moondampwani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2014
- 535
- 170
Mkuu saivi CHADEMA tunaenda kwa kasi ya mwanga kama umejitathmini ukajiona hauendani na hii kasi jiengue mapema mfate Zitto.
Lowassa alikuwa kwenye mfumo wa Kifisadi sasa ameingia kwenye mfumo wa kizalendo mfumo wa democracy na maendeleo #UKAWA usiwe na wasiwasi #UKAWA ni Jeshi kubwa.
#hatujakurupuka
Kwa hiyo chadema walitudanganya