Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Lowasa akijiunga na CDM narejesha kadi...
Sintokua na iman na chama kwa yale walionimezesha awali yalimuhusu mzee huyo..
Naikumbuka sauti ya mzee Slaa alipokua akimtaja lowasa kua fisadi ktk viwanja vya mwembe yanga..
Ikiwa CDM watamualika mzee huyo nidhahir kua walitudanganya kutokana na ufisad waliototajia kua unamuhusu huyo mzee...
MUNGU JAALIA KATIBA MPYA ILI NIWE NA NGUVU YAKUMPA KURA YANGU KIONGOZI ASIE NA CHAMA CHAKISIASA.
Nakipenda sana chama changu
 
...kama wao wanatumia "goli la mkono" ulitegemea sisi tukae na sera za kulia lia tumeibiwa kura kila siku..? tunasajili straika mwenye ramani ya vita na mbinu za kuzuia goli la mkono ngoma ibalance...
 
Ukawa kucheleeeeeeee,lowasa kucheleeeeee,Tanzania mpya naiona inakuja.
 
Kama ni kweli CDM ina kazi kubwa yakuwaelewesha wanachama vinginevyo tutapishana na team Lowasa huku sisi tukitimkia CCM
 
lengo la ukawa ni kuiondoa ccm kwa namna yoyote na kwa kutumia mtu yoyote lowassa kazi hiyo anaiweza japo ni risk lkn tuiombee ukawa iitwae ccm
 
Lowasa akijiunga na CDM narejesha kadi...
Sintokua na iman na chama kwa yale walionimezesha awali yalimuhusu mzee huyo..
Naikumbuka sauti ya mzee Slaa alipokua akimtaja lowasa kua fisadi ktk viwanja vya mwembe yanga..
Ikiwa CDM watamualika mzee huyo nidhahir kua walitudanganya kutokana na ufisad waliototajia kua unamuhusu huyo mzee...
MUNGU JAALIA KATIBA MPYA ILI NIWE NA NGUVU YAKUMPA KURA YANGU KIONGOZI ASIE NA CHAMA CHAKISIASA.
Nakipenda sana chama changu

mapanya buku ya lumumba yananena kwa lugha kimbunga kimekolea.Ukawa kucheleeee Lowasa kucheleeeeee
 
Cdm fuatilien kisa cha mrema vyema mtajua kuwa nssr mageuza walikufa kabisa, na kama c fadhir za mkulu leo mbatia asingekuwa na chama..

Anyway ni kwel upinzani wa kwel utatoka ssm, bt si kwa edo, maana ni sawa na kuhamisha uchafu kutoka nyumba ya jiran uliokuwa nje ukauweka seblen kwako kisha kuweka mapambo mazr na kupiga pafum, kumbuka pafum ikiisha tu uchafu unatoa harufu

Hvyo kuwen makin na edo mnakwenda kukiua chama.. na kwa taarifa ccm haishindwi na ukawa wala na edo, may b uasi wa kweli ufanyike ila si wa kumfuata mtu ambae ni mwizi na fisadi wa kutupwa, hata mtt mdogo anajua hvyo..
mkuu jaribu kusoma alama za nyakati, watanzania wa nyakati za mrema ni tofauti na hawa wa leo. Watanzania wakati wa Nyerere walikuwa wanachagua kati ya mtu na kivuli leo hiyo haiwezekani tena kwao, wakati ule wizi mkubwa kulikuwa hakuna serikalini na watu walikuwa na imani na chama. Leo hii 2015 wasomi wameongezeka, elimu ya uraia imeenea, vyombo vya habari na mawasiliano vingi, mahakama za kimataifa zipo, n.k. bado unalinganisha enzi za mrema na leo? hivi leo bungeni kuna wapinzani wangapi mbona hiyo falsafa yako haifanyi kazi kuzuia wabunge wa upinzani wasiongezeke bungeni, soma alama
 
"Hatukujiunga na CHADEMA eti kwa sababu ulituahidi kazi, hapana tulijiunga na CHADEMA wakati mgumu kwa nchi yetu. Tulijiunga kwa kuwa tulitaka kuwa sehemu ya mapambano dhidi Rushwa, Ufisadi na Mafisadi.

