kwani wewe unamuonaje? si lulu? kama siyo kwa nini?Siasa kweli ni uzuzu. Chadema mkimpokea huyu jamaa, nitakuwa nina hakika kuwa kweli UCHAGA na U-NORTH ni shida nchi. Pamoja na kumtusi na kumkejeli kipindi chote hiki bado mnamuona lulu?!
kwani wewe unamuonaje? si lulu? kama siyo kwa nini?Siasa kweli ni uzuzu. Chadema mkimpokea huyu jamaa, nitakuwa nina hakika kuwa kweli UCHAGA na U-NORTH ni shida nchi. Pamoja na kumtusi na kumkejeli kipindi chote hiki bado mnamuona lulu?!
Hivi,Kwa nini viongozi wa chadema wanatuabisha kiasi hiki?....Hivi mbowe na slaa wanafikiri wakimkaribisha lowasa watachukua dola?....Hata mapokezi yao yatakuwa ya hovyo kuanzia kanda ya ziwa mpaka kusini!...Amini.CDM Itapotea kwenye ramani ya kisiasa tanzania
kwani misikitini watu hawatubu?kwa hiyo chadema wanafanya kazi za kanisa..
watanzania gani unawaongelea??? watu wanasheherekea hizi taarifa!
Siasa kweli ni uzuzu. Chadema mkimpokea huyu jamaa, nitakuwa nina hakika kuwa kweli UCHAGA na U-NORTH ni shida nchi. Pamoja na kumtusi na kumkejeli kipindi chote hiki bado mnamuona lulu?!
Hakika leo nimecheka sana,chadema leo wana mlilia lowasa awaokoe jmn padrii kashindwa ukombozi hhaaahaaaa aise,,,,,ilike it
Jamani watu wote sasa hivi wamekuwa wakiongelea lowassa kusimamishwa ukawa kupitia chadema. Lakini siyo chadema wala ukawa wanaojiuliza je, wakishindwa urais 2015 hatma yao itakuwaje?
Ramli chonganishi hii! Kwani CCM waliposhindwa kuwavua magamba walitoa sababu gani? Kwanini CCM hawakumfikisha mahakamani mhusika kama walivyomfunga Mramba na mwenzake?
Kama kawaida tulitaraji CCM ndiyo wafurahi maana CDM inaenda kujifia wao ndiyo wanaongoza kulialia.Mbona unalia lia hadi povu linakutoka, Kwani wewe mfuasi wa chama kipi? Inakuaje unatoa povu hivi wakati wewe ccm? tuache sisi CDM, tunaelewa tunachokifanya, usitusaidie kulia lia!
Hii ngoma bado mbichi. Msisherehekee mapema
kwani wewe hutaki lowassa aende ukawa? kama hutaki kwa nini?Kaitengenezeni upya acheni ubishi
Mkuu kama LOWASA anaweza kuindoa CCM acha apeperushe bendara ya CHADEMA/UKAWA we are so tidy with CCM haina haja ya kueleza kwa nini tumechoka najua, unajua