Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Wassira? Makongoro? Zitto? Mrema? Hamad Rashid?
Machangudoa wa siasa wapo wengi sana.
 
Hahahahahaha...whether za kweli au sio za kweli....what is an issue?

Lowassa karibu CHADEMA
 
Lowassa kashaibadilisha Chadema.

1. Kabadilisha ratiba yao ya uchaguzi.

2. Kabadilisha mgombea wao. Dr. Slaa anakatwa kwa sababu ya Lowassa.

3. Kabadilisha bajeti yao ya uchaguzi.

4. Kabadilisha kauli zao kuhusu ufisadi.

5. Kabadilisha ilani yao ya uchaguzi.

Sasa tujiulize, nani anayebadili mwenzie? Chadema itambadili Lowassa au Lowassa anaibadili Chadema?

Lowassa yuko kwenye siasa muda mrefu kuliko umri wa Chadema. Kuamini kuwa Lowassa atabadilika ghafla ni kujidanganya kulikopitiliza.

Mpaka sasa Chadema haijabadili chochote kwa Lowassa, yeye ndio anawabadili.

Chadema badala ya kuleta mabadiliko, yenyewe ndio inabadilishwa...
Nafikiri wooooooote wa chama cha 'kijani' mmekuwa mkikosoa upinzani kwamba wapinzani ni, sacoos, wasaka tonge, wanaharakati nk. Sasa kama mwana-kijani EL atabadilisha upinzani si Jambo jema Kwenu kijani/njano?! Kwani adhma yenu yenu ni kushika dola tu, au kutoa elimu na kufanya mabadiliko, maana mna chama cha mapinduzi, si mtafanya mapinduzi na kwenye upinzani?!
 
Jinsi Edward Lowassa alivyo, inaonekana kuna kitu alichokidhamiria katika nchi hii.Labda kulipa kisasi.Lakini yote namwona kama ni changudoa wa kisiasa

Mkuu changudoa ni CDM, chenyewe ndio kimemfuta, kinamuhitaji kuliko anavyokiitaji
1. Kabadili katiba na Ilani ya Chama
2. Kabadili taratibu za kumpata mgombea ndani ya chama
3. Kabadili hoja kuu ya Ufisadi sasa imekua ni ya CCM
EL ni msafi kuliko Slaa
 
hiyo ndio hali ilivyo sasa kwny siasa za Tz.
mwalimu(isomeke Upinzani) ulitufundisha maovu na hatari ya ufisadi na sisi tukaelewa na kuamini vilivyo na tukashika silaha kupambana na mafisadi( isomeke fisi) na wakati sasa tumeshachoma moto kuwadhiti fisi-anatokeza fisi Mkuu aliyekuwa akitusumbua , mwalimu anasema huyu ni mwenzetu (isomeke mbuzi).

ndg zangu Watz, tunarudishwa kuanza vita nyuma kabisa wakati tayar mafisad walikuwa hoi-leo hii yale mafisi yote (Chenge, Karamagi, Rostam, Tibaijuka, etl) wanashangilia kuona sasa kizazi chao kinarejea upya.

hongereni UKAWA kwa miaka 20 mmetuaminisha imani ambayo kwa masilah yenu ya kifedha leo mmetugeuka

Tuwaulize huyo wanayemkaribisha amewaambia ana malengo gani na Nchi Yetu?
 
ndio siasa zilivyo, kama ujanani leo unampenda demu huyo kesho yule! mwisho unapata wa kuoa
subiri uchaguzi uchague anayekufaa
 
Tuwaulize huyo wanayemkaribisha amewaambia ana malengo gani na Nchi Yetu?

Hata jambazi sugu la kupora watu kwa silaha ukikutana nalo ukaliuliza lina malengo gani kwenye familia yake litakwambia lina malengo kujenga nyumba nzuri ya familia na kusomesha watoto shule nzuri.
 
Hapo ndipo utakapojuwa jinsi gani wanasiasa wanachezea akili za wananchi. Wanatufanya mazuzu tunaoweza kulishwa chochote kutoka kwao. Mbowe ametufanya sisi Wananchi ni wajinga sana wa kutokujua nini feki na nini si feki. Kifupi ametudharau.

Mtu mzima ukishajua mtu mwenye akili timamu anakudharau na kukufanya wewe zuzu haupigi naye kelele, muache aamini kuwa uongo wake umeaminiwa unakuja kumuonyesha siku ya siku kuwa wewe si wa kudharauliwa kiasi hiki.


