Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kajiunga bado kutangazwa rasmi mkuu..... saizi wamemloweka kwenye jiki ili awe msafi siunajua Dk. Slaa na timu nzima ya CHADEMA walimchafua sana.
 
Nimetîzama taarifa ya habari. CHADEMA hawajaongea kitu.
Ameongea MBATIA,MTEI na LIPUMBA.
Wamchukue LOWASSA waende nae, CHADEMA jitengeni hao UKAWA.
Akili hawana.

..Changanya na zako......
 
Sauti ya Amerika imetangaza muda huu kuwa Lowassa amekihama Chama chake. Prof. Bana anasikitika kwa kusema kuwa Lowassa amechukua uamuzi mbaya kukihama Chama chake. Mbona Dodoma walimfanyia fitina?. Sasa yamewakuta.
 
Hata Uhuru Kenyataa aliwahi kusema hawezi kuungana na William Rutto kwa jambo lolote na walikuwa maadui wakubwa wa kisiasa Rutto akiwa kwa Raila Odinga .
Alipogundua kuna uhusiano mbaya kati Rutto na Odinga akamuita na Leo wako ikulu.
Hiyo ndiyo siasa .
Kwenye siasa 1+1 si lazima iwe mbili
 
Hata Uhuru Kenyataa aliwahi kusema hawezi kuungana na William Rutto kwa jambo lolote na walikuwa maadui wakubwa wa kisiasa Rutto akiwa kwa Raila Odinga .
Alipogundua kuna uhusiano mbaya kati Rutto na Odinga akamuita na Leo wako ikulu.
Hiyo ndiyo siasa .
Kwenye siasa 1+1 si lazima iwe mbili
 
Hii picha ni ya kweli au ni ya teknlojia ya computer?

Haya sasa ndio maamuzi magumu.

Adui yetu kwa sasa ni CCM na si Lowassa mengine yote mbele kwa mbele.

Ni burudani tosha yaani raha tupu.

Kila mtu analijua hilo mkuu
 
Najiuliza tu namna lowasa atakavyoonekana iwapo atahamia chadema.

Karibuni wadau tujadiri
 
Siye huyu, bali huyu anamwandalia mwingine njia, endelea kusubiri.
 
Makamanda wametweta, Baregu kajiinamia kaficha uso asipigwe picha, Slaa kaduwaa, kwa ujumla makamanda wote hawana sura ya furaha hata chembe, jembe ni jembe limetia timu.

Naona unapumulia mipira
 
Back
Top Bottom