Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Chadema asilia my foot , utadhani hata ulishawahi kushiriki shughuli za kuijenga chadema.
 
"Hatukujiunga na CHADEMA eti kwa sababu ulituahidi kazi, hapana tulijiunga na CHADEMA wakati mgumu kwa nchi yetu. Tulijiunga kwa kuwa tulitaka kuwa sehemu ya mapambano dhidi Rushwa, Ufisadi na Mafisadi.

Tuliingia CHADEMA kwa sababu tuliamini kile ambacho CHADEMA ilikisimamia na kukipigania, ndiyo maana tukawa sehemu ya mapambano.

Wewe Freeman Mbowe si sehemu ya Mapambo kwani umesharuhusu watu ambao tuliaminishwa kuwa ni mafisadi kuingia katika chama ambacho ndicho kilikuwa kimbilio la wananchi.

Wewe kaa na CHADEMA LOWASA yako Mimi nitabaki kuwa CHADEMA ASILIA.

Ni mimi mwana CHADEMA ASILIA

Acha siasa zenye msimamo usio na tija brother wangu mpendwa na mwenyeji wa Kitanzini. Siasa siku zote ni flexible and not fixed or static. Adui wetu mkubwa c Lowassa bali CCM. ametoka jikoni na anajua bajeti ya jikoni, nn kimepungua na nn kimepungua xo kumtumia yy ni dhahiri kuwa upinzani utakuwa tishio na hatimaye kushika dola mwez October. Watz Wenzangu, siasa haiko hivyo therefore tuache ubinafsi
 
Wewe unaangalia vazi!angalia itikadi itakayokuwezesha kukutoa hapo ulipo na kusonga mbele.
Kama ni vazi ndio issue,ulipata kumuona Baba wa Taifa Marehemu JK Nyerere akiwa ameva kijani kiwiti ccm lakini itikadi yake utajua tu huyu ni nani na amesimamia wapi!
 
Lowasa bado hajaamua. Kuna mvutano mkubwa baina ya pande mbili zinazomuunga mkono. Marafiki zake na Wafuasi wake. CHADEMA wanahaha kuwahadaa Watanzania kwa vile hawana mgombea mwenye hadhi ya kusimama kuwania kiti cha Urais

Inasemekana CC ya CCM inakutana habari hii INA ukweli gani. Lizaboni
 
Nimeshangaa sana leo kuona Ukawa waliposema tu Mzee Edward Lowasa upepo ukabadilika,siasa zimebadilika na mambo mengi.Je Lowasa ni freemason au yeye anatumia nini kwenye siasa.
 
Mambo yameivaa Bahari Beach Hotel.
View attachment 271473

View attachment 271476

************************** Updates *************************​
Sasa akihama na hao wabunge 150, si maana yake n i kuwa chama cha Chadema kinajigeuza kuwa CCM? Hivi CHADEMA/UKAWA watashughulikiaje wanachama wao waliowania nafasi za uongozi katika majimbo ya hao wafuasi wa Lowassa?
 
Yaan binafsi lowasa siyo kwamba nampenda na kwenye siasa me mgeni ila nitampa kura lowasa na wabunge na madiwan wa cdm. Nafanya hvo kwasababu Moja kuu; baraza La mawaziri litaundwa na wapinzani no mata wot. Ata kama ataenda kutetea machichiem mawazir wa upinzan watakua na nguvu. Jaman me nataka mabadiliko by anymeans. Let's support cdm# let's support ukawa plz!!#
 
Hawa TBC kumbe wapuuz daah🙊
Hawaja soma habari za Lowassa kualikwa rasmi Ukawa.
ila,chanel10,claudtv,ITV,star tv ,Azamtwo woote wame onyesha
 
Sasa nimeela kwa nini rafiki yangu kwa nini hataki kupiga kura!
Tunafanywa mazuzu!
 
Back
Top Bottom