Mkuu ikandanganywa na ccm sawa ila ukindanganywa na chadema imekuwa nongwa!Mbona ccm ccm inakudanganya kila mwaka na kila uchaguzi hulalamiki?
Siasa ni mchezo wa wingi mwenye wengi ndo mshindi! Nchi hii bado watu wengi ni mbumbumbu ambao ni zaidi ya 60% hawa wako tayari kuchagua hata sura tu ukawa Rais wa nchi hii. kama tungekuwa wote tuna ufahamumtu ambaye anafaa ni Dr.Slaa, lakini kwa kuwa watanzania ni mbumbumbu, ukimweka kugombea mtashindwa wao wanataka LOWASA! wewe unasema ni fisadi wao ndo wanamtaka huyohuyo! Chadema wameamua nawao wazipate zile kura za mbumbumbu wa nchi hii ambazo ndo nyingi ili washinde mambo mengine mbele kwa mbele! kama na hapa utakuwa hujanielewa basi rudi darasani mkuu!
 
Kwa tamko la Mbowe kuzikana picha kwa madai ni zaku ghushi, Napata mtazamo kwamba ikija dhihirika Lowasa kuhamia Chadema, Mbowe huyuhuyu atakana kwamba yule alie hojiwa na Azam Tv hakua yeye, bali ni mtu anae fanana na yeye.
 
Hapo ndipo utakapojuwa jinsi gani wanasiasa wanachezea akili za wananchi. Wanatufanya mazuzu tunaoweza kulishwa chochote kutoka kwao. Mbowe ametufanya sisi Wananchi ni wajinga sana wa kutokujua nini feki na nini si feki. Kifupi ametudharau.

Mtu mzima ukishajua mtu mwenye akili timamu anakudharau na kukufanya wewe zuzu haupigi naye kelele, muache aamini kuwa uongo wake umeaminiwa unakuja kumuonyesha siku ya siku kuwa wewe si wa kudharauliwa kiasi hiki.

Kwa nini isiwe ni jukumu lako wewe mwenyewe binafsi kuamini kuwa ni kweli au uongo kwa sbb kila kitu kipo mbele ya macho yako na masikio yako yanasikia!?

Sidhani kama mimi ninaweza kuwa wewe au yule awe ni wewe.

My point here is; kufanywa mjinga au mwerevu ni swala la mtu personal kwa kadiri ya utashi na ufahamu wake huyo MTU!

Hata hivyo si vibaya kuendelea kuelimishana.
 
Hakuna photoshop hapa! picha zote ni halisi hata ukizichunguza vp huezi kuona tofauti?! sie photishopers tunalijua hilo..nyie kaeni kuamini kuwa ni photoshop
 
Lowassa kashaibadilisha Chadema.

1. Kabadilisha ratiba yao ya uchaguzi.

2. Kabadilisha mgombea wao. Dr. Slaa anakatwa kwa sababu ya Lowassa.

3. Kabadilisha bajeti yao ya uchaguzi.

4. Kabadilisha kauli zao kuhusu ufisadi.

5. Kabadilisha ilani yao ya uchaguzi.

Sasa tujiulize, nani anayebadili mwenzie? Chadema itambadili Lowassa au Lowassa anaibadili Chadema?

Lowassa yuko kwenye siasa muda mrefu kuliko umri wa Chadema. Kuamini kuwa Lowassa atabadilika ghafla ni kujidanganya kulikopitiliza.

Mpaka sasa Chadema haijabadili chochote kwa Lowassa, yeye ndio anawabadili.

Chadema badala ya kuleta mabadiliko, yenyewe ndio inabadilishwa...

The end justfies the means ....i guess!
 
Lowassa kashaibadilisha Chadema.

1. Kabadilisha ratiba yao ya uchaguzi.

2. Kabadilisha mgombea wao. Dr. Slaa anakatwa kwa sababu ya Lowassa.

3. Kabadilisha bajeti yao ya uchaguzi.

4. Kabadilisha kauli zao kuhusu ufisadi.

5. Kabadilisha ilani yao ya uchaguzi.

Sasa tujiulize, nani anayebadili mwenzie? Chadema itambadili Lowassa au Lowassa anaibadili Chadema?

Lowassa yuko kwenye siasa muda mrefu kuliko umri wa Chadema. Kuamini kuwa Lowassa atabadilika ghafla ni kujidanganya kulikopitiliza.

Mpaka sasa Chadema haijabadili chochote kwa Lowassa, yeye ndio anawabadili.

Chadema badala ya kuleta mabadiliko, yenyewe ndio inabadilishwa...

***** mwaka huu lazima minduku ichanike Lowassa anawatoa kamasi dadadeki
 
MK254 mtu wako lowasa kawa rais

falcon mombasa Hii ndio fursa yenu ya pekee nyie wana-UKAWA kuchukua nchi, mtalazimika kumtumia Lowassa, hamna jingine kabisa. Yeye katokea kwenye uongozi wa juu wa CCM, anaelewa michezo yao yote, pia Watanzania wengi wanaonekana kumpenda, japo ametajwa kwenye kashfaa kadha, ila nani msafi???

Kama jinsi tulicheza hapa Kenya, tukamtumia Kibaki kuondoa KANU iliyokua imetukandamiza miaka nyingi. Yaani pona yenu ni Lowassa, vinginevyo mtaendelea kuishi nje kwenye baridi miaka ingine kumi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom