BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,511
- 11,913
Kwa hiyo na jk ameiuza ccm kwa magufuli
Poor Maghufuli kauziwa mbuzi kwenye gunia,ccm imeshakufa
Kwa hiyo na jk ameiuza ccm kwa magufuli
Acha kutunenea wananchi wenzako uongo. Wewe ndio unaeona Mbowe kakufanya zuzu ila si watu wote. Acha siasa za uchonganishi. Najua unaumia kwa uamuzi wake ila huna namna zaidi ya kutapatapa.
kwa akili ya kibinadamu huwezi fikiria au kuingia akilini kirahisi hasa wale wasiojua vizuri siasa...
Ila ccm kwa madhambi mengi na mekundu, kutia nchii hii takatifu duniani tanzania umaskini wa hatari, kuua tembo, kuchakachua katiba ya wananchi na mbaya zaidi, kukata jina la lowassa kwa chuki binafsi bila kuangalia sauti ya watu, mamilioni wanampenda, basi ccm imejizika yenyewe huko dodoma...furaha yao iliishia dodoma...
Na uhakika, hakuna wa kumpigia kampeni magufuli, hakuna, na watu mamilioni kwa kishindo wanaondoka ccm na lowassa, na ccm inakufa rasmi....
Ni mpango wa mungu, kuwafungua akili wana ukawa, na kumwelewa lowassa, na kisha ni mpango wa mungu kumpa ujasiri wa ajabu lowassa na kukubali kuungana na ukawa... Bila mungu huu muungano sio rahisi kutokea, tuzidi kuwaombea, na mungu kawapa upeo mkubwa ukawa + lowassa, wananena kwa lugha moja kama mapacha, kama watoto wa baba mmoja...
Mungu, wapatie ukawa + lowassa, nguvu kuu, afya na ulinzi mkuu, natambua, kanu ilikufa kwa njia hii hii, ni baada ya madhambi mengiii ya ajabu...na leo ccm inakufa the same way....
Ukawa + lowassa, tambueni ni mungu yuko nanyi, na atawaongoza na kuwavusha kutoka utumwani misri kwenda nchi ya ahadi....
Hivyo basi, wananchi mamilioni wako nanyi, usiku kwa mchana,,majira yote ya mwaka... Simameni, msikate tamaa, msichoke, kwani ushindi, ukombozi unapokaribia uchovu unakuwa mwingi sana...
Na mungu awe nanyi...mpango wa mungu, mwanadamu hawezi kuuzuia...
Lowassa + ukawa ni safari ya uhakika....
í-½í±í-½í±í-½í±í-½í±í-½í±í-½í±í-½í±í-½í±í-½í±í-½í±í-½í±í-½í±í-½í±í-½í±
Hata kama ni hivyo hakuna tatizo,kwani lengo kubwa ni kuing'oa CCM madarakani bila kujali mbinu zitakazotumika kuing'oa madarakani,mbinu mojawapo ni kuwatumia wale wanaoijua CCM kiundani zaidi.Lowassa kashaibadilisha Chadema.
1. Kabadilisha ratiba yao ya uchaguzi.
2. Kabadilisha mgombea wao. Dr. Slaa anakatwa kwa sababu ya Lowassa.
3. Kabadilisha bajeti yao ya uchaguzi.
4. Kabadilisha kauli zao kuhusu ufisadi.
5. Kabadilisha ilani yao ya uchaguzi.
Sasa tujiulize, nani anayebadili mwenzie? Chadema itambadili Lowassa au Lowassa anaibadili Chadema?
Lowassa yuko kwenye siasa muda mrefu kuliko umri wa Chadema. Kuamini kuwa Lowassa atabadilika ghafla ni kujidanganya kulikopitiliza.
Mpaka sasa Chadema haijabadili chochote kwa Lowassa, yeye ndio anawabadili.
Chadema badala ya kuleta mabadiliko, yenyewe ndio inabadilishwa...
Habari zenu wapendwa
Ukawa msinisute jamani,ni mtazamo wangu tu;
Kuhamia kwa Lowasa ukawa kunaonyesha yafuatayo:
1.Nia yake ya kung'ang'ania kuwa raisi si njema.
2.Amedhihirisha kuwa ni mwepesi kuyumbishwa.
3.Hana muda mrefu sana kwenye siasa kwa sababu ni kama anajikaanga kwa mafuta yake mwenyewe.
Kama kuna lingine mwaweza kuongeza.
Siku njema
Mbowe amejiaibisha sana kusema uongo
Mbowe anakanusha ukweli. Na hizi ni Photoshop?
picha hizo ni,photoshop jamani, ukiangalia vizuri sehemu aliyokaa lowasa na mwenzake kumetenganishwa na mstari na aliyevaa combat anaonekana kuwa yupo nyuma ya rangi. naamini hii picha haina ukweli na hata kama lowasa alikuwa kwenye kikao basi si kwa hizo picha.