Mbowe ni muongo ,hizo picha ni za kweli,, hakuna cha kutengenezwa hapo
ujawahi kuwa chadema .mwongo wewe .Hakika mi nimebaki dilema..niliachana na ccm baada ya kuona huyu mtu anatafta madaraka kwa udi na uvumba huku watu wanaomzunguka wote wakiwa na uchu wa rasimali za nchi hii rostam..chenge..karamagi..na wengine wenye uchu wa madaraka leo tena kapokelewa huku ambako ndiko kulikuwa kimbilio langu..mi kura yangu ni kwa magufuli lakini wabunge watoke ukawa..nimebaki dilema kwa kweli..
Hakika mi nimebaki dilema..niliachana na ccm baada ya kuona huyu mtu anatafta madaraka kwa udi na uvumba huku watu wanaomzunguka wote wakiwa na uchu wa rasimali za nchi hii rostam..chenge..karamagi..na wengine wenye uchu wa madaraka leo tena kapokelewa huku ambako ndiko kulikuwa kimbilio langu..mi kura yangu ni kwa magufuli lakini wabunge watoke ukawa..nimebaki dilema kwa kweli..
Jinsi Edward Lowassa alivyo, inaonekana kuna kitu alichokidhamiria katika nchi hii.Labda kulipa kisasi.Lakini yote namwona kama ni changudoa wa kisiasa
Kweli xana kaka hyu atakuwa anatumiwa ndio maana anatafuta oungoz kwa udi na uvumba ili atomize matakwa ya wanaomtumia.
Uchaguzi wa Mwaka huu sio Ukawa vs CCM, sio Magufuli vs lowasa, sio Jakaya vs Lowassa. Ni system vs system. Tegemea Usalama wa Taifa kupasuka msamba!
ujawahi kuwa chadema .mwongo wewe .
nani atakuwa refa
mwizi yeyote anakawaida ya kuhamahama maeneo akishabainika kuwa mwizi.
lengo la lowasa ni visasi na kuifilisi nchi lakini hata aende mbinguni urais haupati sababu mungu humjua mtu mbaya
Hebu naomba nisaidieni, wanaoharibu mustakabali wa nchi ni watu waliopo CCM au jina tu CCM?