cabsul3
Member
- Jul 11, 2015
- 92
- 22
Lowasa akijiunga na CDM narejesha kadi...
Sintokua na iman na chama kwa yale walionimezesha awali yalimuhusu mzee huyo..
Naikumbuka sauti ya mzee Slaa alipokua akimtaja lowasa kua fisadi ktk viwanja vya mwembe yanga..
Ikiwa CDM watamualika mzee huyo nidhahir kua walitudanganya kutokana na ufisad waliototajia kua unamuhusu huyo mzee...
MUNGU JAALIA KATIBA MPYA ILI NIWE NA NGUVU YAKUMPA KURA YANGU KIONGOZI ASIE NA CHAMA CHAKISIASA.
Nakipenda sana chama changu
Sintokua na iman na chama kwa yale walionimezesha awali yalimuhusu mzee huyo..
Naikumbuka sauti ya mzee Slaa alipokua akimtaja lowasa kua fisadi ktk viwanja vya mwembe yanga..
Ikiwa CDM watamualika mzee huyo nidhahir kua walitudanganya kutokana na ufisad waliototajia kua unamuhusu huyo mzee...
MUNGU JAALIA KATIBA MPYA ILI NIWE NA NGUVU YAKUMPA KURA YANGU KIONGOZI ASIE NA CHAMA CHAKISIASA.
Nakipenda sana chama changu