbani kwake.