Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Huyu mzee anautafuta urais kwa nguvu sana. Lakini je, ukawa wanaogopa nini hadi wamuite mamvi? Anyway nawasifu hawana uroho wa madaraka. Watamnadi vipi?
 
Angekuwa mchafu kweli asingethubutu kuhama.. Pili CDM siyo wapumbavu wanajua wanachofanya. Tusubiri watujuze.. Nchi ya ahadi ileeee!!! Hatuwezi kuvunja kufuli wakati funguo:A S-key: umekuja wenyewe. :welcome: Ukawa
 
kwahiyo hawa 150 wamepita bila kupingwa? hawatapita kwenye mchujo wa kura za maoni? je waliopitishwa katika kura za maoni itakuwaje? na wa viti maalum nao wamepita bila kupinngwa? jamaa anawachezea akili kweli.

Kwa pande zote mbili (CCM na Ukawa) ninaamini bado maamuzi ya mwisho ya nani hasa agombee kwenye jimbo lipi hayajapitishwa..kura za maoni ni sehemu tu ya mchakato wa kuteua mgombea wa mwisho wa jimbo fulani
 
Chadema kwisha habari yake...Teh Teh..
 
Mpaka kufikia October tutaona na kusikia mengi mwaka huu
 
Kuna hatari ya kumsimamisha kuwa mgombea urais kupitia Ukawa, (ingawaje kura yangu hapati) na CCM wakatumia chance hiyo kumfungulia mashitaka ya kuhujumu uchumi wa nchi, kutia taifa hasara (Richmond) Rushwa (mali alizonazo hazilingani na kipata chake) na nk. Ukawa wanatakiwa kuwa macho.. Ukawa watu watu ambao wanaushawishi kuliko Lowassa maana ushawishi wa Lowassa ni pesa hakuna kitu kingine.

Nitakusahisha japo sitaki awe mgombea urais,Lowassa utajiri wake aliupata miaka ya 80 alipokuwa ofisi ya waziri mkuu ,kulikuwa na maafa ya njaa mkoa wa Tanga,ndiko hasa utajiri wa Lowassa ulipotokea.

Pili hawataweza mfumgulia mashtaka sababu wahusika wakuu bado wapo madarakani,na siri ya Richomond na Escrow itakapotoka hadharani.

Hivyp pande ya pili labda wa opt kuitoa ROHO yake tu,ila kumfungulia kesi siyo rahisi...
 
Naona TB Joshua anakuja kivingine. hahahahaah Kabobe katika ubora wake
 
Angekuwa mchafu kweli asingethubutu kuhama.. Pili CDM siyo wapumbavu wanajua wanachofanya. Tusubiri watujuze.. Nchi ya ahadi ileeee!!! Hatuwezi kuvunja kufuli wakati funguo:A S-key: umekuja wenyewe. :welcome: Ukawa

CCM wajiandae kisaikolojia kuwa chama cha upinzani.
 
CHADEMA kuleni makombo yote ambayo tajiri wenu CCM wanadondosha.Mwishowe mtakaa mashavu kama mazeze na kuanza kuharisha kipindupindu
 
hii hatari sana Lowassa anaingia kupambana na mfumo alioujenga mwenyewe kwa miaka 38 shughuli ipo.

kuuvunja inawezekana sana kama atakuja kwa lengo la kuuvunja

ukawa wana kazi kubwa ya kuwafanya wafuasi wao kuhusu hili vinginevyo wanahali mbaya sana

ccm imesafishika nape na kinana wako huru sasa kuimba mafanikio ya kujivua gamba japokuwa liliwashinda lakini uvumilivu wao umefanikisha kulisababisha lijivue lenyewe

list of shame from now henceforth collapses because it lacks legs to stand on

UKAWA inaweza kufanikiwa au kufeli

kwa mbali naiona serikali ya mseto huku top layer ya uongozi ikiwa ccm

Safari mpya ya kisiasa inaanza tanzania kwa mara ya pili ccm inaenda kupambana na insiders na wajenzi wake mara ya kwanza nyerere alinusuru jahazi mara hii sijui ni nani atasimamia show

In politics, nothing happens by accident. If it happens, you can bet it was planned that way.

Franklin D. Roosevelt



[TABLE="class: bq_tbl_nospc"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Kama namuona vile bwana Jakaya avyotafuta pakuiweka sura yake
 
lengo la kila chama ni kukamata dola, hilo ndiyo lengo kuu. kwahiyo hawawezi kuwa na permanent enemies hawa cdm bali ni permanent interests. kwenye hili ni muhimu watumie popularity ya eddo. hata kama watakosa urais. itawafaidisha sanaaa kwenye ubunge. naiona tanzania yenye wabunge wanaokaribiana kiasilimia bungeni. this will be a healthy political situation. tufike sehemu kisiwepo chama kimoja chenye over two-third na kuhalalisha uhalamia wao kama wanavyofanya ccm sasa. ka ni mzalendo wa kweli unapenda tufikie hapo
 
Back
Top Bottom