Tuliingia CHADEMA kwa sababu tuliamini kile ambacho CHADEMA ilikisimamia na kukipigania, ndiyo maana tukawa sehemu ya mapambano.

Wewe Freeman Mbowe si sehemu ya Mapambo kwani umesharuhusu watu ambao tuliaminishwa kuwa ni mafisadi kuingia katika chama ambacho ndicho kilikuwa kimbilio la wananchi.

Wewe kaa na CHADEMA LOWASA yako Mimi nitabaki kuwa CHADEMA ASILIA.

Ni mimi mwana CHADEMA ASILIA
Mkuu saivi CHADEMA tunaenda kwa kasi ya mwanga kama umejitathmini ukajiona hauendani na hii kasi jiengue mapema mfate Zitto.

Lowassa alikuwa kwenye mfumo wa Kifisadi sasa ameingia kwenye mfumo wa kizalendo mfumo wa democracy na maendeleo #UKAWA usiwe na wasiwasi #UKAWA ni Jeshi kubwa.

#hatujakurupuka
 
Karibuni ACT - wazalendo wa kweli.....wasaliti halisi wanaanza kuonekana!!!! Mungu atupe uhai zaidi ili tuone mengi.....
 
Kumbuka hata Marekani ilimtumia gaidi Osama Bin Laden kuisambaratisha Urusi. Iwapo Lowassa ana uwezo wa kuisambaratisha CCM ni lazima CDM wamtumie! Lengo ni kuing'oa CCM madarakani! Siasa ni strategy na hii ni fursa nzuri ya CCM kufa hata kama ni kwa mbinu chafu! Mengine baadae!!
 
Mkuu, wamechanganyikiwa hawa. Baada ya Tingatinga kutangazwa mgombea Urais, wamejitathmini wakaona hawana mwenye uwezo wa kupambana na tingatinga. Sasa wanaokoteza makapi ya CCM
 
Tarime one naona kazi mnayo, mwambie alie edit hizo picture si professinal,na arudishe pesa za watu,kwanza hajatoa hivyo viatu nyuma ya lowasa, pia nyuma ya babu slaa angetoa kichwa cha huyo jamaa, huu uzi ni upuuzi mtupu na inaonyesha ukawa hawana mtu wa kumsimamisha:iamwithstupid:

Tembelea www.elowasa.com ndiyo utajua kama picha hizi ni za kweli au uongo!!
 
"Hatukujiunga na CHADEMA eti kwa sababu ulituahidi kazi, hapana tulijiunga na CHADEMA wakati mgumu kwa nchi yetu. Tulijiunga kwa kuwa tulitaka kuwa sehemu ya mapambano dhidi Rushwa, Ufisadi na Mafisadi.

Tuliingia CHADEMA kwa sababu tuliamini kile ambacho CHADEMA ilikisimamia na kukipigania, ndiyo maana tukawa sehemu ya mapambano.

Wewe Freeman Mbowe si sehemu ya Mapambo kwani umesharuhusu watu ambao tuliaminishwa kuwa ni mafisadi kuingia katika chama ambacho ndicho kilikuwa kimbilio la wananchi.

Wewe kaa na CHADEMA LOWASA yako Mimi nitabaki kuwa CHADEMA ASILIA.

Ni mimi mwana CHADEMA ASILIA

Uwiiii hadi huruma , kila mnapopita mnapigwa mitama tu ni bora mkubali yaishe ninyi bdo mlimshauri vibaya JK sasa mnahaha kuokoa jahazi ambalo tayari limezama na kuishilia.
 
akiwa kwa mwenzako shetani huyohuyo akiwa kwako malaika, hadi oktoba ifike tutaona na kusikia mengi sana, picha linaendelea na sijui hii ni part ya ngapi,
 
Yes wadau, kiukweli hata mm pindi alikuwa ccm nilifurahi jina lake kukatwa , lakini kwa kuwa lengo ni kumuondoa huyu jamaa ccm, karibu sana mheshimiwa lowasa,
 
Back
Top Bottom